INTRODUCTION:
Neema Gospel Choir is a group of born again Christian Singers, members of Africa Inland Church (AICT). BACKGROUND:
Neema Gospel Choir was formed in 1992 with six (6) members having a single keyboard but now grown up to sixty (60) members with professional musical instruments. AIMS AND OBJECTIVES
Going all over Tanzania and across the borders preaching the word of God and bringing peo
ple to our Almighty God. Extending fellowship to the street Children giving support both materially and spiritually. Praying for sick in homes,hospitals and wherever possible particularly in crusades. Praying for those in need! To provide Christian Counceling and reuniting broken families and other services. Among these are provision of food, clothes and spiritual education to all people in need especially widowed, street children, poor e.t.c. To establish different projects and investments for the sustainability of NGC. KISWAHILI:
KUHUSU NGC
Kuhubiri neno la Mungu kwa njia ya UIMBAJI
LENGO
Kwenda duniani kote kuhubiri neno la Mungu kwa njia ya UIMBAJI
MAELEZO KUHUSU NGC
UTANGULIZI:
Neema Gospel Choir ni kundi la KIKRISTO waliozaliwa mara ya pili, waumini wa kanisa la Africa Inland Church ( AICT ). Ni kanisa la mtaa wa Chang'ombe Dayosis ya Pwani katika jiji la Dar es salaam. HISTORIA:
Neema Gospel Choir ilizaliwa mwaka 1992 ikiwa na waimbaji sita (6) na kinanda kimoja, lakini kwa sasa ina wanakwaya zaidi ya sitini (60) na vyombo vya kisasa vya muziki. MALENGO NA MADHUMUNI
Kwenda Tanzania yote na kuvuka mipaka ya nchi kuhubiri neno la Mungu na kuleta watu kwa Mungu wetu Mwenye Uwezo, wapate kumkiri na kumwamini YESU na Kuokoka. Kupanua ushirika kwa watoto wa mitaani na kutoa msaada ya mali na ya kiroho. Kuomba kwa ajili ya wagonjwa katika nyumba , hospitali na popote iwezekanavyo hasa katika mikutano. Kuomba kwa ajili ya mahitaji mbalimbali kwa wahitaji! Kutoa ushauri wa kikristo na kuunganisha tena familia zilizovunjika na kukata tamaa pamoja na huduma nyinginezo. Miongoni mwa haya ni utoaji wa chakula, nguo na elimu ya kiroho kwa watu wote wanaohitaji hasa wajane, watoto wa mitaani, maskini n.k. Kuanzisha miradi mbalimbali na uwekezaji kwa ajili ya uendelevu wa NGC .