Kanisa Jipya La Kimitume Tz

Kanisa Jipya La Kimitume Tz Tunamfuata Yesu Kristo kupitia mitume walio hai

Jumapili, 21 julai 2024 ‘’MALI YA YESU KRISTO’’Ujumbe: « Ubatizo unaashiria mwanzo wa maisha mapya pamoja na Kristo. »An...
16/07/2024

Jumapili, 21 julai 2024 ‘’MALI YA YESU KRISTO’’

Ujumbe: « Ubatizo unaashiria mwanzo wa maisha mapya pamoja na Kristo. »

Andiko: MATENDO YA MITUME 8:36-38

‘’Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? Akaamuru lile gari lisimame; wakateremka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza.’’

Jumapili, 30 juni 2024 ‘’KUFUFUKA PAMOJA NA YESU’’Ujumbe: « Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya walio hai na wafu »And...
27/06/2024

Jumapili, 30 juni 2024 ‘’KUFUFUKA PAMOJA NA YESU’’

Ujumbe: « Yesu alikufa na kufufuka kwa ajili ya walio hai na wafu »

Andiko: 1 WATHESALONIKE 4:14:

‘’Tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, kwa hiyo tunaamini kwamba Mungu atawainua wale waliokufa pamoja na Kristo wakiwa ndani yake.’’

Jumapili, 23 juni 2023 ‘’KUITAKASA SIKU YA SABATO’’Ujumbe: « Tunaitakasa siku ya sabato kwa kumgeukia Mungu. »Andiko: KU...
20/06/2024

Jumapili, 23 juni 2023 ‘’KUITAKASA SIKU YA SABATO’’

Ujumbe: « Tunaitakasa siku ya sabato kwa kumgeukia Mungu. »

Andiko: KUTOKA 20:8:

‘’Ikumbuke siku ya sabato uitakase.’’

Jumapili, 16 juni 2024 ‘’MUNGU MMOJA’’Ujumbe: « Tunamwabudu Mungu, aliyejifunua katika Yesu Kristo. »Andiko: KUTOKA 20:2...
12/06/2024

Jumapili, 16 juni 2024 ‘’MUNGU MMOJA’’

Ujumbe: « Tunamwabudu Mungu, aliyejifunua katika Yesu Kristo. »

Andiko: KUTOKA 20:2-3:

‘’2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.’’

Jumapili, 2 Juni 2024 ‘’OFISI YA PETRO’’Ujumbe: « Ofisi ya Petro ni ya kanisa la Kristo »Andiko: Yohana 21:16:‘’ Akamwam...
28/05/2024

Jumapili, 2 Juni 2024 ‘’OFISI YA PETRO’’

Ujumbe: « Ofisi ya Petro ni ya kanisa la Kristo »

Andiko: Yohana 21:16:

‘’ Akamwambia tena mara ya pili, Simoni wa Yohana, wanipenda? Akamwambia, Ndiyo, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Chunga kondoo wangu.’’

Jumapili, 26 mei 2024 « MUNGU WA UTATU »Ujumbe: ‘’Wanadamu hupitia uwepo wa Mungu wa Utatu’’Andiko: MWANZO 18:1-2a:‘’Ndi...
21/05/2024

Jumapili, 26 mei 2024 « MUNGU WA UTATU »

Ujumbe: ‘’Wanadamu hupitia uwepo wa Mungu wa Utatu’’

Andiko: MWANZO 18:1-2a:

‘’Ndipo Bwana akamtokea karibu na mialoni ya Mamre, . . . alipokuwa ameketi kwenye mlango wa hema wakati wa joto la mchana. Basi akainua macho yake, akatazama, na tazama, watu watatu wamesimama karibu naye.’’

PENTEKOSTIJumapili, 19 mei 2024 «  KUISHI KATIKA MAFUNDISHO YA MITUME »Ujumbe: ‘’Tunaweka maisha yetu katika mafundisho ...
17/05/2024

PENTEKOSTI
Jumapili, 19 mei 2024 « KUISHI KATIKA MAFUNDISHO YA MITUME »

Ujumbe: ‘’Tunaweka maisha yetu katika mafundisho ya mitume’’

Andiko: Yuda 20:
‘’Lakini ninyi wapendwa, jengeni maisha yenu juu ya imani yenu takatifu; ombeni katika nguvu na uweza wa Roho Mtakatifu.’’

‘’KUPAA’’Alhamisi, 9 mei 2024 ‘’KUINULIWA KWAKE ALIYEFUFUKA’’Ujumbe: « Kristo huwabariki wale wanaomuamini »Andiko: Luka...
08/05/2024

‘’KUPAA’’

Alhamisi, 9 mei 2024 ‘’KUINULIWA KWAKE ALIYEFUFUKA’’

Ujumbe: « Kristo huwabariki wale wanaomuamini »

Andiko: Luka 24:50-51:

« 50 Kisha akawaongoza nje ya mji mpaka Bethania, akainua mikono yake, akawabariki. 51 Alipokuwa anawabariki, akawaacha; akachukuliwa mbinguni. »

Jumapili, 5 mei 2024 ‘’AHADI ZA ROHO MTAKATIFU’’Ujumbe: « Shughuli yenye nguvu ya Roho Mtakatifu imetabiriwa katika agan...
02/05/2024

Jumapili, 5 mei 2024 ‘’AHADI ZA ROHO MTAKATIFU’’

Ujumbe: « Shughuli yenye nguvu ya Roho Mtakatifu imetabiriwa katika agano la kale. »

Andiko: Yoeli 2:28:

‘’Kisha hapo baadaye nitaimimina roho yangu juu ya binadamu wote. Watoto wenu wa k**e na wa kiume watatabiri, wazee wenu wataota ndoto, na vijana wenu wataona maono.’’

Jumapili, 28 aprili 2024 « AMEFANYA YOTE VYEMA»Ujumbe: « Kazi za Yesu Kristo ni kamilifu. »Andiko: Marko 7:37:‘’Watu wal...
26/04/2024

Jumapili, 28 aprili 2024 « AMEFANYA YOTE VYEMA»

Ujumbe: « Kazi za Yesu Kristo ni kamilifu. »

Andiko: Marko 7:37:
‘’Watu walishangaa sana, wakasema, “Amefanya yote vyema: Amewajalia viziwi kusikia, na mabubu kusema!”

Jumapili, 21 aprili 2024 « YESU BWANA »Ujumbe: ‘’ Kristo anatawala ndani ya Kanisa na ndani yetu’’Andiko: WAEFESO 1:22-2...
15/04/2024

Jumapili, 21 aprili 2024 « YESU BWANA »

Ujumbe: ‘’ Kristo anatawala ndani ya Kanisa na ndani yetu’’

Andiko: WAEFESO 1:22-23:

« 22 Naye Mungu ameweka vitu vyote viwe chini ya miguu yake na amemfanya yeye awe kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa, 23 ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake Yeye aliye yote katika yote. »

Address

Kigoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanisa Jipya La Kimitume Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Kanisa Jipya La Kimitume Tz:

Share

Category