IMS Tanzania Union

IMS Tanzania Union K**a Kanisa, dhima yetu ni kuitangaza kweli ya Neno la Mungu na Injili ya Yesu iletayo tumaini kamili kwa wanadamu.

IMS SDA Church | Reform Movement | Union ya Tanzania

15/02/2026

Tunaishi mwishoni mwa wakati, ni muhimu mara zote tukumbuke kuwa sisi tuliofunuliwa kweli ya Mungu tumeitwa kuwa nuru kwa watu wengine, hususan watu wasioijua kweli.

Hebu tuendelee kuangaza kikamilifu nuru tuliyo nayo na Bwana atatubariki.

Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Kanda ya Kyela, Field ya Mbeya.

12/02/2026

Swali: Je, Idara ya Multimedia imewasaidiaje tangu ianzishwe? Ndg. Kelvin Sanga - Kiongozi wa Multimedia Field ya Mbeya, aliwafuata baadhi ya washiriki kuwauliza ili kusikia kutoka kwao.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Kanda ya Kyela, Field ya Mbeya.

12/02/2026

Baada ya vipindi vya Huduma Kuu, ukafika wakati wa kutoka nje kwa ajili ya kushikana mikono na kusalimiana.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Kanda ya Kyela, Field ya Mbeya.

06/02/2026

Karibu ufuatilie challenge hii. Ndg. Kelvin Sanga - Kiongozi wa Multimedia Field ya Mbeya, aliwafuata baadhi ya washiriki baada ya vipindi ili kuona k**a walikuwa makini kusikiliza somo la Huduma Kuu.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Field ya Mbeya.

06/02/2026

Kiongozi wa Multimedia Union - Ndg. Gradson Ibrahim alitoa msisitizo juu ya kufanya kazi ya kupeleka injili. Dakika moja inatosha kumwambia mtu kuwa; Yesu Anakuja.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Field ya Mbeya.

06/02/2026
Huu ulikuwa wakati wa Huduma Kuu, Ndg. Gradson Ibrahim - Kiongozi wa Multimedia Union, alipokuwa akiendelea na somo leny...
06/02/2026

Huu ulikuwa wakati wa Huduma Kuu, Ndg. Gradson Ibrahim - Kiongozi wa Multimedia Union, alipokuwa akiendelea na somo lenye kichwa kidogo "Roho ya Ubora" chini ya mada kuu "Kuzaa Matunda" siku ya Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela.

06/02/2026

Mgawanyiko wa madarasa wakati wa vipindi vya Shule ya Sabato.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisa la Kateela, Field ya Mbeya.

Ndg. Gradson Ibrahim, Kiongozi wa Multimedia Union akiambatana na Mch. Ibrahim Sanga, Kiongozi wa Field ya Mbeya katika ...
06/02/2026

Ndg. Gradson Ibrahim, Kiongozi wa Multimedia Union akiambatana na Mch. Ibrahim Sanga, Kiongozi wa Field ya Mbeya katika picha ya pamoja na waimbaji wa kwaya ya Sauti Kuu.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisa la Kateela, Field ya Mbeya.

Sabato, Januari 31, 2026, Kanda ya Kyela iliyoko Field ya Mbeya ilipata baraka ya kutembelewa na Kiongozi wa Multimedia ...
06/02/2026

Sabato, Januari 31, 2026, Kanda ya Kyela iliyoko Field ya Mbeya ilipata baraka ya kutembelewa na Kiongozi wa Multimedia Union, Ndg. Gradson Ibrahim.

Ibada ilifanyika katika Kanisa la Kateela, ikiwa ni Sabato yenye baraka tele. Washiriki na wageni wote walijifunza masomo muhimu ya kiroho chini ya mada kuu:
“Kuzaa Matunda.”

Tunamshukuru Mungu kwa Sabato yenye baraka, mafundisho yenye kujenga imani, na ushirika uliolenga kukuza maisha ya Kikristo na kuzaa matunda kwa ajili ya utukufu wa jina Lake.

Salamu Mtu wa Mungu! Tunayo furaha kukukaribisha kwenye Sabato hii ya Januari 31, 2026, itakayofanyika Kanisa la Kateela...
30/01/2026

Salamu Mtu wa Mungu! Tunayo furaha kukukaribisha kwenye Sabato hii ya Januari 31, 2026, itakayofanyika Kanisa la Kateela, Kyela – Field ya Mbeya.

“Kuzaa Matunda” ndiyo mada kuu ya Sabato hii.

Je, tunawezaje kuzaa matunda katika maisha ya Kikristo? Ni kwa namna gani kuzaa matunda ni muhimu kwetu k**a wasafiri wa mbinguni?

Karibu tujifunze pamoja na kukua kiroho siku hii ya baraka. Usipange kukosa.

International Missionary Society
Seventh-day Adventist Church
Reform Movement
Union ya Tanzania

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when IMS Tanzania Union posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share