Pastor Lucas Joseph

Pastor Lucas Joseph Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Pastor Lucas Joseph, Evangelical church, Geita.

Ufunuo wa Yohana 18:4
Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.

Tunapaswa kuwa wa Beroya wa zama hizi, tusiridhike na tunachokijua pekee bali tuzidi kuyachunguza maandiko.😊Matendo 17:1...
24/01/2026

Tunapaswa kuwa wa Beroya wa zama hizi, tusiridhike na tunachokijua pekee bali tuzidi kuyachunguza maandiko.😊
Matendo 17:11 & Isaya 34:16
Karibu sana chuo cha umisheni cha sayuni TUSOME PAMOJA na tuhitimu pamoja BURE bila malipo yoyote ... Ufunuo 21:6
Je una kiu.??

We should be Bereans of these times, not content with what we know alone but continue to examine the scriptures.😊
Acts 17:11 & Isaiah 34:16
Welcome to Zion Mission College, LET'S LEARN TOGETHER and graduate together FOR FREE... Revelation 21:6.
Are you thirsty?

17/01/2026

Hakuna chenye maana ambacho ni chepesi kukifanya...
πŸ˜ŠπŸ“Œ

Karibuni sana..
07/01/2026

Karibuni sana..

Nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo, nimechelewa kuweka tangazo hili la darasa la biblia ambalo linatolewa BURE kabisa la...
23/12/2025

Nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo, nimechelewa kuweka tangazo hili la darasa la biblia ambalo linatolewa BURE kabisa lakini muda bado upo wa kujiunga. Nawakarubisha sana ndugu jamaa, marafiki, kwa wakristo wa madhehebu yote na wasio wakristo.

Unaweza kusoma online ( kwenye mtandao) au kufika katika vituo vyetu vilivyopo karibu mikoa yote Tanzania.

Kwa mawasiliano na maelekezo zaidi nitafute kwa namba hii hapa chini:
0785885988

Au njoo messenger

Eeh Mungu iponye Tanzania kusudi lako lisimame na mapenzi yako yatimie, kutoka hapa tulipofika si rahisi bila wewe...πŸ™πŸ™πŸ™...
08/11/2025

Eeh Mungu iponye Tanzania kusudi lako lisimame na mapenzi yako yatimie, kutoka hapa tulipofika si rahisi bila wewe...

πŸ™πŸ™πŸ™πŸ˜­

09/10/2025

Shalom ndugu zangu wa DINI na madhehebu yote nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo, karibuni wote mlio endelea kulike page hii. Mambo mazuri yanakuja.

πŸ€πŸ€πŸ™πŸ™

KARIBU...🀝
27/02/2025

KARIBU...🀝

26/02/2025

Usiku umeendelea sana, asubuhi inakaribia, tuyafue mavazi yetu pia taa zetu ziwe zinawaka zikiwa na mafuta yakutosha ndani yake...
πŸ™πŸ€

Wapendwa tutafuteni maarifa ya kumjua Mungu, Ndio kitu pekee kitakacho tuvusha au kutufikisha MBINGUNI salama na huo ndi...
25/02/2025

Wapendwa tutafuteni maarifa ya kumjua Mungu, Ndio kitu pekee kitakacho tuvusha au kutufikisha MBINGUNI salama na huo ndio uwekezaji bora kwa maisha ya sasa hapa Duniani na baada. Sio umaarufu, fedha, Mali n.k. KIPEKEE NAKUKARIBISHA DARASA LA BIBLIA KUANZIA MWEZI UJAO LINAANZA kwa mara nyingine, Unaweza kujifunza hata huko ulipo kwa njia ya mtandao kwa maelekezo zaidi na namna ya kujiunga njoo inbox, Mungu wa MBINGUNI AKUBARIKI..πŸ€πŸ™

πŸ™πŸ™πŸ™‡πŸΌβ€β™‚οΈ
31/12/2024

πŸ™πŸ™πŸ™‡πŸΌβ€β™‚οΈ

NAWEZA KUSEMA NA MTU FULANI LEO..!??Usikae mbali na Yesu ukifikiri kwamba lazima kwanza uwe mkamilifu ndipo utakapokuja ...
05/02/2024

NAWEZA KUSEMA NA MTU FULANI LEO..!??

Usikae mbali na Yesu ukifikiri kwamba lazima kwanza uwe mkamilifu ndipo utakapokuja kwake.

Njoo kwake sasa kwa sababu Yeye pekee ndiye anayeweza kukukamilisha.
Mgonjwa hasubiri hadi apone kabla ya kwenda kwa daktari, anaenda kwa daktari akiwa mgonjwa ili aweze kutibiwa.

Ikiwa unashindana na dhambi, usikae mbali na Yesu ukifikiri unapojikamilisha ndipo utakapokuja, siku hiyo haitakuja kamwe. Lakini ni lazima uje kwake sasa na umlilie Bwana akuokoe na dhambi zako. na kuua tamaa yako ya kutenda dhambi.
Yeye ndiye Mwokozi pekee, huwezi kujiokoa.

Karibu uabudu pamoja nasi kwa wakazi wa;

Dar es Salaam - Tegeta
Arusha - Njiro
Geita - katoro

0785885988

www.wingulamashahidi.org

Address

Geita

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pastor Lucas Joseph posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Pastor Lucas Joseph:

Share