30/04/2026
30/04/2026 - ALHAMISI.
Mpigieni Bwana kelele za shangwe, Ndani ya Kristo tunakuwa wapya.
Mathayo 9:14-17 & 2 Mambo ya Nyakati 5:11-14.
Tunakumbushwa kuendelea kujitakasa kila wakati ili itusaidie kupata maelekezo kutoka kwa Mungu na kuyatekeleza pamoja na kupata kibali cha kumsifu na kumshukuru ili utukufu wake ujae kwenye maisha yetu yote ya kila siku ya hapa duniani.
Eng. Richard R. Mwambije