03/09/2024
JIHADHARI NA FAKE UNICEF FOUNDATION
Mithali 6: 31 Lakini mwizi akipatikana atalipa mara saba Kwa mamlaka ya Jina la Yesu tunaamuru huyu Morris na kundi lake la wezi wa mitandaoni wa huko Nairobi wakak**atwe na kutiwa hatiani na wakafilisiwe mara saba k**a andiko linavyosema katika Biblia takatifu. Fedha walizowaibia wana East Africa zikawatokee puani Wakapigwe na familia zao kwa moto wa Mungu
Hii ni foundation ambayo imejibatiza jina hilo lakini haina uhusiano na UNICEF Hii Unicef Foundation ni fake na lengo lake ni kuwaibia watu fedha kwa njia ya mtandao,
Maelezo yao wanadai wanatoa msaada wa fedha kwa wananchi wa Kenya na Tanzania kwa ajili ya kupambana na Umasikini Wanakusisitiza ukipata hizo pesa uzitumie vizuri
Mahali Walipo:
Kenya Nairobi au Mombasa
Mtu mmoja anaitwa MORRIS MWANGI-Huyu ndiye kinara wa utapeli Namba ambazo watawasiliana nawe ni k**a zifuatazo:
+254 753 03 26 78
+ 254 753 5220710
Jinsi Wanavyokuibia
1. Ujumbe wa kushawishi
2. Wanaingia kwenye akaunti ya facebook ya marafiki zako
3. Unapokea ujumbe kutoka kwao kupitia messenger ya rafiki
zako
4. Kila rafiki yako(ni Fake Unicef Foundation wamejifanya)
Ujumbe wao unakushudia Unicef Foundation ni halali naye
pia amefaidika
5. Ukijibu huo ujumbe wewe utadhani unawasiliana na rafiki yako
kumbe ni hao Fake Unicef Foundation wanakujibu Wewe
utadhani unawasiliana na rafiki yako na itakupelekea kuamini.
6. Ujumbe huo unakuwa na link ya WhatsApp.
7. Link hiyo ukibonyeza inakuunganisha nao.
8. Utatumiwa code 6 za Facebook ambazo utatakiwa ujaze na
kuwatumia.
9. Ukishatuma wanakutumia maswali ujaze jina lako na simu na
kiasi
10. Wanakutumia orodha ya kiasi cha sponsorship na kiwango
cha fedha utakazopenda kusaidiwa
11. Ukishachagua, watakuambia utume ada ya usajili, ada ya
kutransfer fedha na mwisho watakuambuia utume ada ya
money transfer kwa ajili ya Equity Benki Haijalishi una akaunti
katika benki hiyo au lah
Mwisho:
1. Hawa watu watakuwa wamewaibia watu wengi sana katika
nchi za Afrika mashariki
2. Hawa ndio waswahili majuha wenye kuwaza wizi badala ya
kutumia mitandao hii kwa njia chanya na faida
3. Hizi Akaunti za Facebook haziko salama na mitandao yote
haiko salama Kwa hiyo usijimwage kwenye hii mitandao
Imejaa majizi
Ukipokea Ujumbe wowote kutoka kwa watu hao Upuuzie ni
uwongo