Mwongozo SDA Church

Mwongozo SDA Church Karibu kwenye ukurasa rasmi wa kanisa la Waadventista wa sabato Mwongozo.

Hapa utapata taarifa mbalimbali kulihusu Kanisa, Utume wake, Huduma za Ibada na Maombi, pamoja na Matukio mengine mbalimbali.

30/05/2026

Mungu anataka Tumwamini katika hali zote.
Pr Elly Mchome

📍

Tunamshukuru Mungu kwa kuwawezesha wanawake hawa kutoka Mwongozo Sda Church  kufika salama nchini Uturuki. Safari hii ya...
29/05/2026

Tunamshukuru Mungu kwa kuwawezesha wanawake hawa kutoka Mwongozo Sda Church kufika salama nchini Uturuki. Safari hii ya kipekee imeandaliwa na Idara ya Wanawake Unioni ya Kusini mwa Tanzania.
​Tunawatakia baraka tele za Bwana mnapojifunza, mnapokua kiroho, na kutalii maeneo mapya! 🇹🇿✈️🇹🇷






WanawakeNaUinjilisti

25/05/2026

Kutembea na Yesu

Tunamtukuza Mungu kwa Watu hawa waliompokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha Yao,Katika Mahubiri ya Njombe net event...
25/05/2026

Tunamtukuza Mungu kwa Watu hawa waliompokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha Yao,Katika Mahubiri ya Njombe net event yanayoendelea kurushwa Mubashara

✨Miguu yetu inaweza kuchoka, lakini tukitembea na Yesu, tunapata nguvu mpya😊Tunakualika uungane nasi Sabato hii ya wavum...
15/05/2026

✨Miguu yetu inaweza kuchoka, lakini tukitembea na Yesu, tunapata nguvu mpya
😊Tunakualika uungane nasi Sabato hii ya wavumbuzi, tujifunze jinsi ya kupiga hatua za imani kuelekea mbinguni.
Usipange kukosa!


✨Ungana nasi katika Kongamano la kuibua Vipaji vya Watoto,Kanda ya Mwongozo.Karibuni tujionee utukufu wa Mungu kupitia v...
14/05/2026

✨Ungana nasi katika Kongamano la kuibua Vipaji vya Watoto,Kanda ya Mwongozo.
Karibuni tujionee utukufu wa Mungu kupitia vipaji vya watoto wetu Jumapili hii. Usikose kuona kile ambacho Mungu amewekeza ndani yao!

📍
🪄

14/05/2026

✨Karibu Jumamosi hii tunaposherehekea Miaka 37 ya Adventurers wakitembea na Yesu. Kizazi baada ya kizazi,safari inaendelea.

📍Mwongozo Sda Church
⏰ Saa 3 Asubuhi- 10 Jioni



10/05/2026

Upendo wa kweli ni kuwa mlinzi wa ndugu yako. Sote tumekabidhiwa dhamana hii, na tujue kuwa siku moja tutadaiwa hesabu mbele za Mungu kwa kila nafasi tuliyopata ya kuinua walioanguka

📍

10/05/2026

Katika vita vya Israeli, ushindi haukumtegemea Musa peke yake
ulitegemea mikono ya Joshua na Haruni iliyomtegemeza.
Wakati mikono yake ilipoinuliwa WALISHINDA.
Iliposhuka walianza kushindwa.
Hebu, fikiria hivi:Je, k**a Joshua na Haruni wasingesimama itakuwaje?
Leo Mungu hakuachi kazi yake kwa mtu mmoja
Amekuita WEWE. Ameniita MIMI. Ametuita KILA MMOJA WETU.

Elder Daniel Mwangi

08/05/2026

Happy Preparation Day🎶

Address

Kigamboni

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mwongozo SDA Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Mwongozo SDA Church:

Share