Neema House Baptist Bible Church

Neema House Baptist Bible Church Preaching the gospal

UNAJENGA NAMNA GANI?1. Jenga maisha yako juu ya msingi imaraMatendo 4:12Matendo ya Mitume 4:12[12]Wala hakuna wokovu kat...
24/08/2025

UNAJENGA NAMNA GANI?

1. Jenga maisha yako juu ya msingi imara
Matendo 4:12

Matendo ya Mitume 4:12
[12]Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.

Mathayo 7:24-27

[24]Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya, atafananishwa na mtu mwenye akili, aliyejenga nyumba yake juu ya mwamba;

[25]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, isianguke; kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba.

[26]Na kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga;

]mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile, ikaanguka; nalo anguko lake likawa kubwa.

2. UNATUMIA VIFAA GANI

Waefeso 2:10
[10]Maana tu kazi yake, tuliumbwa katika Kristo Yesu, tutende matendo mema, ambayo tokea awali Mungu aliyatengeneza ili tuenende nayo.

wokovu k**a kifaa cha ujenzi

Je unajenga juu ya Yesu Kristu?
Una wokovu k**a kifaa chako bora cha ujenzi?
Je utapata thawabu au hasara?

Kanisa la Kibaptisti la Neema House Temeke linawatakia sikukuu njema ya kufufuka kwake Mwokozi. Mathayo 28:5-6
20/04/2025

Kanisa la Kibaptisti la Neema House Temeke linawatakia sikukuu njema ya kufufuka kwake Mwokozi. Mathayo 28:5-6

16/03/2025
*Mahubiri na Mch, Prosper Ringo* 7/4/2024 *Andiko : Luka 22:3-5* Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmo...
07/04/2024

*Mahubiri na Mch, Prosper Ringo*
7/4/2024

*Andiko : Luka 22:3-5*

Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Akaondoka, akaenda akasema na wakuu wa makuhani na majemadari, jinsi atakavyoweza kumtia mikononi mwao.
Wakafurahi, wakapatana naye kumpa fedha.

*1. Tamaa ya pesa au mali.*

Shetani hutumia mapungufu au madhaifu yetu pale anapotaka kutimiza hila zake au anapotaka kutuangamiza.

Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.
Akaondoka, akaenda akasema na wakuu wa makuhani na majemadari, jinsi atakavyoweza kumtia mikononi mwao.
Wakafurahi, wakapatana naye kumpa fedha.

- Yuda alikua na tamaa za pesa kabla hata ya tukio la kuk**atwa kwa Yesu.

Yohana 12:5-6
Mbona marhamu hii haikuuzwa kwa dinari mia tatu, wakapewa maskini?
Naye aliyasema hayo, si kwa kuwahurumia maskini; bali kwa kuwa ni mwivi, naye ndiye aliyeshika mfuko, akavichukua vilivyotiwa humo.

*2. Uongo*
Hii ni mbinu ya pili ambayo shetani huitumia kutimiza mipando yake ya upotofu.

Mathayo 28:11-15
Mwanzo 3

Yohana 8:44
Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

Usipange kukosa ibada ya kesho tarehe 7/4/2024.Njoo ubarikiwe na Neno la Mungu lisiloghoshiwa
06/04/2024

Usipange kukosa ibada ya kesho tarehe 7/4/2024.
Njoo ubarikiwe na Neno la Mungu lisiloghoshiwa

https://youtu.be/Ne8jilH5qUU
24/09/2022

https://youtu.be/Ne8jilH5qUU

Karibu ubarikiwe kwa nyimbo nzuri za tenzi. usiache ku-subscribe kupata video za aina hii nyingi zaidi.

Address

Sandale, Temeke
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 16:00
Tuesday 09:00 - 16:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 04:00
Saturday 09:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 16:00

Telephone

+255685183889

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neema House Baptist Bible Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share