24/03/2017
Officially, Tunapenda kuwatangazia wana Mapendo wote wa Kanda ya Kibaha 'A' kuwa...... Tareh 26/03/2016 Tunategemea kuwaaga Kaka zetu wa kidato cha sita katika mahafali yatakayo fanyika katika Ukumbi wa Bertil merlin ndani ya Shirika la Elimu la Kibaha huku yakitanguliwa na Misa takatifu.
nyote wana Mapendo
Wabariki kaka zetu, MUNGU yabariki Mahafali yetu.....!!!!!