ECG TJNC GEITA BRANCHTanzania

ECG TJNC GEITA BRANCHTanzania near bus stand Geita Region

Ipo Neema katika utele wake kwa ajili ya Watu kuipokea. Je uko tayari kupokea hii neema?Usikose kuabudu nasi hapa ECG TJ...
12/06/2026

Ipo Neema katika utele wake kwa ajili ya Watu kuipokea. Je uko tayari kupokea hii neema?

Usikose kuabudu nasi hapa ECG TJN Tawi la Geita mjini kuanzia saa 2 asubuhi kanisa lipo nyuma ya stendi ya haice mtaa wa Tambukareli.

Tunaangusha ngome za kichawi nakupokea Neema na kuanza kutawala k**a Taifa la Yesu.

Wasiliana nasi kwa namba zilizopo hapo kwenye kipeperushi.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

2 Nya 33:6 SUV[6] Tena akawapitisha wanawe motoni katika bonde la mwana wa Hinomu; akatazama bao, akabashiri, akafanya u...
11/06/2026

2 Nya 33:6 SUV
[6] Tena akawapitisha wanawe motoni katika bonde la mwana wa Hinomu; akatazama bao, akabashiri, akafanya uganga, akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, na wachawi; akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha.

Mungu anachukia uchawi na hapendi watu watende mambo ya uchawi sasa kwakua uchawi ni roho ya shetani wapi watu wanaoteseka Kwa sababu wamefanyiwa uchawi.

Leo tunayo ibada ya ukombozi dhidi ya roho ya uchawi. Usikose Ibada hii njoo upate siri zao na baada ya hapo ni fire 🔥 prayer.

ECG The Jesus Nation Church Tanzania
Prophet Shepherd Bushiri

Mungu akikutendea jambo huwezi kosa tabasamu.Jumapili ya kesho tarehe 24 Bwana amekusudia kuwapa tabasamu watu wake.Ni j...
23/05/2026

Mungu akikutendea jambo huwezi kosa tabasamu.
Jumapili ya kesho tarehe 24 Bwana amekusudia kuwapa tabasamu watu wake.

Ni jumapili ya Upendeleo hapa ECG Geita mtaa wa Tambukareli nyuma ya stendi ya haice.

Je, lini mara ya mwisho Kwa wewe kutabasamu?

Haya ni Majira yako kua na tabasamu.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Laiti wana wa Mungu wangeruhusu Roho Mtakatifu afanye kazi zake alizotumwa na Baba Yetu wa Mbinguni yaani Mungu, sidhani...
16/05/2026

Laiti wana wa Mungu wangeruhusu Roho Mtakatifu afanye kazi zake alizotumwa na Baba Yetu wa Mbinguni yaani Mungu, sidhani k**a kila mtoto wa Mungu angekua anapanga foleni kwa Mchungaji kuombewa maana Roho Mtakatifu ni kwakila aaminie.

Wewe ambaye unataka kujua kazi za Roho Mtakatifu Kwa muumini usikose hapa ECG TJN Tawi la Geita mjini kuanzia saa 2 asubuhi kanisa lipo nyuma ya stendi ya haice nitakundisha na baadae tutaomba mabadiriko ndani ya maisha yetu nakumruhusu Roho Mtakatifu afanye alioyapanga kwa siku ya kesho.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Ni jumapili yakuzama kwenye ahadi ya Baba. Je maamuzi unayofanya, kazi an biashara ulizonazo, ndoa , huduma au maisha ya...
09/05/2026

Ni jumapili yakuzama kwenye ahadi ya Baba. Je maamuzi unayofanya, kazi an biashara ulizonazo, ndoa , huduma au maisha yako yote kwa ujumla wake, Roho Mtakatifu anahusika? Kumbuka huyu indiye Msaidizi wa kweli.

Usikose kushiriki nasi ibada ya kesho kuanzia saa 2 asubuhi hapa ECG TJN Tawi la Geita mjini mtaa wa Tambukareli nyuma ya stendi ya haice.

Nitafurahi nikikuona upo kwenye mstari wa maombi pamoja na familia yako, ndugu marafiki zako.

Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Mungu hajawahi kukosea na wala haitakuja kutokea. Alipompatia Adam Eva alijua mchango atakaotoa kwake.Jumanne hii ya tar...
27/04/2026

Mungu hajawahi kukosea na wala haitakuja kutokea. Alipompatia Adam Eva alijua mchango atakaotoa kwake.

Jumanne hii ya tarehe 28 tutakua na ibada ya Wanawake tu yenye somo Mwanamke mwenye matokeo . Lazima uwe Mwanamke mwenye matokeo kutokana na kusudi la Mungu.
Ewe Mwanamke wa Geita usikose maana ni ibada ambayo itaenda kubadirisha maisha Yako.
Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Kwa Upendo mkuu nikualike kwenye ibada yetu ya jumapili kesho saa 2 asubuhi ni siku yakupokea Jambo lako.Siku ambayo Sar...
25/04/2026

Kwa Upendo mkuu nikualike kwenye ibada yetu ya jumapili kesho saa 2 asubuhi ni siku yakupokea Jambo lako.

Siku ambayo Sarah hakutarajia ndo siku ambayo wajumbe walitumwa kwake nakumwambia habari Njema.

Usisubiri kusikia shuhuda kutoka kwa wenzako njoo na wewe upokee neema ili siku Moja na wewe uwe kwenye mstari wa ushuhuda.

Njoo ukiwa na Imani
Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

Sio mbali Kabisa ni kesho saa 2 asubuhi hapa ECG TJN Tawi la Geita.Wakati wa wokovu ni Sasa, siku ya kesho tunakuja na m...
18/04/2026

Sio mbali Kabisa ni kesho saa 2 asubuhi hapa ECG TJN Tawi la Geita.

Wakati wa wokovu ni Sasa, siku ya kesho tunakuja na majina ya ndugu zetu wote na kuombea Neema ya wokovu.

K**a unajipenda wewe na kuwapenda ndugu zako kesho Kwa wewe mkazi wa Geita Lazima utakuwepo kanisani.
Mungu akupe uzima na Neema.

ECG The Jesus Nation Church Tanzania

17/04/2026

Ni siku mbili tu nitakuwepo hapa Musoma kwenye tawi letu la ECG TJN.

Nitakua na mwenyeji wangu Pst Bensoul Nyikobe.

Ewe mkazi wa Musoma Mara ni wakati wakuona utukufu wa Yesu
ECG The Jesus Nation Church Tanzania

27/02/2026

It is happening this Sunday

Address

Geita

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ECG TJNC GEITA BRANCHTanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share