09/06/2021
Utukufu Wana wa Mungu napenda kuwakumbusha mfungo wa siku tatu unao anza Leo wa kuimarisha uchumi wako ,ikumbukwe kuwa wiki iliyopita tulikua na maombi ya kuondoa giza la kiuchumi na wiki hii Kuna maombi ya kuimarisha uchumi, usikose maombi haya muhimu.
Eneo maombi yanapo fanyika ni hapa kanisa la saa ya Ufufuo na uzima Handeni (maarufu K**a Majeshi majeshi) mkabara na shule ya msingi kwangumi ,muda wa ibada ni saa kumi kamili(10:00) jioni ,Handeni Yesu anakuita.
Ezra 8:21,23
[21]Ndipo nikaamuru kufunga, hapo penye mto Ahava, ili tupate kujinyenyekeza mbele za Mungu, na kutafuta kwake njia iliyonyoka, kwa ajili yetu sisi wenyewe, na kwa ajili ya watoto wetu, na kwa mali yetu yote.
[23]Basi tukafunga, tukamsihi Mungu wetu kwa ajili ya hayo; naye akatutakabali.