Madrassatil Uluumi Shar'iyyah مدرسة العلوم الشرعية

Madrassatil Uluumi Shar'iyyah مدرسة العلوم الشرعية مدرسة العلوم الشرعية في تنزانيا أسست سنة ٢٠١٧.

تتكون المدرسة من قسمين رئيسيين:
(١) قسم تحفيظ القرآن الكريم
(٢) قسم الدراسات العالمية

ZAKATUL FITRI🟢 Ni wajibu kwa kila Muislamu kujitolea Zakatul Fitri kwa ajili yake na familia yake.🟢 Kila mtu anatakiwa k...
27/02/2026

ZAKATUL FITRI
🟢 Ni wajibu kwa kila Muislamu kujitolea Zakatul Fitri kwa ajili yake na familia yake.
🟢 Kila mtu anatakiwa kutoa kilo 2½ za mchele sawa na TSH 7,500/=.
🟢 Mfano:
Familia yenye mume, mke na watoto watatu = watu 5
Baba atawajibika kutoa:
7,500 × 5 = TSH 37,500/=
🟢 Tuna wanafunzi wa bweni masikini wanaohifadhi Qur’ani ambao wanastahiki kupewa kipaumbele, kwani mara nyingi hawapati uangalizi wa kutosha.
🟢 Tuma Zaka yako kupitia Tigo Pesa: 0712 823 395
Jina: Mahmoud Qudra Mtamike
(Mwalimu Mkuu – Madrasa Til Uluumi Shar'iyyah)
📱 WhatsApp: 0692 824 414
Piga simu kwa maelezo zaidi au maswali.
Allah akubali Zakat zenu na azijaalie ziwe sababu ya kheri na baraka. Ameen.

Madrasat Uluumi Shar'iyyah  night view
15/12/2025

Madrasat Uluumi Shar'iyyah night view

Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mama Samia Suluhu Hasan Allah amlinde Akimsikiliza Founder na CEO...
26/09/2025

Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mama Samia Suluhu Hasan Allah amlinde

Akimsikiliza Founder na CEO wa GBRI BUSINESS SOLUTIONS COMPANY LIMITED dada yetu na mtu wa kheri Bi Khadija Jabir Allah amlinde

Madrasat Uluumi Shar'iyyah Kisarawe uongozi na wanafunzi wanamuombea Rais wetu mafanikio, afya na kila la kheri
Pia tunamuombea dada yetu Khadija Jabir azidi kufanikiwa katika kila jambo na baraka tele na afya kamili Aamin

15/07/2025

Mtihani wa tajweed kipengele cha hadar
Mwaka wa pili
Madrasat Uluumi Shar'iyyah Mzenga Pwani
Mahitaji ya Madrasa:
1.Chakula cha wanafunzi
2. Ujenzi wa Madarasa
3. Posho za walimu

Karibu uchangie Fisabilillah
Tuma kwa lipa namba Tigo pesa;
Jina la akaumti :
Madrasat Uluumi Shariyyah.

Namba ya akaunti: 16445870
Au
Mixx by yass 0712 823 395
Airtel Money 0692824414
Jina Mahmoud Qudra Mtamike Mudir wa Madrasa
Shukran

Madrasat uluumi Shar'iyyah Mzenga Kisarawe Tanzania Ni mtoto wa Madrasatul Uloomi Shar'iyyah Benoni South Africa Tunatas...
29/01/2025

Madrasat uluumi Shar'iyyah Mzenga Kisarawe Tanzania
Ni mtoto wa Madrasatul Uloomi Shar'iyyah Benoni South Africa

Tunatasharraf kuwatangazieni

Jalsâ ya Madrasatul Uloomi Shar'iyyah Benoni South Africa

02/01/2025

Changia ujenzi wa madrasa upate thawabu ya kila herufi inayosomwa Leo Hadi siku ya kiama

Katika tofali 1000 tumepata tofali 560 Bado tofali 440
Tuma swadaqa yako kupitia Airtel Money 0692824414
Jina Mahmoud Mtamike
Mwalim Mkuu

NAFASI ZA MASOMO YA MADRASA BWENI  NA UFADHILI WA ADA Tunakutangazia nafasi za Masomo ya Kiislam ambayo mwanafunzi asiye...
25/12/2024

NAFASI ZA MASOMO YA MADRASA BWENI NA UFADHILI WA ADA
Tunakutangazia nafasi za Masomo ya Kiislam ambayo mwanafunzi asiye na uwezo atafadhiliwa ada,chakula, na malazi
nafasi za ufadhili ni chache wahi Sasa

1. Anayeanza kujifunza Qur ani
2. Kuhifadhi Qur ani
3.Kozi ya Aalimiya (sawa na Bachelor Degree)

Mlete mwanao apate elimu bora

Mawasiliano:
Whatsapp
0692824414
Simu
0712 823 395

Tunahitaji tofali 1000 Tareh 17/11/2024 tumepata tofali 180Bado tofali 720Tigo pesa 0712 823 395Airtel Money 0692824414J...
19/11/2024

Tunahitaji tofali 1000
Tareh 17/11/2024 tumepata tofali 180
Bado tofali 720

Tigo pesa 0712 823 395
Airtel Money 0692824414
Jina Mahmoud Qudra Mtamike Mudir wa Madrasa
Shukran

ANAFASI ZA MASOMO YA MADRASA Tunakutangazia nafasi za Masomo ya Kiislam kuanzia mwanafunzi 1. Anayeanza kujifunza Qur an...
31/10/2024

ANAFASI ZA MASOMO YA MADRASA
Tunakutangazia nafasi za Masomo ya Kiislam kuanzia mwanafunzi
1. Anayeanza kujifunza Qur ani
2. Kuhifadhi Qur ani
3.Kozi ya Aalimiya (sawa na Bachelor Degree)

Mlete mwanao apate elimu bora

Mawasiliano:
Whatsapp
0692824414
Simu
0712 823 395

Address

Mzenga
Kisarawe

Telephone

+255692824414

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Madrassatil Uluumi Shar'iyyah مدرسة العلوم الشرعية posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share