10/11/2024
*Rafiki yangu mpendwa,*
Nakukaribisha kesho ukutane na Yesu aliye Yote katika Yote, kwenye juma la uamsho linaloratibiwa na idara ya vijana.
*Mahali: Ushindi SDA Church Mikocheni B*
*Muda: saa 11 kamili jioni*
Nitafurahi ukishiriki pamoja nami mbaraka huu.ππΎπ