GMEA Ministries

GMEA Ministries Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from GMEA Ministries, Religious organisation, Manyara.

21/04/2026

1 Samuel 2:6
[6]The LORD killeth, and maketh alive: he bringeth down to the grave, and bringeth up.
BWANA huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hata kuzimu, tena huleta juu.

PENTECOSTE,RC,CCT,METHODIST,SABATO😭😭😭😭HAVITAKUPELEKA MBINGUNI.KUWA NA UHAKIKA NA YESU MOYONI MWAKO.📌Acha Kiburi Cha kuji...
01/04/2026

PENTECOSTE,RC,CCT,METHODIST,SABATO😭😭😭😭
HAVITAKUPELEKA MBINGUNI.
KUWA NA UHAKIKA NA YESU MOYONI MWAKO.
📌Acha Kiburi Cha kujiona Bora ety kisa unasali walokole au sabato!!!
📌ACHA ushamba Yesu anarudi aseee😭😭😭
📌Ni hatari kujua dini yako kuliko kumjua Yesu 😭😭
📌Ni hatari sana kuwa na uwezo wa kuelezea siku unayosali kuliko Yesu!!
📌Yesu anarudi ukamjua na kuacha Ushabiki wa kidini haitakusaidia kwa namna yoyote.
📌Tengeneza mahusiano yako na Mungu.
📌Mche Mungu uache uovu.
📌Nguvu ya kushinda dhambi ni Yesu mwenyewe ukimruhusu ndani yako.
📌📌📌Mimi Huyu ninaamini Kuna watu wataenda mbinguni wewe pamoja na Kiburi Cha dini unayosali mtaenda jehanamu na mchungaji wako 😭😭inauma!!
📌📌Mungu anataka watu wote waokolewe wewe upo mtaani Unahubiri kanisa lako ni AIBU iliyoje Mhubiri Yesu aseee!!!
Addicted to Jesus
Sisi ndio wale tunaosaidiwa na Bwana.

Jisajili mapema kwa yeyote Anayependa kuhudhuria mkutano huu wa MIUJIZA na UPONYAJI.Wanahitajika watendakazi wengi kulik...
28/03/2026

Jisajili mapema kwa yeyote Anayependa kuhudhuria mkutano huu wa MIUJIZA na UPONYAJI.
Wanahitajika watendakazi wengi kuliko kawaida!!
Tuma Neno: Mkutano kwenye Namba:0659102624 Whatsapp
sema; MINJINGU kwa Yesu.
📌Endelea kuomba
📌 Endelea kufunga
📌 Endelea kuandaa nauli yako kuhudhuria hapa
📌

Na ikumbukwe kuwa "MAVUNO ni mengi watenda kazi ni wachache"✓Tunakukaribisha sana kuhudhuria mkutano huu wa kwanza kwa m...
14/03/2026

Na ikumbukwe kuwa "MAVUNO ni mengi watenda kazi ni wachache"
✓Tunakukaribisha sana kuhudhuria mkutano huu wa kwanza kwa mwaka huu utakaofanyika pale Mpakani Mwa Arusha na manyara MINJINGU-KIBAONI Tarehe 12-19/04/2026
✓Usiache kukuombea
✓Karibu pia kwa sadaka Yako kwa akaunti namba zifuatazo;
MIX BY YAS:+255 659 102 625
LIPA KWA YAS:7738948
CRDB ACC:0152611974700
MAJINA: GODFREY MANGE MHELA
✓ukituma wasiliana NAMI kwa namba hii 0670474591
✓Kwa yeyote atakayetamani kwenda kuvuna nafsi za watu. Nitafute na namba hii 0670474591
✓Nawapenda sana na ninawaombea wote.
✓God bless you so much.
✓Watu wa vyuo vya ARUSHA TECHNICAL COLLEGE (ATC),AIA,UTUMISHI lakini pia watu wa Moshi watakuwepo MWENGE,KCMC,USHIRIKA,MWEKA,MTC etc mbeya pia watakuwepo MUST, MZUMBE etc bila kusahau watu wa singida,Dodoma Na Tanga
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

Address

Manyara

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when GMEA Ministries posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share