15/02/2026
Tunaishi mwishoni mwa wakati, ni muhimu mara zote tukumbuke kuwa sisi tuliofunuliwa kweli ya Mungu tumeitwa kuwa nuru kwa watu wengine, hususan watu wasioijua kweli.
Hebu tuendelee kuangaza kikamilifu nuru tuliyo nayo na Bwana atatubariki.
Sabato, Januari 31, 2026, Kanisani Kateela, Kanda ya Kyela, Field ya Mbeya.