28/02/2019
Kuwa k**a mtoto MDOGO ,
1yohana 2:28 sasa watoto wadogo kaeni ndani yake ili kusudi mtakapofunuliwa mwe na ujasiri wala msiabike mbele zake, katika kuja kwake.
Hii nataka uielewe kuwa mtoto mdogo hana hasira, hajui kulipa kisasi, akihadhiwa anasikia maumivu lakini baada ya muda kidogo anasahau maumivu na upendo wake haubadilishwi na adhabu ya baba yake au mama yake mara utamuona akionewa anakimbilia kwa baba yake na kumush*takia anayemuonea hata k**a aliadhibiwa dakika chache zilizopita