Efatha Church Dodoma

Efatha Church Dodoma EFATHA CHURCH DODOMA WE BRING THE WORLD TO JESUS

05/09/2026
Ni Jumapili hiiKaribu sana na USIKOSE.Kwa mawasiliano: +255 787 432 633
05/09/2026

Ni Jumapili hii

Karibu sana na USIKOSE.

Kwa mawasiliano: +255 787 432 633

05/09/2026
MAOMBIToba ,rehema na utakasoa)Kuomba Toba na rehema kwa ajili ya uovu uliofanyika ndani ya familia 1 yohana 1:9b) Kuomb...
01/09/2026

MAOMBI
Toba ,rehema na utakaso
a)Kuomba Toba na rehema kwa ajili ya uovu uliofanyika ndani ya familia

1 yohana 1:9
b) Kuomba damu ya Yesu ifute laana zote katika familia zetu na maapizo yote mabaya

c) Kuomba damu ya Yesu ikalete ukombozi kwenye familia zetu na neema ya wokovu ikatembee katika familia zetu

2.Kuomba ulinzi wa familia
a) Kuomba ulinzi wa Mungu katika maisha yetu alinde,maisha yetu,ndoa,kazi na biashara zetu
b) Kuomba mabaya yaepukane na sisi kwa Yesu aliye mlinzi wetu

3.⁠ ⁠Pendo
a) Kuomba pendo la Mungu,likae ndani yetu na kwenye familia zetu
b)Kupangua kila kinachoua pendo ndani ya familia.

4.Mahitaji ya familia
a) Kuomba Mungu ashughulike na mahitaji yote ya familia

5.Magonjwa
a) Kuomba Bwana wa mabwana atuweke huru sisi na familia zetu
b) Kushughulika na kukemea adui anayeleta magonjwa ndani ya familia
c) Kwenda kinyume na kila mateso ndani ya familia.
d)Kung'oa roho ya mauti ndani ya familia
e) Kuachilia Damu ya yesu inenene mema juu yangu, familia zetu na juu ya nchi.

6.⁠ ⁠Baraka za familia
a)Kuomba baraka zako ndani ya familia

IBADA MAALUM YA FAMILIA | TAREHE 1/9/2026 | KANISA LA EFATHA KISASA, DODOMAKUHANI FRIDA GILBERTSOMO: NAFASI ZA MUNGU KAT...
01/09/2026

IBADA MAALUM YA FAMILIA | TAREHE 1/9/2026 | KANISA LA EFATHA KISASA, DODOMA
KUHANI FRIDA GILBERT
SOMO: NAFASI ZA MUNGU KATIKA FAMILIA

Familia ni mtu pia familia ni watu. Mungu mwenyewe ana familia

1. ⁠Mungu mwenyewe
- ⁠ ⁠Kumruhusu Mungu awe wa kwanza katika familia maana yake umemruhusu Mungu aitawale familia yako
- Mungu ndiye anamiliki na anatawala katika familia

2.⁠ ⁠Ndoa; yaani ni mume na mke
3.Watoto; kwa sababu watoto wanatokana na baraka ya ndoa.
4.⁠ ⁠Wazazi ambao wamemzaa mwenza wako

5. Ndugu
- Yule ambaye hajafikia nafasi ya pili ya watoto ambayo ipo katika ndoa mtu anagawanya kutokana hali anayopitia kwa wakati ule.

- Pia k**a umezifikia nafasi zote, je unasimama na kuwajibika katika nafasi hizo ulizopo? Maana kila nafasi ukiitekeleza ina baraka zake.

- Lakini Kuna mtu akishatoka kwa wazazi, anasahau kabisa nafasi ya wazazi ambayo siyo sawa
- Pia kuna watu wanatakiwa kutubu kwa sababu wamesahau nafasi za wazazi wao upande wake na upande wa wenza wao.

Wakolosai 3:18-21
"Ninyi wake, watiini waume zenu, k**a ipendezavyo katika Bwana. Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao. Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana. Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa."

- Neno la Mungu linatuongoza kwa kila ujumbe ambao tunatakiwa kuufuata, ili kila familia iweze kupata furaha na baraka

- Tunaposema nafasi ya kwanza ni Mungu ni k**a Joshua alivyosema kwamba Mimi na nyumba yangu tutamtukia bwana,maana yake Joshua familia yake alimkabidhi Mungu.

- Yawezekana sisi tulikozaliwa hatukutamkiwa maneno haya ila Mfano haya maneno akiyatamka baba ndani ya familia yake maana yake ni agano ambalo baba ameliweka.

- Familia inaanzia ndani ya mtu.

Yohana 6:33
"Kwa maana chakula cha Mungu ni kile kishukacho kutoka mbinguni na kuupa ulimwengu uzima."

Tukiyafuata haya yote hatutayahangaikia. Kwahiyo tufundishe utakatifu ndani ya familia zetu.

Familia ya kwanza ambayo Mungu aliiweka ni ya Adamu na Hawa na ni familia ambayo ilikuwa na baraka Mungu aliibariki, lakini familia hiyo iliingia katika dhambi kwa sababu ya kutokutii baada ya hapo vizazi na vizazi vikaingia katika dhambi na uovu

- Chanzo cha mambo yote yanayosababisha kuingia katika maumivu ni dhambi na uovu.

HAPPY NEW MONTH OF SEPTEMBER
01/09/2026

HAPPY NEW MONTH OF SEPTEMBER

Address

KISASA/IPAGALA MWISHO
Dodoma
41000

Telephone

+255787432633

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Dodoma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Efatha Church Dodoma:

Shortcuts

Share