24/05/2026
Matendo ya giza yanashuhulikiwa:
* Zima taa za waovu waliozima taa yako, adui habembelezwi anakemewa na kuangushwa AYUBU 19:8-9 na AYUBU 21:17-18
* Usipotubu Mungu anakuondolewa taa UFUNUO 2:4-5
5. Utakuwa na furaha isiyo na kikomo ZEKARIA 8:19,
* Mungu amenifanyia kicheko na kila asikiaye atacheka nami MWANZO 21:6,