30/11/2023
Sabato, siku ya tarehe 16.12.2023 tutakuwa na Sabato ya pekee inayolenga kufanya changizo (fundraising) kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa Kanisa ambalo kwa sasa liko hatua ya finishing.. Pia kujenga 'kituo cha mvuto' centre of influence ambacho kitasaidia vijana wa makundi mbalimbali katika jiji la Dar es Salaam bila kujali dini, madhehebu na wanakotoka.