The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry.

The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry. Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry., Religious organisation, Dodoma.

"The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry," Deals with restoring of the truth Gospel of Jesus Christ for preparing saints for the second coming of Jesus Christ.

Shalom wana wa Mungu aliye ziumba mbingu na Dunia. Injiri ya Ufalme wa Mungu imerudi tena Duniani kutoka Tanzania." Math...
01/08/2025

Shalom wana wa Mungu aliye ziumba mbingu na Dunia. Injiri ya Ufalme wa Mungu imerudi tena Duniani kutoka Tanzania.
" Mathayo 24:14
14 Kisha Injili hii ya Ufalme itakuja kuhubiriwa ulimwenguni kote, kuwa udhihirisho kwa mataifa yote. Ndipo ule mwisho utakapokuja."
Karibu ujifunze injiri ya Ufalme ambayo hujapata kusikia tangu kuzaliwa kwako, wewe ujumbe una neema kubwa sana , Fuata link hii ya whatsapp ukutane na walimu wa Elimu ya Ufalme wa Mungu.
https://chat.whatsapp.com/BhVCTRyOPD70029OP6o60I?mode=ac_t

Ufalme wa Mungu ni tofauti kabisa na mifumo ya Dini na madhehebu. Dini na madhehebu ni Matakwa ya kibinadamu ya kumtafut...
13/11/2024

Ufalme wa Mungu ni tofauti kabisa na mifumo ya Dini na madhehebu. Dini na madhehebu ni Matakwa ya kibinadamu ya kumtafuta Mungu, na mfumo huu kamwe hautakuja kufanikiwa milele wala haujawahi kufanikiwa Tangu mwanzo.

Ufalme wa Mungu ni mfumo wa Maisha mbali na Maisha ya kidini na Dhehebu. Ni maisha ya kila siku yanayoongozwa na Ufalme mama wa mbinguni Duniani.

Habari njema za Ufalme wa Mungu zimeshaanza kuhubiriwa.
Niliishi kwenye mifumo ya kipentekoste zaidi ya miaka 20, Nanena kwa lugha ambazo hata mitume wala manabii hawajawahi Nena. Wachungaji waliniambia ni lugha za Malaika, Wakati siyo sahihi, maana Malaika wote walioshuka Duniani walinena lugha za wanadamu. Nimetoka kwa Sasa Nina Amani na nipo huru kuongea na Baba yangu aliye mbinguni Nikiwa huru.
Tukitaka kujua Ufalme wa Mbinguni, ni lazima Kwanzaa tuanze kusoma mwanzo 1:26
Genesis 1:26-27
[26]And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
[27]So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Hapo tunaona jinsi baba alivyotukabidhi ufalme baadaye tulipoteza ufalme ,Mfalme Yesu akaja kuturejeshea, kwa hiyo Yesu hakuja kuanzisha Ukristo Bali alileta Ufalme , ukristo ulianzishwa na Rumi kwa ajili ya manufaa binafsi Chini ya udanganyifu wa shetani, Yesu ameleta Ufalme, Rumi imeleta Ukristo.

**NDUGU MPENDWA KATIKA KRISTO YESU, YESU YUPO KARIBU KUJA MNO ZAIDI YA FIKRA ZETU TUWAZAVYO* , Mathayo 7:21[21]Si kila m...
03/07/2022

**NDUGU MPENDWA KATIKA KRISTO YESU, YESU YUPO KARIBU KUJA MNO ZAIDI YA FIKRA ZETU TUWAZAVYO* , Mathayo 7:21
[21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. Ufunuo wa Yohana 22:11-14
[11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.
[12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu k**a kazi yake ilivyo.
[13]Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.
[14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

BWANA YESU ASIFIWE MPENDWA.NASISITIZWA KWA NJIA YA MAONO KUKUMBUSHA HILI:"YESU YU KARIBU MNO KUJA KULICHUKUA KANISA"  JE...
04/05/2022

BWANA YESU ASIFIWE MPENDWA.
NASISITIZWA KWA NJIA YA MAONO KUKUMBUSHA HILI:
"YESU YU KARIBU MNO KUJA KULICHUKUA KANISA" JE UPO TAYARI KWA AJILI YA UNYAKUO?
KIKUBWA ZAIDI ENDELEA KUJITAKASA KILA WAKATI.

