19/06/2025
MAOMBI YANGU.
Ufanikiwe ktk Kila jambo lako.
Ushinde Kila vita yako.
Ufike Kila unapotaka kufika kimaono.
Uwe na afya njema.
Ktk jina la Yesu .
Lakini katika mambo hayo yote tunashinda, na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.
Warumi 8:37
SIKU NJEMA