Mkate Wa Leo

Mkate Wa Leo Naye NENO alikua MUNGU, VYOTE vilifanyika kwa HUYO!.

MKATE WA LEO 20th MAY, 2026"Lakini mwenendo wenu na uwe k**a inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi,...
19/05/2026

MKATE WA LEO
20th MAY, 2026

"Lakini mwenendo wenu na uwe k**a inavyoipasa Injili ya Kristo, ili, nikija na kuwaona ninyi, au nisipokuwapo, niyasikie mambo yenu, k**a mnasimama imara katika roho moja, kwa moyo mmoja mkiishindania imani ya Injili;”

Wafilipi 1:27

MKATE WA LEO18th MAY, 2026“Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu ...
17/05/2026

MKATE WA LEO
18th MAY, 2026

“Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; k**a Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”

2 Wakorintho 6:16

MKATE WA LEO14th MAY 2026“Tusiwe kwazo la namna yo yote katika jambo lo lote, ili utumishi wetu usilaumiwe; katika kuwa ...
13/05/2026

MKATE WA LEO
14th MAY 2026

“Tusiwe kwazo la namna yo yote katika jambo lo lote, ili utumishi wetu usilaumiwe;
katika kuwa safi, katika elimu, katika uvumilivu, katika utu wema, katika Roho Mtakatifu, katika upendo usio unafiki;”

2 Wakorintho 6:3&6

MKATE WA LEO 10th MAY, 2026  Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa fai...
10/05/2026

MKATE WA LEO
10th MAY, 2026

Maana watu wasiomcha Mungu wamepata kujiingiza kwa siri miongoni mwetu, watu ambao, kwa faida ya maisha yao mabaya, wanaupotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu na kumkana Yesu Kristo aliye peke yake Kiongozi na Bwana wetu. Lakini, Maandiko Matakatifu yalikwisha bashiri tangu zamani hukumu inayowangojea watu hao.

Yuda 1:4 BHN

MKATE WA LEO 7th MAY, 2026“Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yan...
06/05/2026

MKATE WA LEO
7th MAY, 2026

“Nimesulibiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.”

Wagalatia 2:20

MKATE WA LEO 2nd MAY, 2026“Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila UWEZO WETU WOTE hutoka k...
01/05/2026

MKATE WA LEO
2nd MAY, 2026

“Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila UWEZO WETU WOTE hutoka kwa Mungu:”

2 Wakorintho 3:5 BHN

MKATE WA LEO8th APRIL, 2026“Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona ...
07/04/2026

MKATE WA LEO
8th APRIL, 2026

“Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine.”

Wagalatia 6:4 BHN

MKATE WA LEO 16TH MARCH, 2026“Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili.”Nahumu...
16/03/2026

MKATE WA LEO
16TH MARCH, 2026

“Mnawaza nini juu ya Bwana? Yeye atakomesha kabisa; mateso hayatainuka mara ya pili.”

Nahumu 1:9

MKATE WA LEO 20th December, 2025“Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.”Yohana 17:4
19/12/2025

MKATE WA LEO
20th December, 2025

“Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye.”

Yohana 17:4

Address

Dodoma

Telephone

+255755200030

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mkate Wa Leo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share