Paradiso choir EAGT Kyela

Paradiso choir EAGT Kyela paradiso choir ni kwaya inayomtumikia Mungu Kwa njia ya uimbaji. kwaya hii IPO chini ya Bishop Dr. Keneth Kasunga wa kanisa la EAGT Kyela Mbugani .

Ilikuwa ni Baraka saana kuhudumu Pamoja na Mtumishi wa Mungu Bishop Dr. Keneth Kasunga  katika mji wa Bagamoyo.Mungu ali...
26/03/2024

Ilikuwa ni Baraka saana kuhudumu Pamoja na Mtumishi wa Mungu Bishop Dr. Keneth Kasunga katika mji wa Bagamoyo.

Mungu alionekana akiokoa na kuponya wote walioonewa na ibilisi

Watoto wa bishop Dr. Keneth Kasunga wakiwa katika kusudi waliloitiwa.
19/02/2024

Watoto wa bishop Dr. Keneth Kasunga wakiwa katika kusudi waliloitiwa.

Tunamshukuru Mungu kutupa baba mzuri , mwenye hofu ya Mungu k**a wewe.Hakika mafundisho Yako yanatutoa kutoka hatua moja...
19/02/2024

Tunamshukuru Mungu kutupa baba mzuri , mwenye hofu ya Mungu k**a wewe.

Hakika mafundisho Yako yanatutoa kutoka hatua moja kwenda nyingine.

Mungu akutunze baba, akujaalie miaka mingi ya kuishi ili wengi wafaidi na huduma Yako hii.

TUNAKUPENDA SAANA

Address

Mbugani
Kyela

Telephone

+255763167798

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Paradiso choir EAGT Kyela posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category