kuingia katika ulimwengu wa Fursa ya Uwepo Ndio Gharama Afadhali

kuingia katika ulimwengu wa Fursa ya Uwepo  Ndio Gharama Afadhali Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from kuingia katika ulimwengu wa Fursa ya Uwepo Ndio Gharama Afadhali, Religious organisation, Dar es Salaam.

Mna dakika 10 za kumwombe pumzi ireje au baada ya dakika 30 ndio mwisho wa kukwona  Ulikuwa    wangu mzuri sana, ila leo...
03/05/2025

Mna dakika 10 za kumwombe pumzi ireje au baada ya dakika 30 ndio mwisho wa kukwona

Ulikuwa wangu mzuri sana, ila leo naona roho yako ikichomoka, kwa uwezo wangu nakuongezea masaa 90 ya kuishi k**a itashindikana basi acha iwe kheri kwa mapenzi ya Mungu.

SERIKALI  YAAMURU ALIYE ANDIKA KWENYE MTANDAO WA KIJAMII 𝕏  KWAMBA SIKU ZA KITIMA ZINAHESABIKA AKAMATWE.Akitoa agizo Hil...
03/05/2025

SERIKALI YAAMURU ALIYE ANDIKA KWENYE MTANDAO WA KIJAMII 𝕏 KWAMBA SIKU ZA KITIMA ZINAHESABIKA AKAMATWE.

Akitoa agizo Hilo, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Tanzania Innocent Bashungwa, amesema hii iende sambamba na kuwak**ata 'mtu' au 'watu' Walio toa waraka feki, wenye lengo la kuonekana umetolewa na Baraza La Maaskofu Tanzania (TEC).

WAZIRI Bashungwa amesema lengo la Waraka Huo 'feki' ni kuchochea mgongano Kati ya Kanisa na Serikali.

Waziri pia amesisitiza kusakwa na kuk**atwa watu walio husika na tukio la kumjeruhi Padre Kitima akiwa katika Eneo la Makazi Yake Kurasini Jijini Dar es Salaam hivi Majuzi.

23/03/2025

Maana ya kelele za mahaba wakati wa tendo la zinaa ya ukahaba

Utangulizi
Ni sauti laini isiyo ya kawaida katika masikio la mwili wa mwanadamu yenye;
-Ushawishi kuamsha hisia
-Mamlaka kuteka akili
-Uweza wa Kupumbaza fahamu
-Haki ya kupindua maarifa
-Shangwe za wizi wa baraka za rohoni
-Mashasham ya kutapeli hisia mafanikio
Nguvu za asili za ulimwengu wakati wa tendo la zinaa haramu nje ya ndoa k**a ifuatavyo;-

1: Kushawishi hisia za mwili mbele ya ndoa halali
Kupeperusha mihemko ya homoni mbele ya ndoa
Kupeperusha misisimko ya mwili mbele ya ndoa
Kupoteza miamsho ya moyo mbele ya ndoa
Kuondoa hamu ya tendo katika ndoa
Kukinaisha radha ya tendo katika ndoa

2: Kuharibu hatima ya mafanikio katika mahaba ya zinaa
Hatima ya ndoa
Hatima ya ulimili wa ndoa
Hatima ya malezi ya ndoa
Hatima ya kizazi cha ndoa
Hatima ya mafanikio ya ndoa
Hatima ya maono ya ndoa
Hatima ya Mamlaka a ya ndoa

3: Kupumbaza utashi wa asili katika mahaba ya zinaa
Kupumbaza akili mbele ya ndoa
Kuharibu fahamu za utu
Kudhoofisha upendo wa ndoa
Kudhulumu haki ya ndoa
Kukataa hekima ya ndoa

4: Kupunguza mapenzi asilia katika ndoa ya hadi
Kukata hamu ya ndoa
Kuondoa mahaba ya dhati katika ndoa
Kupindua ahadi za ndoa
Kufuta ladha ya ndoa
Kuharibu ukaribu katika ndoa
Kupanua Agano la ndoa
Kutenganisha rasilimali za ilimiliki wa ndoa

