02/08/2026
SIKU YA BWANA YA TISA BAADA YA UTATU
Bwana Yesu Asifiwe,
Matukio Mbalimbali Ibadani Leo, Siku ya Bwana ya Tisa baada ya Utatu.
Ibada leo zimeongozwa na Mchungaji Kiongozi Ndumanisa Pallanyo, Mchungaji Miriam Msele pamoja na Mchungaji Mstaafu Menard Simon Kipyali na Mtaalam wa Lugha ya Alama ni Bwana Lazaro Kamba.
Pia Katika Ibada ya Leo, Tulishiriki Sakramenti ya Meza ya Bwana.
π Somo la Kwanza: Zaburi 70:4-5
π Somo la Pili: Ufunuo 2:8-11
π Somo la Mahubiri: Luka Mtakatifu 5:36-39
ππ Mwenendo Wenu Uwe na Hekima.