03/04/2026
Bwana Yesu asifiwe.
Kanisa la True Light Church Dar es salaam tunaomba kipekee kukukaribisha kwenye semina ya Maalumu ya Pasaka ambayo itafanyika siku ya Ijumaa pamoja na Jumapili .
Mtumish wa Mungu Askofu Lotha Laizer kutokea Arusha atakuwa mgeni akifundisha na kuombea watu kwenye semina hii.
Kwenye semina hii Mtumishi wa Mungu atakufundisha NAMNA DAMU YA YESU INAVYOWEZA KUKUSAIA KUTOKA KWENYE VIFUNGO VYA SHETANI.
Watu wengi hawajui Namna Damu ya Yesu inavyoweza kuwasaidia kumshinda shetani na Kila njama zake .
Ufunuo wa Yohana 12:11
[11]Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.
And they overcame him by the blood of the Lamb, and by the word of their testimony; and they loved not their lives unto the death.
Semina hii itafanyika Ijumaa ya Pasaka tarehe 3/4/2026 Kuanzia saa kumi jioni na Jumapili ya Pasaka Kuanzia saa nne Asubuhi .
Ni siku mbili tu za KUJUA Siri za rohoni za Namna ya Kumshinda Shetani na Njama zake .
Kwenye semina hii tutakuwa na Waimbaji mbalimbali wakiongozwa na Wana wa Asafu .
Nikuombe popote ulipo USIKOSE kwenye semina hii muhimu .
WAALIKE WATU WENGI KADIRI UWEZAVYO .
Wako ,
Prophet AJ Mazengo
Mchungaji Kiongozi
True Light Church _Worldwide .
MAWASILIANO 0716854881
JESUS IS ALIVE COME AND SEE