5: Kubomoa mawasiliano ya roho ya mwanadamu mbele za Mungu
Mazungumzo ya roho katika imani
Majibizano ya roho katika imani
Mahojiano ya roho katika imani
Mashauri ya roho katika imani
Maagano ya roho katika imani
Ahadi za roho katika imani

6: Kuinua roho za mapingamizi katika ulimwengu wa madhabahu
Roho ya kukataliwa
Roho ya kudharaurika
Roho ya kupuuzwa
Roho ya mauti
Roho za uovu
Roho za uamaskini
Roho za kukata tamaa
Roho za kushindwa

7: Kutoboa milango ya fahamu za roho katika mwili wa mwanadamu
Kutoboa macho ya roho
Kuziba sikio la roho
Kuchuna ngozi ya roho
Kupasua pua za roho
Kukata ulimi wa roho

8: Kuvunja Madhabahu ya Mwili katika moyo
Kuondoa kiti cha rehema cha Mungu
Kuondoa kinara cha taa saba katika moyo
Kuvunja meza ya mikate ya wonyesho
Kurarua dhabihu za mwili katika moyo
Kuiba ukuhani wa roho katika moyo

Hitimisho
Ni sauti ya kudhoofisha uwezo wa nguvu za asili katika maisha kwa kupandikizia mzigo hatarishi katika maisha ya ulimwengu wa giza;
-Kuchafuliwa nyota ya hatima
-Kubebeshwa roho za kukataliwa
-Kubebeshwa miamsho ya kihisia
-Kupandikiziwa roho za uongo wa uovu
-Kupewa haki ya kudharaurika
Nguvu ya kelele za mahaba ya mapenzi ya zinaa ya nje ya ndoa hutenda kazi kudogofya kiroho chako, Karama, kipawa, mamlaka ya asili
Kwa kila inapofikia kilele katika zinaa nje ya kabla ya ndoa, nje ya ndoa hali ya Kimadhabahu mbele za Mungu.

Usuluhishi wa Migogoro ya Kihisia katika Welevu wa fahamu za moyo.
2Kor 10:5,
Math 18:15-17, Dan 4:1 , 4:7. Yoh 3:16, Isa 6:8.
Matumizi chozi la faraja
Matumizi ya chozi la hasira
Matumizi ya chozi la Simanzi
Matumizi ya chozi la majonzi
Matumizi ya chozi la uchungu
Matumizi ya chozi haki
Matumizi ya chozi la rehema

"Philosophy of Flesh Emotional Conflicts of Consciousness Intelligence"

By Tikeysu
Mch Timothy Kenneth Yeinthy Sunyai.
Wa
JESUS CHURCH TANZANIA
Jesus Evangelism of Shepherdness for Universal Salvation Church.
Kinyerezi
Ilala
Dar es salaam
Tanzania.

Ukiwa na migogoro katika iman ya Kristo
Tutafute

Ukibarikiwa na masomo yetu
Ukaguswa kutoa dhabihu.

Tuma kwa Simu
Air tell
+255692771044
+255785679996
M pesa.
+255769571044
Jina la account Timothy Sunyai
Hata elfu ni Shukrani Mbele za Mungu.

Swali na maoni.
Email [email protected].

David Mugambi hiyo mada ingine alfu huna vielelezo vya kutosha katika falsafa za imani ya Kristo hivyo si vema kuzungumz...
23/03/2025

David Mugambi hiyo mada ingine alfu huna vielelezo vya kutosha katika falsafa za imani ya Kristo hivyo si vema kuzungumzia jbo lilonje ya uwezo wako
Rudi jifunze kwa bidii
Au
Nichek WhatsApp +255692771044
Lete hoja zako nikupe elimu katika falsafa za imani ya Kristo Ulimwenguni

Maana hata wewe unachokiami bado kina mapungufu mengi kuliko hayo ya kufunika kichwa

Njoo tafadhari

God's reward for your gentleness before the world. Ps 22:26, ​​76: 9. IntroductionIt is a condition for creating your he...
23/03/2025

God's reward for your gentleness before the world.
Ps 22:26, ​​76: 9.

