29/04/2026
Wewe ni kijana unayependa vibe la maana, mafundisho ya wakati ya Neno la Mungu, sifa zisizo na mipaka na unataka kuugawa mwaka wako kwa kishindo cha kiroho... basi kituo chako ni kimoja tu: TANGANYIKA PACKERS, KAWE📍Tarehe 13.06.2026 📌
Tamasha la Twen’zetu Kwa Yesu 2026 linarudi tena likiwa na moto zaidi! Hapa ndipo tunapokutana ili kuwa "Mastar" katika utukufu wa Mungu. Njoo uwaone na usifu pamoja na wakali k**a:
🎤 Rose Mhando (Mama wa Vibe!)
🎤 Boaz Danken
🎸 AGAPE GOSPEL BAND
🎶 NEEMA GOSPEL CHOIR
🎹 KWAYA ZA VIJANA KKKT - DMP na vionjo kibaaaaaao.
Hii si ya kukosa! Ni sehemu ya kukutana na vijana wenzako, kubadilishana mawazo, na kupokea baraka zitakazokufanya ung’ae mwaka mzima.
✅ Save the Date: 13 June 2026
✅ Location: Tanganyika Packers | Kawe
✅ Mission: Be The Star! ✨
Wa tag marafiki zako hapa chini ambao lazima uambatane nao katika Twen'zetu ya mwaka huu ili tukamsifu Yesu wetu kwa style ya kipekee! 🔥🙌