GMEA Ministries

GMEA Ministries Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from GMEA Ministries, Religious organisation, Manyara.

17/07/2026

WASOMI WASOMI WASOMI WAMEAMUA KUMRUDIA YESU YAJAYO YANAFURAHISHA EEE ULIMWENGU WANGU..SIJAJUA WEWE UNASUBIRIA NINI?
K**a wewe UNAJIITA msomi na Hauna Yesu bila kujali cheo,nafasi,mshahara,usafiri ulionao,nyumba uliyonayo,makampuni uliyonayo n.k Bado hujafanikiwa!!
Kuwa na uhakika wa mahusiano Yako na Mungu kwanza!! Ni rahisi sana ukapuuzia habari za huyu Yesu Leo lakini Kuna siku inakuja na usiombe ikukute uko nje ya Yesu kwa sababu itakuwa ni kilio na kusaga meno...
utakuja kugundua Kuna vitu ni vya muhimu kuliko ata utajiri wa Dunia nzima ukijumuishwa na ukapewa....
Chagua NJIA ya uzima na Baraka Leo ambayo ni Yesu Kristo...
WASOMI WASOMI WASOMI.
Ni saa imefika
WANACHUO KWA YESU
WATU NA CERTIFICATE,DIPLOMA, BACHELOR,MASTERS,PHD& PROFESSOR pamoja na yote tumrudie Kristo.
Hallelujah hallelujah!!

Ni zamu ya MIGONGORO-IGUNGA kule TABORA!!unakaribishwa Sana mtu yeyote utakayetamani kuhudhuria mkutano huu.. Cha muhimu...
13/07/2026

Ni zamu ya MIGONGORO-IGUNGA kule TABORA!!

unakaribishwa Sana mtu yeyote utakayetamani kuhudhuria mkutano huu.. Cha muhimu ni Nauli Yako ya kuja na kurudi. Na k**a upo maeneo ya karibu k**a SHINYANGA,TABORA,SINGIDA,DODOMA,SIMIYU,MWANZA,GEITA unaweza ukapanga kuwepo bila KUKOSA!!

Na pia kwa wale wanaweza wasipate nafasi ya kufika unaweza kutoa sadaka Yako kwa NJIA zifuatazo;

CRDB ACC;0152611974700
MIXX BY YAS;0659102624
LIPA KWA YAS;7738948
MAJINA; GODFREY MANGE MHELA

ukituma sadaka Yako nitaarifu Mimi au mtafute @⁨David Mwakasege⁩ yeye ndiye mhasibu na anashika Fedha zote!! Ukituma kwa namba hiyo Fedha itamfikia yeye!!

Mungu awabariki sana!!

Ni zamu ya MIGONGORO-IGUNGA kule TABORA!!unakaribishwa Sana mtu yeyote utakayetamani kuhudhuria mkutano huu.. Cha muhimu...
13/07/2026

Ni zamu ya MIGONGORO-IGUNGA kule TABORA!!

unakaribishwa Sana mtu yeyote utakayetamani kuhudhuria mkutano huu.. Cha muhimu ni Nauli Yako ya kuja na kurudi. Na k**a upo maeneo ya karibu k**a SHINYANGA,TABORA,SINGIDA,DODOMA,SIMIYU,MWANZA,GEITA unaweza ukapanga kuwepo bila KUKOSA!!

Na pia kwa wale wanaweza wasipate nafasi ya kufika unaweza kutoa sadaka Yako kwa NJIA zifuatazo;

CRDB ACC;0152611974700
MIXX BY YAS;0659102624
LIPA KWA YAS;7738948
MAJINA; GODFREY MANGE MHELA

ukituma sadaka Yako nitaarifu Mimi kwa namba +255 760 360 980 au mtafute @⁨David Mwakasege⁩ yeye ndiye mhasibu na anashika Fedha zote!! Ukituma kwa namba hiyo Fedha itamfikia yeye!!

Mungu awabariki sana!!