Introduction
It is a condition for creating your heart's environment;
-Configuring abuses gently
-The heavy swollen in silence
-The pain with the pain
-Conformer in silence
-The tears of the tears of the heart.
With the gentleness of the human heart in the eyes of the body of the world.

1: Not fearing temptation in the heart before God
To despise heart hours
Mocking the heart anxiety
Losing the fear of the heart
To overcome emotional counsel

2: Being calm of heart before God
To declare a heart victory at the beginning of the near
Acknowledge victory in the midst of pain
Lift the victory at the end of your path

3: Defeat the body in the heart of God.
Ignoring the feelings of a perfect body
To undermine the happiness of the body
Losing the desires of the body
To react the emotions of the body
Prevents emotional excitement

4: Win the world in the heart before the Lord.
Absurdly the desire for wealth
Disrespecting the value of the world
Ridicule luxury life
Givejl the right you go through the world

5: Winning the judgment of the heart before God.
To despise heart blame
Mocking the accusations of the heart
Losing emotional suspicions
Caring for the conflict of the soul

6: Enduring difficulties in the heart before the Lord
To endure the heart of the heart
To be on the paths
Not showing the agony of the heart

7: Maintaining heart happiness in front of pain
To promote the peace of the heart
Seeking the joy of the heart
LOOKING FOR A HAPPY OF HEART
Enhance the comfort of the heart

Conclusion
Silence has revealed the main characteristic of the fear of God for those who can reach the inheritance of a new country coming before you.
Matt 5: 5
Fearing God for obvious actions in human life
Longing for the gentleness of the heart;
-Cracking the gentleness of the character
-Cracking the stability of actions
-The stability of the character
-And the mildness of the heart
For all the challenges facing the feeling of physical life is the main trait of godliness.

The righteous without authority to rule in the governments of the country by the hand of God.
Matt 5: 3, 19:21, Kolo 3: 1-2
-The general in emotional emergency.
-The supreme in the luxury of faith
-The supreme in the Kingdom of the Kingdom
-The general in authority of authority
-The supreme in an impaired inheritance
-The general in the elegance of the Holy Spirit.

"Philosophy of New Called Prince for Upcoming Nation Intelligence"

By Tikeysu
Rev. Timothy Kenneth YeinThy Sunyai.
Of
JESUS ​​CHURCH TANZANIA
Jesus Evangelism of Shepherdness for Universal Salvation Church.
Kinyerezi
Ilala
Dar es Salaam
Tanzania.

HAVE A LIGHT OF THE FUTURE OF SPECIAL PERSONALITY

Find us.
If you are blessed with our studies
You were touched to sacrifice.

Send by phone
Air Tell
+255692771044
+255785679996
M money.
+255769571044
NAME OF ACCOUNT TIMOTHY SUNYAI
Even a thousand is thanks before God.

Question and Comments.
Email [email protected].

Thawabu ya Mungu kwa ajili ya upole wako mbele za ulimwengu.Zab 22:26, 76:9.UtanguliziNi hali ya kujitengenezea mazingir...
23/03/2025

Thawabu ya Mungu kwa ajili ya upole wako mbele za ulimwengu.
Zab 22:26, 76:9.

Utangulizi
Ni hali ya kujitengenezea mazingira ya moyo wako;
-Kuvumilia dhuluma kwa upole
-Kumezwa mazito kwa ukimya
-Kustahimili Maumivu
-Kushinda magumu kwa ukimya
-Kuishu kwa chozi la moyo.
Kwa upole wa moyo wa mwanadamu mbele za mamlaka za mwili Ulimwenguni.

