TAG Jerusalem christian centre- Chigongwe Dodoma

TAG Jerusalem christian centre- Chigongwe Dodoma yesu kristo ndie bwana wa uzima, karibu tag mkombola chigongwe dodoma, ujionee maajabu yake

MISINGI 16 YA IMAN~ TAG1]Tunaamin Bible ni neno la Mungu lililovuviwa~2Tim 3:162]Tunaamin juu ya Mungu mmoja aliyehaiIsa...
09/02/2018

MISINGI 16 YA IMAN~ TAG
1]Tunaamin Bible ni neno la Mungu lililovuviwa~2Tim 3:16
2]Tunaamin juu ya Mungu mmoja aliyehai
Isaya 43:10
3]Tunaamin juu ya UUNGU wa Yesu Kristo~Yoh 1:1~3
4]Tunamin juu ya anguko la mwanadam ktk dhambi~mwa 3:6
5]Tunaamin juu ya wokovu wa mwanadam~Mdo 3:19
6]Tunaamin juu ya maagizo ya kanisa, yaan meza ya Bwana na ubatizo wa maji mengi
7]Tunaamin juu ya ubatizo wa Roho Mt~ Lk 24:49, Mdo 1:8
8]Tunaamin juu ya ishara ya nje ya kubatizwa kwa Roho Mt ambayo ni kunena kwa lugha
9]Tunaamin juu ya utakaso~ 1The 4:3
10]Tunaamin juu ya kazi za kanisa, yaan kuhubiri injil,ibada za pamoja,kujengana n.k
11]Tunaamin juu ya huduma tano za kanisa, yaan mtume, Nabii,Mwalim,Mchungaji na Mwinjilist
12]Tunaamin juu ya uponyaji wa kimungu~ Isaya 53:4~5
13]Tunaamin juu ya unyakuo kwa kanisa~ 1Thes 4:16~17
14]Tunaamin juu ya utawala wa Yesu wa miaka 1000 na watakatifu wake
15]Tunaamin juu ya hukumu ya mwisho
16]Tunaamin juu ya mbingu mpya na nchi mpya~Ufunuo 21:1~5 MWISHO
BARIKIWA SANA, ILA WOKOVU NDO K

29/12/2017

Wapendwa wangu wote wa ukurasa huu kwanza nawashukuru sana kwa kuwa pamoja kwa mwaka huu unaoisha, pili naomba tuendelee kuwa pamoja kwa mwaka unaokuja wa 2018 kuna mambo mengi zaid mazur yanakuja! Mwisho nawatakia her ya mawaka mpya 2018, tuendelee kuwa pamoja!

18/12/2017

KWELI DINI NI KABURI NENE!
~Watu wanakataa kuokoka, et nina dini yangu~ Je hiyo dini yako inakuruhusu utende hayo? Jibu ni ndiyo kwa kuwa viongoz wa din ni vipofu, wao wanaelekea jehanam na wafuas wao pia!
~Usiseme nawahukumu, ona hata YESU mwenyewe alichukizwa na viongoz wa din na kuwaambia hivi~~
Mathayo 23:13
~Viongoz wa din kwanza wao hawatak kuokoka, na makanisan mwao hawahubir habar hizo na hawazitaki, pia hawatak kuona washirika wao wanaokoka na kujazwa nguvu za Roho Mtakatifu!
~Ikitokea kuna mkutano wa injiri kijijin, viongoz wa din ndio wa kwanza kuhudhuria, Si kwa lengo la kusikiliza mahubir~ ila kwa lengo la kuangalia kina nan wataokoka ili wawazungukie na kuwarudisha nyuma! ~Ole wenu wachungaj na wazee wa kanisa feki, mnaukataa WOKOVU na wanaotaka kuokoka mnawazuia, kumbuken MUNGU hadhihakiwi ipo siku mtalipwa sawasawa na unafiki wenu!
~Kumbuka hao watu ni wa MUNGU, cha kushangaza mnawakumbatia k**a mliwaumba wenyewe. Nany watu achen ujinga mkaelevuke, hao wanaokukataza KUOKOKA hawana mbingu!

