Hema la msalaba ministries

Hema la msalaba ministries Prophetic & Apostolic generation ,karibu ujifunze neno la Mungu.
✓jiandae kusimamia kusudi la kuumbwa

Niacheni niende nikahubiri injili
13/03/2026

Niacheni niende nikahubiri injili

29/06/2025

Sikiliza hiki kutoka kwa Apostle makoye,

01/06/2025
USILALE BILA KUOMBA
27/05/2025

USILALE BILA KUOMBA

31/01/2025

CHAKULA NA SIRI ZAKE.

CHAKULA KINAWEZA KUKUKWAMISHA AMA KUKUINUA.

1.ADAMU Alifukuzwa edeni Kwa sababu ya chakula ,ikapelekea maisha yake kuwa magumu mpaka Leo.

2.ESAU alipoteza na kuuza nafasi ya uzaliwa Wa Kwanza Kwa Yakobo,sababu ya chakula.

3.ISRAEL waliingia misri Kwa sababu ya chakula.
Njaa iliposhika maeneo mengi wakaenda misri alikokuwa Yusufu.
4.ISRAEL ,Njiani walisumbuana na M***a Kwa sababu ya chakula,wakakumbuka chakula Cha Misri.

5.YESU ,jaribu lake la Kwanza ni kutengeneza mikate ili apate chakula.

Watu wengi Leo wamekufa Kwa sababu ya chakula,wengi Wagonjwa , wengine ndoto na maono yao yamezima baada ya kula chakula kilicho beba nguvu ya Giza






3

Mwaka mpya 2025 , Viongozi Wa Hema la Msalaba Tanzania
22/01/2025

Mwaka mpya 2025 , Viongozi Wa Hema la Msalaba Tanzania

20/11/2024

WAHUBILI VIJANA TUKO HATARINI .
Tuko Hatarini kujinyakulia laana ambayo haituhusu,hii ni kwa wachungaji vijana,wainjiristi vijana,waalimu vijana,manabii vijana ,mitume vijana.
Kunakasumba imezuka kwenye mwili wa kristo (makanisani) kwa wahubiri vijana kukaa kuwasema vibaya waliotutangulia katika imani na utumishi .
Jambo hili limekuwa likiwapa umaarufu kwa halaka vijana hawa maana wanatumia ,mitandao ya kijamii kuwakosoa au kutukana watumishi ambao wametumika mda mrefu ,hasa pale wanapohisi kunamakosa katika utumishi wao.
Fikilia huna hata washilika 5,halafu unasimama kumutukana na kumusema vibaya marehemu Moses kulola aliyefanya makubwa sana katika mwili wa kiristo hiyo imekaaje.
Au fikilia unasimama kumutukana na kumulaani mwalimu mwakaseke anayezunguka nchi zima kuhubir injili ,anayemkosoa hajawahi hata kufanya semina mtaani kwake.
AU unamkosoa mwaposa ambaye maelfu ya watu hukusanyika kusikia kutoka kwake nawewe huwezi hata kukusanya watu kumi mjini
YEYOTE ALIYEKUTANGULIA UKIMKOSOA UNAJIFUNGIA WEWE KUSONGA MBELE .
Ukitaka kupenda maisha zuia ulimi wako usinene hila.
Heshimu kosoa unaolungana nao
.

Bwana Yesu asifiwe
20/11/2024

Bwana Yesu asifiwe

03/10/2024

Mungu humpima mtu kabla ya kumtuma


#

Address

MAKULU-DODOMA
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hema la msalaba ministries posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Hema la msalaba ministries:

Share