1: Kutohofia majaribu katika moyo mbele za Mungu
Kudharau masaa ya moyo
Kudhihaki wasiwasi za moyo
Kupotezea woga wa moyo
Kushinda shauri la kihisia

2: Kuwa mtulivu wa moyo Mbele za Mungu
Kutangaza ushindi wa moyo mwanzo wa karibu
Kukiri ushindi katikakati ya maumivu tele
Kuinua ushindi mwishoni mwa Mapito yako

3: Kushinda mwili katika moyo Mbele za Mungu.
Kupuuza hisia za mwili kamilifu
Kudharau furaha ya mwili
Kupotezea tamaa za mwili
Kuthibti mihemko ya mwili
Kuzuia misisimko ya kihisia

4: Kushinda dunia katika moyo Mbele za Bwana.
Kipuuzi tamaa ya mali
Kudharau thamani za duniani
Kudhihaki maisha ya anasa
Kutoajl haki unayopitia duniani

5: Kushinda hukumu za moyo mbele za Mungu.
Kudharau lawama za moyo
Kudhihaki shutuma za moyo
Kupotezea tuhuma za kihisia
Kujali migogoro ya nafsi

6: Kuvumilia magumu katika moyo mbele za Bwana
Kustahimili mikimiki ya moyo
Kuwa juu ya mapito
Kutoonesha fadhaa za moyo

7: Kudumisha furaha ya moyo mbele za Maumivu
Kuendeleza amani ya moyo
Kutafuta shangwe za moyo
Kuenzi furaha ya moyo
Kuimarisha faraja ya moyo

Hitimisho
Kimya kimebaini sifa kuu ya kumcha Mungu kwa watakao weza kufikia urithi wa nchi mpya inayokuja mbele yako.
Math 5:5
Kumcha Mungu kwa Vitendo dhahiri katika maisha ya mwanadamu
Kutamani upole wa moyo;
-Kuchunguza upole wa tabia
-Kutafuta utulivu wa matendo
-Kuenzi utulivu wa tabia
-Kuendeleza upole wa maoyo
Kwa changamoto zote zinazoikabili katika hisia za maisha ya kimwili ndio sifa kuu ya kumcha Mungu.

Wenye haki wasio na mamlaka ya kutawala katika serikali za nchi kwa mkono wa Mungu.
Math 5:3, 19:21, Kolo 3:1-2
-Mkuu katika welevu wa hisia.
-Mkuu katika welevu wa imani
-Mkuu katika welevu wa ufalme
-Mkuu katika welevu wa mamlaka
-Mkuu katika welevu wa urithi Usioharibika
-Mkuu katika Welevu wa Roho Mtakatifu.

"Philosophy of New Called Prince for Upcoming Nation Intelligence"

By Tikeysu
Mch Timothy Kenneth Yeinthy Sunyai.
Wa
JESUS CHURCH TANZANIA
Jesus Evangelism of Shepherdness for Universal Salvation Church.
Kinyerezi
Ilala
Dar es salaam
Tanzania.

Ukiwa na mkanganyiko wa welevu wa hisia za hofu kutawa nchi Kwa iman ya Kristo

Tutafute.
Ukibarikiwa na masomo yetu
Ukaguswa kutoa dhabihu.

Tuma kwa Simu
Air tell
+255692771044
+255785679996
M pesa.
+255769571044
Jina la account Timothy Sunyai
Hata elfu ni Shukrani Mbele za Mungu.

Swali na maoni.
Email [email protected].

The importance of man to pass through the womb of a woman. Jer 1: 4-5, Eph 1: 4-5IntroductionIt is the gradual process o...
23/03/2025

The importance of man to pass through the womb of a woman.
Jer 1: 4-5, Eph 1: 4-5

Introduction
It is the gradual process of the sacrifice in the weak world when the spirit of man;
-Wearing humanity
-Chapter wearing a blood body
-And the gift of a living soul (the breath of God)
By the movement of God to lift one's spirit into the levels of divine authority before the Lord Heaven and the world

1: Increasing how to-do God before the Lord.
Given the image of God
To take the example of God
Given the Holy Trinity.

