Bible Studies/Tujifunze Biblia

Bible Studies/Tujifunze Biblia 📖✨Test Your Bible Knowledge & Grow Spiritually! ✨📖

Welcome Nurukuu Bible Quiz App! https://nurukuu.com

Challenge yourself with fun, interactive Bible trivia and learn more about God’s Word in a new and exciting way.

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 21 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 25, Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI...
21/11/2025

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 21 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 25,
Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI NA JIBU ushinde zawadi

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 20 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 22, Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI...
20/11/2025

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 20 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 22,
Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI NA JIBU ushinde zawadi

Challenge ya Maswali ya Biblia tarehe 19 November 2025, Swali namba 10
19/11/2025

Challenge ya Maswali ya Biblia tarehe 19 November 2025, Swali namba 10

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 18 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 11, Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI...
18/11/2025

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 18 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 11,

Kuwa wa kwanza ku comment chini SWALI NA JIBU ushinde zawadi

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 17 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 5, Kuwa wa kwanza ku comment chini swali ...
17/11/2025

Maswali ya Biblia Challenge, Tarehe 17 November: KITABU CHA MWANZO SWALI NAMBA 5, Kuwa wa kwanza ku comment chini swali na jibu ushinde zawadi

Bwana Yesu asifiwe wapendwa wa Mungu!Nawakumbusha kwamba leo tarehe 17 November, tutaanza challenge yetu ya Maswali ya B...
17/11/2025

Bwana Yesu asifiwe wapendwa wa Mungu!Nawakumbusha kwamba leo tarehe 17 November, tutaanza challenge yetu ya Maswali ya Biblia. Saa ya kupost ni saa 3 na nusu (saa tatu na dk 30 usiku) kutokana na mapendekezo yenu, wengi mtakuwa mmetulia majumbani mda huo,

Nitapost hapa kwenye page yetu ya Facebook https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114 # namba ya swali kutoka maswali ya kitabu cha Mwanzo. Maswali yote ni kwa lugha ya Kiswahili.

Unachopaswa kufanya: Ingia kwenye maswali nenda kwenye namba ya swali nililoandika click jibu sahihi, andika swali linasemaje na jibu lake, upost k**a reply ya post yangu ya namba ya swali. Screenshot inaruhusiwa pia. Post yangu nitaipost na kuipin hapa https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114 #

Mtu wa kwanza kupost reply ya swali na jibu lake atakuwa ndie mshindi wa siku, ataniandikia inbox email yake, user name na tarehe aliyojisajili kwenye Nurukuu Maswali ya Biblia, na namba ya simu ya kupokelea zawadi yake ya Tsh 20,000

Kila siku nitapost namba ya swali Facebook, challenge yetu itakuwa kwa siku 5, yaani tarehe 17 hadi 21 November. Lengo la challenge yetu ni kuhamasisha usomaji wa Biblia. Kwa wasio na ujuzi wa neno la Mungu, msihofu, maswali ni ya kuchagua na ukichagua jibu lisilo sahihi utaonyeshwa jibu sahihi papo hapo. Andika Swali na jibu lake sahihi , au screenshot, utume k**a reply kwenye post yangu ya namba ya swali, ukiwa wa kwanza kureply utakuwa mshindi wa challenge ya siku.
karibuni sana.

Kwa wanaotaka kufanya challenge lakini hawajajiunga na NuruKuu Maswali ya Biblia, nashauri wajiunge mapema na kujaribu kuyafikia maswali ili k**a kuna shida yoyote waweze kupata msaada kabla ya challenge kuanza.

Kwa waliojiunga tayari ingia hapa https://nurukuu.com/my-account/ scroll chini kwenye kitufe cha kijani "Anza maswali ya Biblia" , k**a uli logout page ya ku login itatokea, login kwa kutumia username na password uliyotumia kujisajili, itakupeleka moja kwa moja kwenye maswali

Yeyote mwenye swali kuhusu Challenge inayoanza leo anione inbox.

Karibuni sana wapendwa

Wapendwa, Bwana Yesu asifiwe! Nawakumbusha kwamba kesho tarehe 17 November, tutaanza challenge yetu ya Maswali ya Biblia...
16/11/2025

Wapendwa, Bwana Yesu asifiwe!

Nawakumbusha kwamba kesho tarehe 17 November, tutaanza challenge yetu ya Maswali ya Biblia.

Saa tatu kamili usiku, nitapost kwenye page yetu ya Facebook https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114 # namba ya swali kutoka maswali ya kitabu cha Mwanzo.

Unachopaswa kufanya: Ingia kwenye maswali nenda kwenye namba ya swali nililoandika click jibu sahihi, andika swali linasemaje na jibu lake, upost k**a reply ya post yangu ya namba ya swali. Screenshot inaruhusiwa pia.

