The Cpct Tanzania

The Cpct Tanzania The Council of Pentecostal Churches of Tanzania (CPCT)

Viongozi wa CPCT Mkoa wa pwani leo Jumatatu 13/07/2026 wamepeta fursa ya kufanya mazungumzo na Mkuu wa mkoa wa Pwani Mh,...
13/07/2026

Viongozi wa CPCT Mkoa wa pwani leo Jumatatu 13/07/2026 wamepeta fursa ya kufanya mazungumzo na Mkuu wa mkoa wa Pwani Mh, Abubakar Kunenge. Mazungumzo ambayo yamejikita katika kufahamiana na kiutendaji.
:

Ibada Ya Maombi Ya Pamoaja CPCT ya Kuliombea Taifa iliofanyika Kanisani World Agape Life Church Mbezi Beach
05/07/2026

Ibada Ya Maombi Ya Pamoaja CPCT ya Kuliombea Taifa iliofanyika Kanisani World Agape Life Church Mbezi Beach

02/07/2026

Kuelekea Maombi ya kuliombea Taifa Ijumaa hii 03/07/2026.
Mahali ni Agape Network ATN Mbezi Beach Jogoo kuanzia saa 3 asubuhi.

12/06/2026

Nchi Yetu Itapona kwa Maombi

12/06/2026

Maaskofu waombwa kuhudhuria mikutano ili kujifunza kuongoza Madhehebu yetu

12/06/2026

Maoni ya Wajumbe wa Baraza la CPCT-DODOMA

12/06/2026

Mwenyekiti Rev. Dr. Vernon Fernandes amesema sisi sio watu wa chini ni watu wa juuu

 Baadhi ya viongozi wastaafu na viongozi wa sasa wa ngazi mbalimbali CPCT wakiwa katika mkutano mkuu, Mkoani Dodoma.:
12/06/2026


Baadhi ya viongozi wastaafu na viongozi wa sasa wa ngazi mbalimbali CPCT wakiwa katika mkutano mkuu, Mkoani Dodoma.
:


  Katibu Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Mchungaji Dkt. Baraka Kihoza akizungumza katika Mkut...
12/06/2026


Katibu Mkuu wa Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) Mchungaji Dkt. Baraka Kihoza akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Baraza la Maskofu CPCT TAIFA unaoendelea katika Kanisa la CAG-VCC IMAGE Mkoani Dodoma.
:


Address

Dodoma
026

Telephone

+255767558668

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Cpct Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to The Cpct Tanzania:

Shortcuts

Share

Category