Ufufuo na Uzima-Handeni

Ufufuo na Uzima-Handeni Kwa huduma ya Maombi,Maombezi na Ushauri wa Kiroho. Huduma ni kila siku. Maombezi masaa 24.

Mawasiliano zaidi:-
+255657041223
+255652874460

WOTE MNAKARIBISHWA!!!

Ni siku ya tatu ya ushindiSikj ya tatu ya kuvuka.Sjku ya tatu ya kutobakibaki palepale ulipo. Njoo upokee muujiza wako,n...
03/04/2026

Ni siku ya tatu ya ushindi
Sikj ya tatu ya kuvuka.
Sjku ya tatu ya kutobakibaki palepale ulipo.
Njoo upokee muujiza wako,njoo ufunguliwe na kuwa huru.
πŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯



.

02/04/2026

Uapo wa kuvuka.
.

Siku ya pili ya kuvuka. Usipange kukosa. Uwepo wako ni zaidi ya thamani kwetu
02/04/2026

Siku ya pili ya kuvuka.
Usipange kukosa.
Uwepo wako ni zaidi ya thamani kwetu

02/04/2026

Siku tano za MotoπŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯πŸ’₯
Siku tano za kuvuka.
Siku tano za ushindi.
Ni siku tano na kutobaki palepale.
Usipange kukosa Mungu anataka kukufungua na kukuvusha kwa Neno lake.




02/04/2026

Siju ya kwanza ya kuponywa ba kuwekwa huru.
Usipange kukosa wala usikose kuja kupokea muujiza wako
πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

02/04/2026

Siku ya kwanza ya kuvuka.

Siku tano za MotoπŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯πŸ’₯Siku tano za kuvuka.Siku tano za ushindi.Ni siku tano na kutobaki palepale.Usipange kukosa Mungu an...
31/03/2026

Siku tano za MotoπŸ”₯πŸ’₯πŸ”₯πŸ’₯
Siku tano za kuvuka.
Siku tano za ushindi.
Ni siku tano na kutobaki palepale.
Usipange kukosa Mungu anataka kukufungua na kukuvusha kwa Neno lake.




Karibu ibadani Jumapili 18/05/2025.Baba yetu mpendwa Pastor Samson Zahoro atakuwepo kutulisha chakula cha uzima.Mawasili...
17/05/2025

Karibu ibadani Jumapili 18/05/2025.
Baba yetu mpendwa Pastor Samson Zahoro atakuwepo kutulisha chakula cha uzima.

Mawasiliano zaidi 0753635283

Utukufu Wana wa Mungu leo ni siku yetu ya pili  kufunga na kuomba kwa jili ya kuimarisha uchumi maombi haya ni ya muhimu...
10/06/2021

Utukufu Wana wa Mungu leo ni siku yetu ya pili kufunga na kuomba kwa jili ya kuimarisha uchumi maombi haya ni ya muhimu sana usikose na uwaarifu na watu wengine handeni kazi inaendelea.
Ayubu 4:4
[4]Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka,
Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.
Mahali lilipo kanisa palepale Karibu na shule ya msingi kwa mngumi.

HII NI SAA YA UFUFUO NA UZIMA.

Utukufu Wana wa Mungu napenda kuwakumbusha mfungo wa siku tatu unao anza Leo wa kuimarisha uchumi wako ,ikumbukwe kuwa w...
09/06/2021

Utukufu Wana wa Mungu napenda kuwakumbusha mfungo wa siku tatu unao anza Leo wa kuimarisha uchumi wako ,ikumbukwe kuwa wiki iliyopita tulikua na maombi ya kuondoa giza la kiuchumi na wiki hii Kuna maombi ya kuimarisha uchumi, usikose maombi haya muhimu.
Eneo maombi yanapo fanyika ni hapa kanisa la saa ya Ufufuo na uzima Handeni (maarufu K**a Majeshi majeshi) mkabara na shule ya msingi kwangumi ,muda wa ibada ni saa kumi kamili(10:00) jioni ,Handeni Yesu anakuita.
Ezra 8:21,23
[21]Ndipo nikaamuru kufunga, hapo penye mto Ahava, ili tupate kujinyenyekeza mbele za Mungu, na kutafuta kwake njia iliyonyoka, kwa ajili yetu sisi wenyewe, na kwa ajili ya watoto wetu, na kwa mali yetu yote.
[23]Basi tukafunga, tukamsihi Mungu wetu kwa ajili ya hayo; naye akatutakabali.

Utukufu watu wa Mungu!! Nawasalimu kwa jina la Bwana wa Majeshi, Napenda kuwakaribisha katika Ibada ya Jumapili ya Maten...
05/06/2021

Utukufu watu wa Mungu!! Nawasalimu kwa jina la Bwana wa Majeshi, Napenda kuwakaribisha katika Ibada ya Jumapili ya Matendo makuu ya Mungu siku ya kesho.
Njoo tumalizie kuutoa Uchumi,Mali zilizo fichwa mahali pa Siri na hazina za Gizani ili uwe huru kwa jina la Yesu!!
Mahali ni Majeshi Majeshi,karibu na shule ya msingi kwa mngumi.
Tuna wakaribisha Waislam,wakristo, Buddha,na wasio na dini watu wa lika zote na kabila zote.

.
.

Address

Magari Mabovu
Handeni

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ufufuo na Uzima-Handeni posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Ufufuo na Uzima-Handeni:

Share