Post yangu nitaipost na kuipin hapa https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114 wa kwanza kupost reply ya swali na jibu lake atakuwa ndie mshindi wa siku, ataniandikia email yake na tarehe aliyojisajili kwenye Nurukuu Maswali ya Biblia, na namba ya simu ya kupokelea zawadi yake ya Tsh 20,000

Kila siku nitapost namba ya swali Facebook, challenge yetu itakuwa kwa siku 5, 17 hadi 21 November. Lengo la challenge yetu ni kuhamasisha usomaji wa Biblia. Kwa wasio na ujuzi wa neno la Mungu, msihofu, maswali ni ya kuchagua na ukichagua jibu lisilo sahihi utaonyeshwa jibu sahihi papo hapo.

Andika Swali na jibu lake sahihi , au screenshot, utume k**a reply kwenye post yangu ya namba ya swali, ukiwa wa kwanza kureply utapata Tsh 20,000 karibuni sana.

Kwa wanaotaka kufanya challenge lakini hawajajiunga na NuruKuu Maswali ya Biblia, nashauri wajiunge mapema na kujaribu kuyafikia maswali ili k**a kuna shida yoyote waweze kupata msaada kabla ya challenge kuanza.

Jiunge kupitia hapa https://nurukuu.com. Maelezo ya hatua kwa hatua jinsi ya kujiunga yanapatikana kwenye post ya Facebook hapa https://www.facebook.com/share/p/1CvsD5ocqY/ . Bei ya kupata maswali Tsh 5000 kwa mwaka mmoja, ni kwa ajili ya gharama za kutengeneza na kuendesha mfumo wa maswali. Maswali yote yanapatikana kwa lugha ya Kiswahili.

K**a unapenda karibu pia ujiunge na group la WhatsApp la kusoma Biblia kila siku bure. https://chat.whatsapp.com/Fmx53cTexhz3jmzI2gox6W

Yeyote mwenye swali kuhusu Challenge inayoanza kesho anione inbox. Karibuni sana wapendwa

Karibu ujiunge na group letu la whatsapp la kusoma Biblia, tunasoma Biblia yote kwa mwaka mmoja
11/11/2025

Karibu ujiunge na group letu la whatsapp la kusoma Biblia, tunasoma Biblia yote kwa mwaka mmoja

WhatsApp Group Invite

Wapendwa wa Mungu, Bwana Yesu asifiwe, tumsifu Yesu Kristo.Tunajiandaa kuanza tena challenge yetu ya maswali ya Biblia, ...
10/11/2025

Wapendwa wa Mungu, Bwana Yesu asifiwe, tumsifu Yesu Kristo.

Tunajiandaa kuanza tena challenge yetu ya maswali ya Biblia, kwa siku 5, tutatoa namba ya swali kutoka maswali ya kitabu cha Mwanzo, utaandika swali linasemaje na jibu sahihi. Utapost kwenye ukurasa wetu huu wa Facebook https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114. k**a hujui jibu sahihi usihofu, mfumo utakuonyesha jibu sahihi utapotick jibu lisilo sahihi. Atayepost kwanza atajishindia Tsh 20,000

Challenge itaanza tarehe 17 November

Ingia hapa https://nurukuu.com kupata maswali kwa Tsh 5000 tu, sasa unaweza kulipia kwa simu. Utapata maswali ya kitabu cha Mwanzo na mengine yatayoongezwa kwa muda wa mwaka mmoja

Angalia screenshots kwenye hii post ya maelekezo ya kujiunga, utajiunga mara moja na kulipia mara moja, baada ya hapo utaingia moja kwa moja au kwa kulogin iwapo uta logout.

Ofa ya kupata maswali yote kwa mwaka mmoja inaisha tarehe 30 November, watakaojiunga baada ya hapo watapata maswali yote kwa miezi sita.

Kwa wanaotaka kujiunga na group letu la Whatsapp la kusoma Biblia bila malipo yoyote, karibuni hapa https://chat.whatsapp.com/Fmx53cTexhz3jmzI2gox6W . Tunasoma Biblia na kuimaliza yote ndani ya mwaka mmoja. Pia kuna muhtasari wa somo kila siku.

Tuandikie ujumbe WhatsApp 0416 460 723

Wapendwa wa Mungu, Bwana Yesu asifiwe, tumsifu Yesu Kristo.Tunajiandaa kuanza tena challenge yetu ya maswali ya Biblia, ...
08/11/2025

Wapendwa wa Mungu, Bwana Yesu asifiwe, tumsifu Yesu Kristo.

Tunajiandaa kuanza tena challenge yetu ya maswali ya Biblia, kwa siku 3 tutatoa namba ya swali kutoka kitabu cha Mwanzo, utaandika hilo swali linasemaje na jibu lake na kushinda Tsh 10,000.

Utapost swali na jibu hapa kwenye huu ukurasa wetu wa Facebook https://www.facebook.com/profile.php?id=61572840240114. Atayepost kwanza atakuwa ndie mshindi wetu wa siku.

Maelekezo ya link ya kupata maswali na tarehe ya kuanza challenge, yatapatikana hapa ndani ya siku chache

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bible Studies/Tujifunze Biblia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share