Elson Jackson

Elson Jackson Athour||Trainer||Mentor. Kwenye masuala ya ujasilia Mali||biashara||Uchumi|| na maendeleo binafsi

"Success is the sum of small efforts, repeated day in and day out." – Robert CollierHakikisha kila siku unafanya kitu ki...
13/02/2025

"Success is the sum of small efforts, repeated day in and day out." – Robert Collier

Hakikisha kila siku unafanya kitu kidogo kinachokusogeza karibu na malengo yako. Haijalishi ni hatua ndogo kiasi gani, cha muhimu ni kusonga mbele bila kusimama. Endelea kusukuma, ku push........mafanikio yako yapo njiani!
https://www.instagram.com/p/DGAws93tyyc/?igsh=MWNlejZqOHQwNDQ3Zg==

*Ujumbe muhimu kwa wanaotaka kufanikiwa*  _Sehemu ya *kwanza*_ ✓Nguvu Ya Kuanza Na Ulicho NachoKila siku jua linapo chom...
19/05/2024

*Ujumbe muhimu kwa wanaotaka kufanikiwa*

_Sehemu ya *kwanza*_

✓Nguvu Ya Kuanza Na Ulicho Nacho

Kila siku jua linapo chomoza na kuzana ni ishara ya kwamba siku imesha isha.

Ukweli ni kwamba kila siku inapopita katika macho yetu imebeba Baraka kwaajili kila kiumbe chenye uhai.

Kumbuka: Maisha ni fursa na kila mmoja hufanikiwa kwa kadri ya uwezo wake wa kufikiri na kutenda. Na kila siku mpya inapokuja mbele ya mtu ni fursa,sasa inategemea wewe unaitumiaje katika matumizi ya muda ili kufikia NDOTO zako.

Ukweli ni kwamba kila siku mpya inapokuja machoni kwa mtu kwa neema ya Mwenyezi Mungu imebeba fursa ya mafanikio kwa mtu.

Changamoto ni kwamba watu wengi wamekuwa na visingizio vingi sana, kila siku mpya inapokuja mbele yao wakati wanapotekeleza majukumu kila siku.

Na ndomana watu wengi wanapo anza mwaka mpya huwa na mipango||malengo||mawazo makubwa sana, ambayo mtu binafsi hujiwekea na kusema nataka mpaka itakapo fika mwakani niwe nimesha yatimiza.

*Mfano* wengine walikuwa na wazo la kifungua duka, biashara,kujenga, kuweka akiba labda 1M n.k

Cha ajabu mpaka sasa tunaelekea nusu mwaka yawezekana hakuna chochote ulicho kifanya kwasababu ya visingizio ambavyo unavyo

*Kitu unachotakiwa kufanya ni kuanza na ulicho nacho ili upate unacho kihitaji

K**a unahitaji kushiriki kongamano la uchumi mkoani tabora hakikisha unathibitisha ushiriki wako haraka mwisho tareh 15/...
04/05/2024

K**a unahitaji kushiriki kongamano la uchumi mkoani tabora hakikisha unathibitisha ushiriki wako haraka mwisho tareh 15/05/24 ya usajili

It available on DL book store website
02/04/2024

It available on DL book store website

https://www.facebook.com/61554871873899/posts/122137981592162395/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
02/04/2024

https://www.facebook.com/61554871873899/posts/122137981592162395/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v

K**A UNA NDOTO KUBWA!

Kutoa gharama kuwekeza katika maarifa it's not option.

Japo watu wengi wanachukulia kawaida na kuona hakuna umuhimu wa kuwekeza katika maarifa kumbe wanajichelewesha wenyewe kufikia NDOTO zao.

Unaweza kutenga gharama kuwekeza katika maarifa kwa njia zifuatazo:-

✓Kwa kununua vitabu mbalimbali na kuvisoma , na kufanya Kaz maarifa ambayo unapata.
✓ Kwa kuhudhulia makongamano au semina mbalimbali
✓ Kwa kulipa gharama za program mbalimbali mfano za mentorship n.k

//Elson Jackson
// Athour||Trainer
#0624941409
//🇹🇿 Dodoma -Tanzania

Ukweli ni kwamba k**a una ndoto kubwa au malengo makubwa ya kufanya kitu kwaajili ya maendeleo Yako binafsi kufanya kazi...
06/12/2023

Ukweli ni kwamba k**a una ndoto kubwa au malengo makubwa ya kufanya kitu kwaajili ya maendeleo Yako binafsi kufanya kazi Kwa bidii ni lazima na siyo chaguo.

Hakikisha unapambana na unajiuliza maswlai haya .

Je, mwaka 2023 naumalizaje?
Je,mwaka 2024 unauanzaje?

Elson Jackson
Athour|Trainer
0624941409

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elson Jackson posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Elson Jackson:

Share