TAG YOUTH - CA's

TAG YOUTH - CA's Tanzania Assemblies of God
CHRIST'S AMBASSADORS

12/05/2026

12/05/2026

Hii ndiyo zahanati ya Idara ya vijana inayopatikana Iringa - Nduli

04/05/2026

CMF Vyombo vyote tunapiga😂

03/05/2026

Wana wa Mungu haooo🔥🔥🔥

03/05/2026

kwenye 1&2

03/05/2026

Watag watu wa TAG Kiomboi hapaa😄🔥🔥🔥

SIKUKUU YA CMF IMEENDAJE HAPO KANISANI KWENU HAPO?
03/05/2026

SIKUKUU YA CMF IMEENDAJE HAPO KANISANI KWENU HAPO?

JIPATIE GAZETI LA JIBU LA MAISHA LA WIKI HII - Je unatafuta habari zenye kukujenga na kukuelimisha?Sasa Jibu lako lipo n...
03/05/2026

JIPATIE GAZETI LA JIBU LA MAISHA LA WIKI HII - Je unatafuta habari zenye kukujenga na kukuelimisha?

Sasa Jibu lako lipo ndani ya Gazeti la Jibu la Maisha ambalo linatoka kila Siku ya Jumapili likiwa limesheheni habari muhimu na zenye kuvutia kwa familia nzima.

Ndani yake utapata;
• Habari za Kanisa
• Habari za Kitaifa na Serikali
• Kurasa za Burudani
• Taarifa na uchambuzi wa Michezo
Usikose taarifa, maarifa na burudani kila wiki.

Pata nakala yako ya Gazeti la Jibu la Maisha kila Jumapili

Kwa Mawasiliano Zaidi : Msambazaji Mkuu wa Gazeti la Jibu la Maisha - Erick Swai : 📱: +255787532349

02/05/2026

Mkurugenzi mkuu wa Idara ya vijana Taifa Rev, Zephaniah Mkuyu afafanua kwa kina lengo kuu la ziara ya viongozi wa kitaifa zinazoendelea nchi nzima.

Jana tarehe 01Mei mkurugenzi mkuu alifanya ziara yake Dar Es Salaam na alikutana na viongozi wote wa CAs majimbo ya Dar Es Salaam na Pwani pamoja na viongozi wa PCF majimbo ya Dar Es Salaam na Pwani, kikao hicho kilifanyika TAG Ubungo kwa takribani masaa matano.

02/05/2026

Anaandika mtumishi wa Mungu

Chagua kuwa chombo cha urejesho, si cha hukumu. Omba, simama pamoja na wanaopitia changamoto, na uonyeshe upendo wa Kristo kwa vitendo. Kwa kufanya hivyo, hutakuwa tu unafuata maandiko, bali utakuwa pendo na sehemu ya suluhisho la kweli katika maisha ya wengine.

Tofauti ya dhambi haikupi mamlaka ya kuhukumu wengine. Mathayo 7:1–2, “Msihukumu, msije mkahukumiwa...” Hukumu kali inaweza kumpeleka mtu mbali zaidi na neema ya Mungu badala ya kumvuta karibu.

Wagalatia 6:1, “Ndugu zangu, mtu akipatikanana na kosa lolote, ninyi mlio wa rohoni mrejezeni mtu huyo kwa roho ya upole.” Swali la msingi linabaki: je, dhamira yako ni kumrudisha mtu kwa Kristo, au kumthibitishia makosa yake?
give people grace😁

Mungu akubariki sana kwa kushare ushuhuda huu wenye nguvu chanya.

Address

Dodoma

Telephone

+255623808180

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TAG YOUTH - CA's posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to TAG YOUTH - CA's:

Share