INJILI YA KRISTO YESU KILA MAHALI✓Watu wa makabila yote njoeni kwa Yesu ✓Mataifa yote kwa Yesu✓Familiw zote kwa Yesu ✓Wa...
05/05/2026

INJILI YA KRISTO YESU KILA MAHALI
✓Watu wa makabila yote njoeni kwa Yesu
✓Mataifa yote kwa Yesu
✓Familiw zote kwa Yesu
✓Wazee wote kwa Yesu
✓Wamama na WABABA kwa Yesu
✓Watoto kwa Yesu
UNGANA nasi na Mungu akubariki sana

21/04/2026

1 Samuel 2:6
[6]The LORD killeth, and maketh alive: he bringeth down to the grave, and bringeth up.
BWANA huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hata kuzimu, tena huleta juu.

PENTECOSTE,RC,CCT,METHODIST,SABATO😭😭😭😭HAVITAKUPELEKA MBINGUNI.KUWA NA UHAKIKA NA YESU MOYONI MWAKO.📌Acha Kiburi Cha kuji...
01/04/2026

PENTECOSTE,RC,CCT,METHODIST,SABATO😭😭😭😭
HAVITAKUPELEKA MBINGUNI.
KUWA NA UHAKIKA NA YESU MOYONI MWAKO.
📌Acha Kiburi Cha kujiona Bora ety kisa unasali walokole au sabato!!!
📌ACHA ushamba Yesu anarudi aseee😭😭😭
📌Ni hatari kujua dini yako kuliko kumjua Yesu 😭😭
📌Ni hatari sana kuwa na uwezo wa kuelezea siku unayosali kuliko Yesu!!
📌Yesu anarudi ukamjua na kuacha Ushabiki wa kidini haitakusaidia kwa namna yoyote.
📌Tengeneza mahusiano yako na Mungu.
📌Mche Mungu uache uovu.
📌Nguvu ya kushinda dhambi ni Yesu mwenyewe ukimruhusu ndani yako.
📌📌📌Mimi Huyu ninaamini Kuna watu wataenda mbinguni wewe pamoja na Kiburi Cha dini unayosali mtaenda jehanamu na mchungaji wako 😭😭inauma!!
📌📌Mungu anataka watu wote waokolewe wewe upo mtaani Unahubiri kanisa lako ni AIBU iliyoje Mhubiri Yesu aseee!!!
Addicted to Jesus
Sisi ndio wale tunaosaidiwa na Bwana.

Jisajili mapema kwa yeyote Anayependa kuhudhuria mkutano huu wa MIUJIZA na UPONYAJI.Wanahitajika watendakazi wengi kulik...
28/03/2026

Jisajili mapema kwa yeyote Anayependa kuhudhuria mkutano huu wa MIUJIZA na UPONYAJI.
Wanahitajika watendakazi wengi kuliko kawaida!!
Tuma Neno: Mkutano kwenye Namba:0659102624 Whatsapp
sema; MINJINGU kwa Yesu.
📌Endelea kuomba
📌 Endelea kufunga
📌 Endelea kuandaa nauli yako kuhudhuria hapa
📌

Na ikumbukwe kuwa "MAVUNO ni mengi watenda kazi ni wachache"✓Tunakukaribisha sana kuhudhuria mkutano huu wa kwanza kwa m...
14/03/2026

Na ikumbukwe kuwa "MAVUNO ni mengi watenda kazi ni wachache"
✓Tunakukaribisha sana kuhudhuria mkutano huu wa kwanza kwa mwaka huu utakaofanyika pale Mpakani Mwa Arusha na manyara MINJINGU-KIBAONI Tarehe 12-19/04/2026
✓Usiache kukuombea
✓Karibu pia kwa sadaka Yako kwa akaunti namba zifuatazo;
MIX BY YAS:+255 659 102 625
LIPA KWA YAS:7738948
CRDB ACC:0152611974700
MAJINA: GODFREY MANGE MHELA
✓ukituma wasiliana NAMI kwa namba hii 0670474591
✓Kwa yeyote atakayetamani kwenda kuvuna nafsi za watu. Nitafute na namba hii 0670474591
✓Nawapenda sana na ninawaombea wote.
✓God bless you so much.
✓Watu wa vyuo vya ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC),AIA,UTUMISHI lakini pia watu wa Moshi watakuwepo MWENGE,KCMC,USHIRIKA,MWEKA,MTC etc mbeya pia watakuwepo MUST, MZUMBE etc bila kusahau watu wa singida,Dodoma Na Tanga
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Address

Manyara

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GMEA Ministries posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share