Efatha Eden Dodoma

Efatha Eden Dodoma Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Efatha Eden Dodoma, Religious organisation, Nkuhungu, Chama, Dodoma.

Matendo ya giza yanashuhulikiwa:* Zima taa za waovu waliozima taa yako, adui habembelezwi anakemewa na kuangushwa AYUBU ...
24/05/2026

Matendo ya giza yanashuhulikiwa:
* Zima taa za waovu waliozima taa yako, adui habembelezwi anakemewa na kuangushwa AYUBU 19:8-9 na AYUBU 21:17-18
* Usipotubu Mungu anakuondolewa taa UFUNUO 2:4-5
5. Utakuwa na furaha isiyo na kikomo ZEKARIA 8:19,
* Mungu amenifanyia kicheko na kila asikiaye atacheka nami MWANZO 21:6,

IBAADA YA JUMAPILI KANISA LA EFATHA EDEN DODOMA TAREHE 24/05/2026MCHUNGAJI: DEBORASOMO: MVUA ZA MASIKAKWANINI TUOMBE WAK...
24/05/2026

IBAADA YA JUMAPILI KANISA LA EFATHA EDEN DODOMA
TAREHE 24/05/2026
MCHUNGAJI: DEBORA
SOMO: MVUA ZA MASIKA

KWANINI TUOMBE WAKATI WA MASIKA
Kuna nyakati maalum Mungu huleta fursa, neema, kibali, mafanikio, baraka, kibali na uamsho.
Mvua inaashiria uwepo wa baraka.

MATOKEO YA MVUA YA MASIKA
* Inakomesha majira na nyakati za ukame, kipindi cha kukosa, nyakati ngumu
* Kila kilichokufa kinafufuka, kwenye kila eneo AYUBU 14:7-9
* Mtembeo wa Mungu unaachiliwa kwenye maisha yako iliuweze kutenda yaliyo makuu mambo ya kushangaza. Nyamaza kimya sababu ni kwa msaada wa Mungu unaweza ZABURI 60:12

Sifa:2Samweli 6:14 Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.15 Basi ...
24/05/2026

Sifa:
2Samweli 6:14 Daudi akacheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote; na Daudi alikuwa amevaa naivera ya kitani.

15 Basi Daudi na nyumba yote ya Israeli wakalileta sanduku la Bwana kwa shangwe, na kwa sauti ya tarumbeta.

16 Ikawa, sanduku la Bwana lilipoingia mji wa Daudi Mikali, binti Sauli, akachungulia dirishani, akamwona mfalme Daudi akiruka-ruka na kucheza mbele za Bwana; akamdharau moyoni mwake.

Yohana 15:7 “Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”
24/05/2026

Yohana 15:7 “Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”

Yohana 14:13-14Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.Mkiniomba chochote kw...
24/05/2026

Yohana 14:13-14

Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.

Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.

Marko 11:24Kwa hiyo nawaambieni, mnaposali na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.
24/05/2026

Marko 11:24

Kwa hiyo nawaambieni, mnaposali na kuomba kitu, aminini kwamba mmekipokea, nanyi mtapewa.

•WAAMUZI 16:28Samsoni alipotubu Mungu akamrejeshea nafasi yake  na akawa na nguvu kuliko zile za mwanzo. •LUKA15:21  Una...
14/05/2026

•WAAMUZI 16:28
Samsoni alipotubu Mungu akamrejeshea nafasi yake na akawa na nguvu kuliko zile za mwanzo.

•LUKA15:21
Unapokuwa kwenye maisha ya dhambi kuna vitu shetani anavichukua kutoka kwako k**a:

1.Vazi - Ni Utukufu wa Mungu ambao kamfunika mtu.

2.Pete-Ni ile nafasi ya mtu. Ndio maana yule baba akasema wamvife pete mwanae maana yake ni kumrejesha kwenye nafasi yake.

3.Viatu- Ni utayali kwa tafsiri yabkiroho.

LUKA15:11
Huu niwezi wa kurudi magotini mwa Mungu na kuangalia yale uliomkosea Mungu na kutubu na sio mwezi wa kuhangaika na mambo yako.

IBADA YA JUMAPILI TAREH:10/5/2026ASKOFU:OSCAR BONIFACESOMO:MAISHA YA TOBA YANAKUREJESHA KWENYE NAFASIKUNA MAMBO MATATU Y...
14/05/2026

IBADA YA JUMAPILI
TAREH:10/5/2026
ASKOFU:OSCAR BONIFACE
SOMO:MAISHA YA TOBA YANAKUREJESHA KWENYE NAFASI

KUNA MAMBO MATATU YA UFAHAMU YA KUZINGATIA
1.Neema-huwa inaenda kwa wale ambao hawakustahili ila ni kwa neema tu wanaipata neema.
2.Rehema-Zinaenda kwa wale amabao waliokua kwa Bwana ila wakamkosea ko wanarudi kuomba rehema.
3.Toba-Ni kugeuka kutoka sehemu fulani kwenda sehemu fulani au kujutia yale uliyo yatenda.

•MATENDO YA MITUME 3:19
Ili Mungu arejeshe vile shetani ambavyo amechukua ni lazima utubu.

FAIDA UNAZOPATA BAADA YA KUTUBU
1.Unapo tubu Mungu anakirejesha chochote kilicho ibiwa iwe nafasi yako ya utumishi .
Unapotubu Mungu anarejesha burudiko ndio kitu cha kwanza anachokirejesha amani na furaha ili ufurahie nafasi yako.
• AYUBU 22:21

2.Unapotubu Mungu anakurejeshea Nyakati zilizoamuliwa kwako.
•LUKA 15:11-20
Maisha ya toba yakurejeshea nafasi yako iliyopotea ya kuitwa mwana wa Mungu.

Zaburi 138:1Nakushukuru, ee Mwenyezi-Mungu, kwa moyo wangu wote, naimba sifa zako mbele ya miungu.
14/05/2026

Zaburi 138:1

Nakushukuru, ee Mwenyezi-Mungu, kwa moyo wangu wote, naimba sifa zako mbele ya miungu.

Yohana 16:24 “Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu”
14/05/2026

Yohana 16:24 “Hata sasa hamkuomba neno kwa jina langu; ombeni, nanyi mtapata; furaha yenu iwe timilifu”

Address

Nkuhungu, Chama
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Eden Dodoma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Efatha Eden Dodoma:

Share