Familia na Malezi

Familia na Malezi Karibu tujifunze misingi ya familia na ubadae wetu kupitia neno la Mungu Ubadae mzuri unatengenezwa

Huenda huamini mambo ya IMANI YA KIKRISTO yaani ya YESU, tafadhali chukua muda tafakari inawezekanaje watu na uzoefu wa ...
19/09/2024

Huenda huamini mambo ya IMANI YA KIKRISTO yaani ya YESU, tafadhali chukua muda tafakari inawezekanaje watu na uzoefu wa elimu na usio wa elimu YESU aaminiwa ulimwenguni kote ? tambua kuwa ni halisi, k**a unajikuta unasema ni uongo, basi jua pia kuna ukweli, YESU YUPO ANAISHI kwa wale waliokubali KUMKARIBISHA yeye...okoka Leo na urekebishe njia zako. Amen

19/09/2024

Karibu tujifunze misingi ya familia na ubadae wetu kupitia neno la Mungu

Wanaume mlioa jamani kwa halali na mahari mmelipa, uwe muungwana juu ya mkeo ! Unawezaje kutunza watu wa nje halafu mkeo...
20/02/2024

Wanaume mlioa jamani kwa halali na mahari mmelipa, uwe muungwana juu ya mkeo ! Unawezaje kutunza watu wa nje halafu mkeo aliye kuzalia na watoto humuachii hata huduma za kifamilia ? Halafu unataka atumike kitandani huoni K**a ni uonevu tuwe waungwana jamani, punguza maneno magumu basi daah wakati huachi chochote nyumbani ila kwenye mpira unatoa bila shuruti.

Hata k**a nitunge nyimbo za kukusifu Ee uliyewangu  naona bado sitamaliza kuusifia uzuri wako  kwani hata karatasi hazit...
05/01/2024

Hata k**a nitunge nyimbo za kukusifu Ee uliyewangu naona bado sitamaliza kuusifia uzuri wako kwani hata karatasi hazitoshi na peni zitaisha wino wote na mkono wangu utazidiwa na nguvu za upendo wako kwangu, maana naona kukumbatiwa na wewe saa zote, muda wote na hali zote, udhaifu wako ndiyo kituo Cha nguvu zangu. Leo hii nafurahia sana kukutaja na kukusifu hadharani eeh uliyewangu sijutii kuwa na wewe mywangu...sijisikii kufungwa au nipo gerezani hapana najiona niko huru kwa sababu wewe upo, halafu nilisahau kukuambia wewe ni mwanzo na mwisho wa raha zangu my, tabasamu lako Ni nuru yangu kicheko chako ni bahari safi ya kuogelea na maneno yako mazuri ni taulo safi lakunifutia wakati umetoka kuniogesha...sijasahau uliponitoa mywangu nakupenda halafu nakulove......
Jamani tujifunze kuwakubali wapenzi wetu na kuwasifia hata K**a hakuna maokoto 🤣🤣🤣

10/12/2017

mutazame baba yetu wana Efatha huyoooo
hata unampenda lazima uende mbinguni

20/08/2017

Haleluyaaaaa!
leo Efatha Galilaya na Mchungaji Erika Chilewa.
Somo: Maono
Mithali 3:5 ":Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote, wala usitegemee nguvu zako mwenyewe.
> Kila mtu anakitu Mungu amempa yaani maono au ndoto sasa swali la msingi kwa nini hazitimii? hapa kuna vitu lazima ujue
a. Katika hicho jua Mungu ndiye anayeweza kukufanikisha kwani yeye ndiye anajua namna gani kitatokea jambo la msingi jua tu HUHITAJI KUTEGEMEA AKILI ZAKO! Mtegemee yeye tu anajua kumbuka kwa Yusufu.
b.Kingine lazima utake kukaa hemani mwake siku zote ili iwe rahisi kufunua kile alichokuonyesha- Daudi anasema "Neno moja nimelitaka kwa Bwana....... (Zaburi 27:4)
Taka kukaa katika uwepo wa Bwana ili akufanikishe wala usitegemee akili yako maana akili yako inaweza kukupelekea kwenye ulimwengu wa kushindwa...Maono yako kutokea inategemea mahusiano yako na Mungu.

13/08/2017

Inaendelea...
MUNGU ni nuru na jua kuwa wewe ni mshindi na mshindi siku zote analeta nuru pale ambapo kuna giza/ pasipo na amani kuwa na amani !
Ushuhuda toka Galilaya.
Nilipokuwa kazini kuna binti alianguka yaani mapepo nikaitwa lakini mwingine aliitwa wakasema hapana yule mwingine yaani mimi nikaweka mkono Akafunguliwa sasa ile ile ...
Na mwingine pale naishi hapo mwanzo sikuwa naeleweka lakini baada ya kuokoka na kukaa na Yesu nimepewa nafasi ya kushika nafasi ya ubalozi wa nyumba baada ya mhusika kupata kidogo dharula na nimepewa dhamana ya kutunza fedha za watu wanaita ujirani mwema na watu wanataka maombi yangu kwa sababu wananiamini kwa kibali cha Mungu kwa kweli utukufu kwa Mungu.
Mwingine aliitwa Mchungaji baada ya kuingia kwenye gari tu lakini hakuwa mchungaji na mtu huyu hamjui ni ajabu kwa kweli!
Hizo ni baadhi ya shuhuda toka kwa wana wa Mungu !

13/08/2017

Inaendelea...
Hebu mwana wa Mungu sikiza changamoto yoyote unayopitia Bwana Mungu anasema kuwa "Nayajua matendo yako.Tazama, nimekupa mlango uliofunguliwa mbele yako, ambaye hapana awezaye kuufunga, kwa kuwa una nguvu kidogo,nawe umetunza neno langu, wala hukulikana jina langu." -Ufunuo 3 :8
Hebu chukua hatua ya kutafakari kidogo Mungu anakujua umetenda mangapi kuhusu yeye na wangapi wanakuzuia lakini iko ahadi mwana wa Mungu usichoke wewe ni MSHINDI kwani Hukukubali kulikana jina la Mungu wako kwa kusema najua Mungu yupo atanisaidie tu au kuzidi kumtumainia yeye jua kuwa kuanzia sasa AMINI NENO HILO kuwa UMEFUNGULIWA MLANGO WAKO WA USHINDI TANGU SASA KWA JINA LA YESU! Sema Nimepokea Haleluya!

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255763101128

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Familia na Malezi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Familia na Malezi:

Share