RC Kahama Online

RC Kahama Online Kuinjilisha kwa njia ya Mitandao
(1)

01/09/2026

TUJITAHIDI KUMPA MUNGU NAFASI YA KWANZA KATIKA MAISHA YETU NA MAMBO MENGINE YAWE ZIADA. ASKOFU NDIZEYE

Karibu Utazame sehemu ya homilia yake Mhashamu Christopher Ndizeye Nkoronko, Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama aliyoitoa wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya kuanza kwa Semina ya Makatekista Jimboni Humo.

01/09/2026

Karibu utazame namna ambavyo Padri Peter Emmanuel Nyambale alivyowabariki wazazi wake Baba Emmanuel Somola na Mama Neema Tanganyika wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Shukrani kwa Mungu kwa Daraja Takatifu la Upadre aliopatiwa Julai 16,2026.

Misa Takatifu ilifanyika Nyumbani kwao kijiji cha Bukindwasali Parokia ya Huruma ya Mungu Bulungwa, Jimbo Katoliki Kahama.

MATUKIO KATIKA PICHA - KAHAMAWakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kufungua Semina ya Makatekisa wanaofanya Utume wao ...
01/09/2026

MATUKIO KATIKA PICHA - KAHAMA
Wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kufungua Semina ya Makatekisa wanaofanya Utume wao Jimbo Katoliki Kahama. Zaidi ya waalimu wa Imani 300 wamehudhuria Semina hiyo.

Misa imeadhimishwa na Mhashamu Christopher Ndizeye, Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama katika kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga.

HABARI PICHA KANISA KUU KAHAMAWakati wa Ufunguzi wa Semina ya Makatekista wanaofanya Utume wao Jimbo Katoliki Kahama kat...
01/09/2026

HABARI PICHA KANISA KUU KAHAMA
Wakati wa Ufunguzi wa Semina ya Makatekista wanaofanya Utume wao Jimbo Katoliki Kahama katika kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga Kahama Mjini.

Semina hiyo Imefunguliwa na Mhashamu na Mhashamu Christopher Ndizeye, Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama Usiku wa Agosti 31, 2026.

01/09/2026

|| MISA TAKATIFU YA UFUNGUZI WA SEMINA YA MAKATEKISTA- KAHAMA

Karibu tushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Kuanza kwa Semina ya Makatekista wa Jimbo Katoliki Kahama katika Kanisa kuu la Mtakatifu Karoli Lwanga Kahama Mjini.

Misa inaadhimishwa na Mhashamu Christopher Ndizeye Nkoronko, Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama.

Karibu tumtakie neno la heri na baraka Padre Peter Augustino, Paroko Msaidizi Parokia ya Ekaristi Takatifu - Kabuhima, l...
28/08/2026

Karibu tumtakie neno la heri na baraka Padre Peter Augustino, Paroko Msaidizi Parokia ya Ekaristi Takatifu - Kabuhima, leo anapoadhimisha siku yake ya kuzaliwa.

MATUKIO KATIKA PICHA BUSOKA - JIMBO KATOLIKI KAHAMAWakati wa adhimisho la Misa takatifu iliyoongozwa na Mhasham Askofu C...
27/08/2026

MATUKIO KATIKA PICHA BUSOKA - JIMBO KATOLIKI KAHAMA

Wakati wa adhimisho la Misa takatifu iliyoongozwa na Mhasham Askofu Christopher Ndizeye ya kuwaaga waseminaristi wa nyumba ya malezi, wanaomaliza mwaka wao wa tafakari kujiandaa na Masomo ya Falsafa.

27/08/2026

|| MISA TAKATIFU YA SHUKRANI KWA DARAJA YA UPADRE WA PADRE NYAMBALE

Karibu tushiriki Adhimisho la Misa Takatifu Shukrani kwa Daraja Takatifu ya Upadri wa Padri Peter Emmanuel Nyambale.

Misa inaadhimishwa na Padre Peter Nyambale Nyumbani kwao Bhukindwasali, Parokia ya Huruma ya Mungu Bulungwa, Jimbo Katoliki Kahama.

26/08/2026

|| MISA TAKATIFU NYUMBA YA MALEZI BUSOKA

Karibu tushiriki Adhimisho la Misa Takatifu Shukrani kwa Mungu kwa kumaliza Mwaka wa Malezi kwa Walelewa 18 walioko Nyumba ya Mtakatifu Yohane Mtume Busoka.

Misa inaadhimishwa na Mhashamu Christopher Ndizeye Nkoronko, Askofu wa Jimbo Katoliki Kahama.

25/08/2026

MAPOKEZI YA MAMA ISAKA KAHAMA

Address

Nyahanga
Kahama

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when RC Kahama Online posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share