T.A.G Forest Ya Kwanza

T.A.G Forest Ya Kwanza T. A. G Forest ya Kwanza ni kanisa la kipentekoste lililipo mkoa wa Mbeya karibu na mahak**a kuu. Tunaihubiri Habari njema ya Yesu Kristo.

25/05/2026

Akiondolewa Roho Mtakatifu juu ya kanisa tutakuwa wapangani k**a wapagani wengine. Roho Mtakatifu ndio mtaji wa kanisa.

24/05/2026

Bado liko tumaini, bado uko ushindi katika ya wingu la nguvu za Roho Mtakatifu.

Hakika Bwana ametutembelea na tumeuona uwepo wake katika ibada yetu leo.

Mungu akubariki kwa kuabudu pamoja nasi katika ibada ya leo katika Hekalu la Bwana Forest ya Kwanza. Tunamshukuru Mungu ...
24/05/2026

Mungu akubariki kwa kuabudu pamoja nasi katika ibada ya leo katika Hekalu la Bwana Forest ya Kwanza. Tunamshukuru Mungu kwa uwepo wake wenye nguvu na ni matumaini yetu kuwa Roho Mtakatifu amekuhudumia, amekutia nguvu, na amegusa kila hitaji la moyo wako.

Tunaamini kuwa haujatoka vile ulivyokuja, bali umebeba amani, nguvu uamsho, na neema mpya kutoka kwa Mungu. Karibu tena kuendelea kushiriki nasi katika uwepo wa Bwana.
“Maana penye Roho wa Bwana hapo ndipo palipo na uhuru.”

Kuna nyakati Mungu huita watu wake kusogea karibu naye kupitia maombi, ibada na uamsho na hii ni moja ya nyakati hizo.Tu...
21/05/2026

Kuna nyakati Mungu huita watu wake kusogea karibu naye kupitia maombi, ibada na uamsho na hii ni moja ya nyakati hizo.
Tunakuakaribisha kwenye semina hii kubwa ya kuhuishwa kiroho, kujengwa katika Neno la Mungu na kupelekwa katika viwango vipya vya kusifu na kuabudu mbele za Bwana.

Semina hii itahitimishwa na Ibada kubwa ya Kusifu na Kuabudu siku ya Jumapili. Kuanzia saa 8.00 Mchana na kuendelea mpaka jioni.

Njoo pamoja na familia yako, marafiki na wapendwa wako. Mungu ana jambo jipya kwa maisha yako. Mungu akubariki sana

15/05/2026

Wewe unapenda kubandikiwa bandikiwa mikono hufanyi ibada. Ukitaka kukutana na Mungu fanya maandalizi mapema

12/05/2026

Mlee mtoto katika njia impasayo nae hata iacha hata atakapo kuwa mzee.

12/05/2026

Wekeza Maisha yako kwenye Ibada

11/05/2026

Damu ya Mwokozi inanena mema

11/05/2026

Kamwe Mungu hawezi kukuacha njiani tambua ile safari yako aliyoianzisha ataimaliza tu

KWELI KUU KUHUSU UKRISTO1. Ukristo wa kweli haupimwi kwa kuokoka tu, bali kwa ukuaji, uthabiti, na matunda ya kiroho kat...
03/05/2026

KWELI KUU KUHUSU UKRISTO

1. Ukristo wa kweli haupimwi kwa kuokoka tu, bali kwa ukuaji, uthabiti, na matunda ya kiroho katika maisha ya mwamini.

2. Kila Mkristo aliyeokoka anaitwa si kubaki mtoto wa kiroho, bali kukua mpaka kufikia ukomavu katika Kristo.

3. Nguvu ya Mkristo haionekani kwa maneno, bali kwa maisha ya maombi, Neno la Mungu, na ushindi dhidi ya majaribu/ dhambi.

3. Mungu hakutuita tu tuokoke bali ametuita tukue, tutumike, na kuzaa matunda ya kiroho.

NB: Kuokoka ni mwanzo; ukomavu wa kiroho ndio kusudi. 2 Petro 3:18

Address

Mbeya
1993

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when T.A.G Forest Ya Kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to T.A.G Forest Ya Kwanza:

Share