Na ujue kuwa, punde tu baada ya UNYAKUO mpinga KRISTO ,yule muaasi atajiweka wazi...yule KRISTO wa Uongo.
Tafadhari, Tafadhari mpendwa jitakase kwà kuisaka toba ya kweli ndani yako ILI Roho wa Mungu akae ndani yako.

Mathayo 24:32-33[32]Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa w...
19/04/2022

Mathayo 24:32-33
[32]Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
Now learn a parable of the fig tree; When his branch is yet tender, and putteth forth leaves, ye know that summer is nigh:
[33]nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
So likewise ye, when ye shall see all these things, know that it is near, even at the doors.

30/03/2022

Make a tendency to evaluate your night dreams, because has high percentage for determination of your recently spiritual life.
Joseph,Daniel and other spiritual ancestors used dream as a one of the way to speak with his spiritual Father.
Another thing most important, have a tendency to do a daily spiritual evaluation to check where you failed and pass.

YESU KRISTO YU KARIBU KUJA, JE UPO TAYARI KWA AJIRI YA UNYAKUO?Mathayo 24:32-34[32]Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi ...
30/01/2022

YESU KRISTO YU KARIBU KUJA, JE UPO TAYARI KWA AJIRI YA UNYAKUO?

Mathayo 24:32-34
[32]Basi kwa mtini jifunzeni mfano; tawi lake likiisha kuchipuka na kuchanua majani, mwatambua ya kuwa wakati wa mavuno u karibu;
Now learn a parable of the fig tree; When his branch is yet tender, and putteth forth leaves, ye know that summer is nigh:
[33]nanyi kadhalika, myaonapo hayo yote, tambueni ya kuwa yu karibu, milangoni.
So likewise ye, when ye shall see all these things, know that it is near, even at the doors.
[34]Amin, nawaambia, Kizazi hiki hakitapita, hata hayo yote yatakapotimia.
Verily I say unto you, This generation shall not pass, till all these things be fulfilled.

Kila Jambo linawezekana katika kila aaminiye.Muamini YESU Kristo aliye hai mpaka Sasa katika kila Jambo unalopitia.
28/01/2022

Kila Jambo linawezekana katika kila aaminiye.
Muamini YESU Kristo aliye hai mpaka Sasa katika kila Jambo unalopitia.

MPENDWA , Tafuta Kwanza ufalme wa Mungu mengine yote utazidishiwa.Maisha asikufanye kuwa mtumwa Bali yatawale kwa kuutan...
15/01/2022

MPENDWA , Tafuta Kwanza ufalme wa Mungu mengine yote utazidishiwa.
Maisha asikufanye kuwa mtumwa Bali yatawale kwa kuutanguliza ufalme wa Mungu.

BWANA YESU asifiwe wapendwa watanzania.Jesus is coming very soon, let's take care to ensure that The Holy Spirit is with...
04/01/2022

BWANA YESU asifiwe wapendwa watanzania.
Jesus is coming very soon, let's take care to ensure that The Holy Spirit is within you.
TUJUE YA KUWA RAIS WETU MH. SAMIA
Ataitawala nchi yetu ya Tanzania mpaka 2030...na amewekwa kwa makusudi kwa ajili ya kukamilisha Mambo mengi ya kinabii about "New World Order" ambayo machache amesha Anza kuyatimiza.
DON'T FIGHT ABOUT YOUR GOVERNMENT BUT fight about your spirit and THE CHURCH OF JESUS CHRIST.
Huu siyo wakati wa kulaumu government, KUWA why this linatokea au kwanini wanafanya hili.... The Whole World , We are under the Single Government itendao kazi kwa Siri iliyofichika saaana.
Just let's pray for our Country pamoja na Viongozi WETU.

ILA MPENDWA JUWA KUWA RAIS WETU MH. SAMIA ATATAWALA NCHI YA TANZANIA MPAKA 2030, KWA KAZI MAALUMU YA DUNIA HII.

Address

Dodoma

Telephone

+255755568091

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to The Holy Mount of Latter Day Saints International Ministry.:

Share