15/01/2026
Ni lkweli TUMEFUNGULIWA 🙏
Ni katika Siku kumi za Maombi mwaka 2026! Tunamshukuru sana kwa siku hizi hakika tumeona Mkono wake
Usikose kujiunga nasi tunapohitimisha siku hizi kumi za Maombi. Tuje kumshukuru Mungu, na kutoa ushuhuda kwa Jinsi aliyotutendea.
Tumefunguliwaa!!