Dar Es Salaam Emmanuel Church

Dar Es Salaam Emmanuel Church Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dar Es Salaam Emmanuel Church, Church, Sinza A, Dar es Salaam.

Je, una shauku ya kumtumikia Mungu?Je, unatamani kujifunza Neno la Mungu kwa kina na kuliishi katika maisha yako ya kila...
30/06/2026

Je, una shauku ya kumtumikia Mungu?

Je, unatamani kujifunza Neno la Mungu kwa kina na kuliishi katika maisha yako ya kila siku?

Unakaribishwa kujiunga na programu ya kujifunza Neno la Mungu, iliyoandaliwa mahsusi kwa vijana wa vyuo vikuu na wahitimu wenye moyo wa kumtumikia Mungu na kukua kiroho. Programu hii ni BURE hauhitaji kulipia.

πŸ“– Ratiba za masomo:
Asubuhi: Saa 9:00am – Saa 1:00am
Jioni: Saa 16:00 – Saa 21:00 usiku

Kila session huchukua saa 1, hivyo unaweza kuchagua muda unaokufaa.

Masomo yanafanyika kwa njia ya Google Meet, au unaweza kuhudhuria ana kwa ana katika kituo chetu cha Kivulini, mkabala na Mlimani City (kwa vipindi vya mchana).

Karibu sana! Tunafurahi kukupokea ili kwa pamoja tujifunze Neno la Mungu, tukue katika imani, na tuishi maisha yanayompendeza Mungu.

Mungu akubariki!

0677963745

Je, una shauku ya kumtumikia Mungu?Je, unatamani kujifunza Neno la Mungu kwa kina na kuliishi katika maisha yako ya kila...
22/05/2026

Je, una shauku ya kumtumikia Mungu?

Je, unatamani kujifunza Neno la Mungu kwa kina na kuliishi katika maisha yako ya kila siku?

Unakaribishwa kujiunga na programu ya kujifunza Neno la Mungu, iliyoandaliwa mahsusi kwa vijana wa vyuo vikuu na wahitimu wenye moyo wa kumtumikia Mungu na kukua kiroho. Programu hii ni BURE hauhitaji kulipia.

πŸ“– Ratiba za masomo:
Asubuhi: Saa 9:00am – Saa 1:00am
Jioni: Saa 16:00 – Saa 21:00 usiku

Kila session huchukua saa 1, hivyo unaweza kuchagua muda unaokufaa.

Masomo yanafanyika kwa njia ya Google Meet, au unaweza kuhudhuria ana kwa ana katika kituo chetu cha Kivulini, mkabala na Mlimani City (kwa vipindi vya mchana).

Karibu sana! Tunafurahi kukupokea ili kwa pamoja tujifunze Neno la Mungu, tukue katika imani, na tuishi maisha yanayompendeza Mungu.

Mungu akubariki!

Je wewe ni Mwanafunzi wa chuo chochote nchini Tanzania au umehitimu na Ungependa kutumia Muda wako wa ziada Kujifunza Ne...
11/05/2026

Je wewe ni Mwanafunzi wa chuo chochote nchini Tanzania au umehitimu na Ungependa kutumia Muda wako wa ziada Kujifunza Neno La Mungu?

Una shauku ya Kumtumikia Mungu?

Tutumie ujumbe kwenye namba hii 0677963745 uweze kujiunga.

Programu hii ni BURE!!

Address

Sinza A
Dar Es Salaam
16102.

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dar Es Salaam Emmanuel Church posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category