Destiny city church

Destiny city church Building Godly destinies and raising giants

✍️
02/06/2026

✍️

We are excited to announce that our 3 Days of Power & Dominion Family Breakthrough Prayers will kick off tomorrow, June ...
31/05/2026

We are excited to announce that our 3 Days of Power & Dominion Family Breakthrough Prayers will kick off tomorrow, June 1st, and continue through June 3rd.

A word of advice: if you are not in Dodoma yet, make your way to the Capital City. You do not want to miss what God is about to do. These three days will be filled with power, breakthrough, deliverance, and divine encounters.

Come expectant. Come ready. Come believing.

Your family breakthrough awaits! 🔥🙏🏾
———
Tunayo furaha kubwa kutangaza kwamba Siku 3 za Maombi ya Nguvu na Mamlaka kwa Ajili ya Uvunjaji wa Vikwazo vya Familia (Power & Dominion Family Breakthrough Prayers) zinaanza kesho, tarehe 1 Juni, na kuendelea hadi 3 Juni.

Ushauri wa bure: k**a bado haujafika Dodoma, anza safari yako kuelekea Jiji Kuu la Tanzania. Hutaki kukosa kile Mungu anachokwenda kufanya. Siku hizi tatu zitajaa nguvu za Mungu, uvunjaji wa vifungo, ushindi, na miujiza ya kipekee.

Njoo ukiwa na matarajio. Njoo ukiwa tayari. Njoo ukiwa na imani.

Ushuhuda wa familia yako unakusubiri! 🔥🙏🏾

Hakika ulikuwa wakati mzuri uweponi mwa Bwana siku ya leo. _____________________________________________________________...
31/05/2026

Hakika ulikuwa wakati mzuri uweponi mwa Bwana siku ya leo.

_______________________________________________________________________________

Surely it was a wonderful time in his presence.

MEN OF GLORY, MEN OF HONOR.And tomorrow is the day to celebrate our fathers and brothers in Christ MEN OF DESTINY.  Si s...
30/05/2026

MEN OF GLORY, MEN OF HONOR.

And tomorrow is the day to celebrate our fathers and brothers in Christ MEN OF DESTINY. Si siku ya kukosa kabisa, na ukija tafadhali usiache kumpongeza kaka au baba mmoja kwani siku ya kesho itapambwa na utumishi wa wanaume.

Hivo mkaribishe rafiki mmoja na wa pili mje kanisani kesho Saa 09:30 PM.

See you at Church!

Naambiwa mbinguni kuna vitabu na VIMEANDIKWA (Ufunuo wa Yohana 20:12) Kwa nini sisi tusiandike wakati wa Neno.Je wewe ul...
26/05/2026

Naambiwa mbinguni kuna vitabu na VIMEANDIKWA (Ufunuo wa Yohana 20:12) Kwa nini sisi tusiandike wakati wa Neno.

Je wewe uliandika nukuu za Neno katika Ibada ya Jumapili?? Tushirikishe ulichokiandika tafadhali 👇👇

"Nalifurahia waliponiambia na twende nyumbani kwa Bwana" Na siku hiyo ndiyo kesho. Sisi wote watoto wa Sayuni tunakutana...
23/05/2026

"Nalifurahia waliponiambia na twende nyumbani kwa Bwana"

Na siku hiyo ndiyo kesho. Sisi wote watoto wa Sayuni tunakutana nyumbani mwa Baba yetu wa Mbinguni.

Anwani yetu ni moja tu DESTINY CITY CHURCH - DODOMA na kuanzia 9:30AM tutakuwa na wakati mzuri uweponi mwake, Ni hakika hutaki kukosa Baraka hizi hivo basi jiandae na umualike na rafiki yako.

See you at Church.

23/05/2026

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Destiny city church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Destiny city church:

Share