Y.M.Magembe

Y.M.Magembe Yohana Magembe is a Pentecostal Pastor/Preacher and Director of Global Mission International from United Republic of Tanzania.

21/04/2026

Moja kati ya Jambo la lazima kuamua na kufanya intentional katika zama za leo ni kuishi kwa kufuata kanuni za kiMUNGU na kufukuzia matokeo ya ki Mungu. Tatizo kubwa tulilo nalo leo, wengi wanamtafuta Mungu nje ya kanuni alizoweka. Tembelea Youtube.. Nimeongea kanuni NNE za msingi. karibu sana. You will be blessed.

28/03/2026

Moja kati ya zana muhimu sana na ya lazima kwa Muombaji ni uwezo wa kumsikia Mungu anaposema. Lengo kuu la maombi ni kuzungumza na Mungu na ili mazungumzo yakamilile lazima pande mbili zihusike. Uhakika wa Mungu kujibu ni asilimia miamoja 💯changamoto imekua kwa mwanadamu anayezungumza na Mungu.

Kwenye muendelezo wa somo la Maombi nimeanza kuongea kipengere muhimu - KUISIKIA NA KUIELEWA SAUTI YA MUNGU. Nenda youtube. Karibu sana kila Ijumaa kuanzia saa 18:15 Jioni.

21/12/2025

Victory All Round. Visit youtube for the full experience.

Mtu yeyote anayeenda mbali na maisha yake au hatima yake, yuko makini sana na nini afanye na nini asifanye. Moja ya saba...
10/12/2025

Mtu yeyote anayeenda mbali na maisha yake au hatima yake, yuko makini sana na nini afanye na nini asifanye.
Moja ya sababu kubwa na ya msingi kwanini Yusuph alimkimbia mke wa Potifa alijua lile ni kosa lenye uwezo wa kumkosanisha na Mungu na kutia dosari mchakato wa kufikia Hatima yake.

K**a unatambua unataka kwenda mbali Ogopa sana kundi la watu wasio jali makosa na hatua zao za kila siku. Adui wa hatima ni mwerevu na anatunza kumbukumbu.. hakuna kosa dogo lisilo na madhara k**a halijarekebishwa kwa kufuata utaratibu. Mchakato wa hatima hauchakachuliwi.

Epuka kufanya makosa yasiyo ya lazima, Ishi maisha yenye utaratibu, lipa gharama inayotakiwa ya kurekenisha kila unapokosea… Usichakachue mchakato wa safari yako… EPUKA SANA WATU WASIO JALI NA WASIO NA UTARATIBU. EPUKA SANA MTU ASIYETAMBUA MAMLAKA YOYOTE NA ANANAYEFANYA KILA KITU NAMNA ANAVYOTAKA. Watu wa namna hyo hawana mchnago wowote kwenye hatima yako.

Mungu akusaidie hekima ya kupita njia ya hatima na akuepushe na makosa yaliyotegwa na Shetani kukuangamiza.

Math 6:13
Usitutie majaribuni, bali utuokoe kutoka kwa yule mwovu [kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amen

The existence of the Church is a Devine Idea not men's plan.Kuwepo kwa kanisa ulimwenguni ni wazo la Mungu, sio mpango w...
24/10/2025

The existence of the Church is a Devine Idea not men's plan.

Kuwepo kwa kanisa ulimwenguni ni wazo la Mungu, sio mpango wa mwanadanu. Mathayo 16:18.

22/10/2025

Kwa mkristo yeyote ili uishi maisha yenye matokeo lazime ujazwe Roho Mtakatifu na sio tu kujazwa bali ujawe na Roho (hii ni kudumu katika ujazo) na hii upelekea matokeo ya Juu zaidi na matokeo kusudiwa ya ujazo... I. Kuongozwa na Roho II. Upako (Anointing) kuwa chombo cha Roho. Hii ndio sababu Yesu anapopaa alikataza wanafunzi kufanya lolote mpaka wapokee ujazo wa Roho mtakatifu.

Luka 24:49 Na tazama, nawaletea juu yenu ahadi ya Baba yangu; lakini kaeni humu mjini, hata mvikwe uwezo utokao juu.

Ukajazwe na kuongozwa na Roho katika Jina la Yesu.

19/10/2025

Worship with us today from 0900 a.m. we will be glad to welcome you.

Abudu nasi leo kuanzia saa 0900 Asubuhi. Tutafurahi kukupokea.

PCC KIMARA KOLOGWE
Global Mission Centre
DSM
+255(0) 745 800 060

18/10/2025

USIAMBATANE NA KILA MTU, Anasema mtume Paulo 1Wakorintho 15:33 Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema. Tumieni akili k**a ipasavyo, wala msitende dhambi; kwa maana wengine hawamjui Mungu.

Mtume Petro anatoa kanuni kadhaa za Jinsi ya kuishi Maisha Matakatifu kwa mtu aliye okoka na miongoni mwa mambo ya lazim...
17/10/2025

Mtume Petro anatoa kanuni kadhaa za Jinsi ya kuishi Maisha Matakatifu kwa mtu aliye okoka na miongoni mwa mambo ya lazima mtu kufanya ili aweze ishi maisha matakatifu, ni lazima aue utu wa kale.

Mtume Petro anatoa kanuni kadhaa za Jinsi ya kuishi Maisha Matakatifu kwa mtu aliye okoka na miongoni mwa mambo ya lazima mtu kufanya ili aweze ishi maisha m...

17/10/2025

Mtume wa Yesu Kristo Yohana anamwambia Gayo
3 Yohana 1:2 Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, k**a vile roho yako ifanikiwavyo.

Kufanikiwa kiuchumi ni haki na hali ya msingi na yalazima kwa kila mtoto wa Mungu. Changamoto kubwa zaidi kwa watu wengi wa Mungu kushindwa kufanikiwa imeanzia kwenye ufahamu... uhaba wa maarifa sahihi juu ya namna ya kufanikiwa katika ufalme wa Mungu.

Nimekua na series ya baraka sana kufundisha juu ya UTAWALA WA KIUCHUMI (FINANCIAL DOMINION) kwa watu wa ufalme wa Mungu. Mafundisho yote yako Youtube, nenda ukabarikiwe.

K**a vile roho yako ifanikiwavyo, Mungu akupe kufanikiwa sana.

Wafilipi 1:20  k**a vile nilivyotazamia sana, na kutumaini, kwamba sitaaibika kamwe, bali kwa uthabiti wote, k**a sikuzo...
09/09/2025

Wafilipi 1:20 k**a vile nilivyotazamia sana, na kutumaini, kwamba sitaaibika kamwe, bali kwa uthabiti wote, k**a sikuzote na sasa vivyo hivyo Kristo ataadhimishwa katika mwili wangu; ikiwa kwa maisha yangu, au ikiwa kwa mauti yangu.

Address

Kinondoni

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Y.M.Magembe posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Y.M.Magembe:

Share