13/07/2026
(13.07.2026) MONDAY SERVICE
Maombezi uponyaji na kufunguliwa. Tufuatilie kupitia vyombo vyetu vya habari. Arise and shine tv redio zetu zote pamoja na mitando ya kijamii. Mtume Bulldozer Mwamposa atakuombea na utafunguliwa popote ulipo kwani Mungu wetu hazuiliwi na umbali.