Grace Salvation Gospel Ministries-GSGM

Grace Salvation Gospel Ministries-GSGM Tunahubiri Injili ya Kristo Yesu kwa njia ya Semina, Mikutano ya Injili, Mikesha na Maombi kwa watu wote, Lengo ni watu wamjue na kumpokea Yesu Kristo

05/02/2019

WAEBRANIA 2:18 Na kwa kuwa mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wao wanaojaribiwa. Ni ahadi ya Mungu mwenyewe kuwa hawezi kumwacha mwanadamu aliyemfanya kwa mfano wake akajaribiwa kuliko uwezavyo, yapo mambo mengi ambayo yanatesa watu kwa sababu yamezidi uwezo wao kifikra/ kifedha n.k...Mwana wa Mungu; Yesu Kristo alikubali kuithibitisha ahadi ya Baba kupitia msalaba, akateswa ili nasi tupate msaada tujaribiwapo. NI HERI KUMKABIZI YESU MAPITO YAKO ILI AKUSAIDIE

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Grace Salvation Gospel Ministries-GSGM posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Grace Salvation Gospel Ministries-GSGM:

Share