23/08/2026
Kwa nini Mungu alifanya mwanadamu awe wa mwisho katika umbaji?
-Mwanadamu apate makao salama
-Mungu alikuwa na makusudi ya kumuweka mwanadamu juu ya umbaji wote awe wa kipeke ametupa thamani ya katika umbaji
-Mungu aliumba mwanadamu wa mwisho hili kuwafundisha kumtegemea yeye
Tamanio la mungu ni kuwa na ushirika na mwanadamu aliyemuumba kwa sura na mfano wake
Toka agano la kale Mungu anamtafuta mwanadamu awe shIrika pamoja nae
●KUTOKA 19:10-15
●KUMBUKUMBU LA TORATI 4:10
Kwa nini Mungu anataka akutane na sisi kwa sababu kuna viti anataka aseme na sisi anataka kutufundisha jinsi ya kumcha Mungu
●KUMBUKUMBU LA TORATI 31:12
Mungu anatamani kukutana na watu wake kwa ajili ya kumcha yeye