27/02/2026
ZAKATUL FITRI
🟢 Ni wajibu kwa kila Muislamu kujitolea Zakatul Fitri kwa ajili yake na familia yake.
🟢 Kila mtu anatakiwa kutoa kilo 2½ za mchele sawa na TSH 7,500/=.
🟢 Mfano:
Familia yenye mume, mke na watoto watatu = watu 5
Baba atawajibika kutoa:
7,500 × 5 = TSH 37,500/=
🟢 Tuna wanafunzi wa bweni masikini wanaohifadhi Qur’ani ambao wanastahiki kupewa kipaumbele, kwani mara nyingi hawapati uangalizi wa kutosha.
🟢 Tuma Zaka yako kupitia Tigo Pesa: 0712 823 395
Jina: Mahmoud Qudra Mtamike
(Mwalimu Mkuu – Madrasa Til Uluumi Shar'iyyah)
📱 WhatsApp: 0692 824 414
Piga simu kwa maelezo zaidi au maswali.
Allah akubali Zakat zenu na azijaalie ziwe sababu ya kheri na baraka. Ameen.