15/12/2017

MAMBO MUHIM BAADA YA KUOKOKA!
~No kumaliza misiba wala kushirk matambiko au aina yoyote ya ibada za wafu wala kwenda kwa waganga tena, YESU achangaman na masanam!
~No kushirik ibada za vipaimara, ubatizo wa watoto wadogo, komunio, au ibada za kujengea makabur wala ibada za kumaliza misiba, hayo yote ni upagan wala si kibiblia.
~No kuish katika dhamb wala kutenda matenda maovu tena kwan kufanya hivyo unamrudisha msalabn YESU.
~Ish kwa maomb muda wote na kuish maisha matakatifu, soma Biblia yako kila siku na kuwa mhudhuriaji mzur wa ibada zote kanisan kwenu.
~Tumain lako iwe ni YESU daima bila kuangalia magumu gan unapitia, kwan yeye hana jambo la kumshinda, shetan wala usimpe nafas kwenye mawazo, maneno hata katika matendo yako~ endelea kumpinga nae atakukimbia!
KAZA MWENDO KARIBU TUNAFIKA!

27/11/2017

Kumbuka kuna mambo matatu muhimu ya kukufanya uwe na nguvu za kiroho~
1]Maombi
2]Kusoma neno na kuliishi
3}Kushuhudia/kuwaambia wengie habar za YESU NA WOKOVU WAKE

25/10/2017

MISINGI KUMI NA SITA YA IMAN (TAG)
1]Tunaamin juu ya Biblia, kuwa ni neno la MUNGU lililovuviwa. 2Tim 3:16
KUVUVIWA
~Maana yake maandiko yote ndan ya Biblia yamepuliziwa pumz ya uhai ya MUNGU.
~Biblia imeandikwa kwa uongoz wa MUNGU mwenyewe.
~MUNGU aliwalinda waandish wasiandike mawazo yao,bali yaliyo ya MUNGU. 2Petr 1:21
UANDISH WA BIBLIA
~Imeandikwa na waandish zaidi ya 40, ktk nyakat tofaut lakin bado ina wazo moja tu~ WOKOVU.
~Imendikwa hadi kukamilishwa kwa muda wa miaka 1600. Mwandish wa kwanza aliandika 1450 K.K na mwandish wa mwisho aliandika mwaka wa 100 B.K lakin bado BIBLIA imedumu kuwa ni kitabu cha pekee dunian.
MAJUMUISHO
~Hivyo kwa kuwa Biblia inapumz ya uhai ya MUNGU ndan yake,nashaur yafuatayo~
1]Kila mwanadam apende kusoma na kuifuata, kwan ni uzima kwake.
2]Kila mwanadam aipende, yaan kila mwanadam aifanye Biblia kuwa rafik wa karibu. Ukiwa na lolote badala ya kwenda kwa jiran, ingia kwenye BIBLIA utapata msaada.
3]Kila mwanadam aish kwa kuifuata BIBLIA kwan imehakikishwa, na ni nuru.

22/10/2017

IBADA YA LEOa JUMAPILI 22/10/2017
~Ujumbe wa leo
Unatambulika mbele za MUNGU, wewe ni nani.
~Kwa kifupi ni kwamba mhubir amezungumzia kuwa kila mtu anajulikana/kutambulika mbele za MUNGU. Ila unatambulika vipi hilo ni jambo lingine, kuna wanaotambulika mbele za MUNGU k**a makahaba, wengine majambaz, wengine wachamungu n.k.
~Mhubir alitumia mfano wa mwanamke Dorkas ambaye alitambulika na MUNGU k**a mcha mungu, mtu aliyekuwa amejaa matendo mema kitu kilichosababisha afufuliwe alipokuwa amekufa.
Pia mhubir alitoa mfano wa Kornelio aliyekuwa mchamungu na alitoa sadaka zilizomgusa MUNGU.
~Hivyo ujumbe wa leo ni k**a unatuasa wanadam kuishi tukifaham kuwa kila tunachokifanya MUNGU mbinguni anaona, hivyo kwa hicho unachokifanya ipo siku utatoa hesabu. Mungu anakupenda mpendwa, OKOKA LEO ili akusaidie kuishi maisha masafi ya kumpendeza, kumbuka kuna maisha mengine baada ya kufa, na maisha hayo ni ya umilele~ aidha jehanam ya moto, au yeruralem mpya~ na maisha hayo unayatengeneza wewe sasa ukiwa dunian!! Amen

18/07/2017

Shalom wapendwa, nawatakia siku njema!

