13/09/2025
Mungu wa baba zetu Ibrahim, Isaka na Yakobo aliwakumbuka wana Israeli Musa na apeleke wokovu kwao.
Kutoka 3:6,16
Wewe Mzazi una M(m)ungu gani. Je! Wanao wanakumbukwa na M(m)ungu gani. Je! Ni gani hutumwa kwao.
Adamu alikuwa na kazi na utafutaji akaisahau familia, shetani akaitembelea akamtokea mama na mambo magumu yakaingizwa na kuwatoa kwenye
mzuri
nzuri
ugumu kwenye maisha yao.
Watoto wako hutokewa na Nani?
Vijana watatu waliokuwa hodari katika Mungu wao, wakajibu za kiibada mbele ya mfalme mkatili Nebukadneza wa dunia nzima.
Wakamwambia Haina haja ya kusubiri kengele ya ibada. Hapa hapa tunakupa taarifa kwamba hatutasujudia muunga wako.
Unauhakika mwanao akiambiwa aabudu miungu migeni atakataa?
Awe mwabudu atakataa?
Je! Mungu huonekana kwa wanao wanapotupiwa kwenye Tanuru za moto wa maisha?
Wazazi wengi ni duni katika malezi na ndio maana mnatolewa .
Mungu wako kwa wanao k**a Joshua mbele ya Israel wote
Siku watakutoa kafara kupitia mungu waliompata huko wanapopajua wao.
Imeandaliwa na Apostle Joel Amasi