Ubarikiwe sana mpendwa katika bwana, nakupenda sana!!
05/07/2017

Ubarikiwe sana mpendwa katika bwana, nakupenda sana!!

UBATIZO KTK ROHO MT~1Matendo 1:8 Ahadi ya yesu~Yesu aliahdi kuwatia nguvu wafuas wak wot il wawe mashahd wak.Lengo la ma...
19/06/2017

UBATIZO KTK ROHO MT~1
Matendo 1:8 Ahadi ya yesu~
Yesu aliahdi kuwatia nguvu wafuas wak wot il wawe mashahd wak.
Lengo la mahubir:
Waamin wabatzwe ktk roho mt na kutiwa nguv k**a mashahd wa kristo.
Utanguliz:-
1]Ni mapenz ya mungu kila mwamin abatizwe kwa ROHO MT na kutiwa nguvu kwa ajil ya kaz ya uinjilist na umishen
2]Ahad ya yesu ktk mdo 1:8 ndiyo ya mwisho na muhimu sana aliyotoa kwa kanisa~
a]kwa mara ya kwanza anaitimiza siku ya pentekoste
b]pentekoste ilianzisha wimbi lenye nguv sana la umishen ktk karne ya 1
3]Lakn nn maana ya hayo yote?
a]ilimanisha kwamba yesu ameanza kutimiza ahad yake ktk mdo 1:8
b]nguvu za kimungu zilingia kwa hao wanafunz
c]walibadilishwa kwa ndan
d]wakawa mashahid wenye nguvu waliowezeshwa na ROHO MT
4]Ni ombi langu kwa mungu kwamba wewe msomaj wangu ujue na ulewe kuwa ahadi hii ya yesu ni kwa ajil yako pia, maadamu tu uwe umeokoka.
5]Ni hak ya kila mwamin kupokea ahad hii, ila shart kujua pia ni mapenz ya mungu wewe kubatizwa kwa ROHO MTAKATIFU
~itaendelea

16/06/2017

Hakuna kitu kizur na cha thaman dunian na mbinguni k**a WOKOVU, maana kwa huo tunafanyika kuwa watoto wa mungu na kwa huo tutafanikiwa kuuingia uzima wa milele. Nikushaur ndugu ndugu yangu mpendwa k**a bado hujaokoka uokoke sasa maana saa iliyokubalika ni sasa. Pia tambua huwez kuokoka ukishakufa, kwan mtu ukishakufa tu kinachofuata ni hukumu. Amen

MJUE MTUMISH WA MUNGU ALIYEWEKWA MBELE YAKO.1Thesalonik 5:12-131~Mtumish wa mungu ni mtu aliyeitwa na mungu ili kuifanya...
28/05/2017

MJUE MTUMISH WA MUNGU ALIYEWEKWA MBELE YAKO.
1Thesalonik 5:12-13
1~Mtumish wa mungu ni mtu aliyeitwa na mungu ili kuifanya kaz ya mungu, ni m2 ambae mungu ameweka kusud lake ndan yake.
Efeso 4:11-14
2~Ni m2 ambae amewekwa ili kulisimamia na kulichunga kundi la bwana.
yohana 10:11~13
2timotheo 4:2
3~Ni m2 ambae yupo kwa maslah ya mungu na si kwa maslah yake binafs.
1kor 9:18
Mtumish wa kwel hawez kuwatoza watu fedha kwa ajil ya huduma anayoitoa kwao, maana ni agizo toka kwa mungu~mmepata bure toen bure.
4~Ni m2 ambae hatafut vitu vyako wala faida yake, bali hutafuta faida ya kiroho na kimwil ya kundi la bwana.
2kor 12:14~15
Elewa kuwa huyo mchungaj yupo kwa maslah na faida yako wewe, hivyo unapaswa kumthamin na kumpenda pia maana siku zote hujtaabisha kwa ajili yako.
5~Ni m2 ambae amewekwa na mungu, hivyo mahitaj yake yote humtegemea mungu na si m2.
filip 4:11~13
Kuna baadh ya washrika hudhan bila wao na sadaka zao mtumish hawez kuish, kumbuka yeye aliyemuweka hapo ndiye mwenye jukum la kumtunza. MHESHIMU TU

Address

Mkombola
Dodoma
BAHIROAD

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TAG Jerusalem christian centre- Chigongwe Dodoma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share