2: Receive adequate experience on the condition of the body of weak blood
Learning body habits
Adjusting pain
Learning victory over the body

3: Strengthening humility in weakness before the Lord. Mith Phil 2: 8.
Put authority in the presence of weaknesses
Incorporating power into weakness
Seeing power is not something to accompany it in the presence of weakness
Living in weakness in the presence of the devil's enemy.

4: Learning the standards of presentation before the Lord Ps 51:17, Rom 12: 1
Bring the hearts of the heart
Lifting the body sacrifices
Strengthening the Solid Sacrifice

5: Prepared to be the Great King before the Lord. 2pter 1:11
Given the kingdom
It will be rewarded for the kingdom
The kingdom is awarded
Given the kingdom
To reach the kingdom.

6: To rule the kingdom of God before the Lord. LUK 17:21.
To raise the kingdom of God
To lead the kingdom of God
Defending the Kingdom of God
To manage the kingdom of God
To spread the kingdom of God
To build the kingdom of God

7: Given the Holy Trinity in humanity before the Lord.
Given a chosen body
Given the chosen Spirit
Given a selected position.
Given a sense of weakness in the face of the strong hostility of Satan.

Conclusion.
The life of the human spirit has existed since the time of God's spirit to rest on the depths of water before the singing of heaven and earth;
-The spiritual living in the Age of God;
-The Spiritual Live in the Lord's mouth
-The spirit is going to work in the chest of God
-The spirit is prepared to be worshiped in front of a creature.
For the privilege of God's will on the weakest creature
-The original
-Tay now
-The everlasting everlasting.
Man is the reign of him.

Arbitration of emotional conflicts in the consciousness of heart consciousness.
2Coro 10: 5,
Matt 18: 15-17, Dan 4: 1, 4: 7. John 3:16, Isa 6: 8.
Use a tear of comfort
The use of anger tears
The use of a tear of the syllable
The use of tears of sadness
The use of tears of bitterness
The use of tears right
The use of tears of mercy

“Philosophy of Flesh Emotional Conflicts of Consciousness Intelligence”

By Tikeysu
Rev. Timothy Kenneth YeinThy Sunyai.
Of
JESUS ​​CHURCH TANZANIA
Jesus Evangelism of Shepherdness for Universal Salvation Church.
Kinyerezi
Ilala
Dar es Salaam
Tanzania.

If you have conflicts in the Iman of Christ
Find us

If you are blessed with our studies
You were touched to sacrifice.

Send by phone
Air Tell
+255692771044
+255785679996
M money.
+255769571044
NAME OF ACCOUNT TIMOTHY SUNYAI
Even a thousand is thanks before God.

Question and Comments.
Email [email protected].

The importance of poverty to man in front of the altar. Matt 8:20, 19:21, 19:27, Mark 10:28,IntroductionIt is a state of...
23/03/2025

The importance of poverty to man in front of the altar.
Matt 8:20, 19:21, 19:27, Mark 10:28,

Introduction
It is a state of manifestation of the value of God's kingdom in the human life of the human nature of the physical world that brings it;
-The ownership of ownership
-The Violence of wealth
-The righteousness of justice
-Depending on pride
In establishing or settling everything you intend to be before the body life.

1: Reduce the Akil Powers of Man before the Lord. Gen 8:21.
To erase the excitement of the body
To erase the feelings of lust
Loosening the emotional emotion
To ease the ignorant mind.

2: To undermine the kingdoms before the Lord. 2 Cor 10: 5.
To deprive the pride of the heart.
BUILDING A CAREER OF HEART
To override heart abuse
Destroying the scorn of the heart

3.
Lift the calmness of the heart
Bring the spiritual integrity
Awakening the love of God
Strengthening the Trust of the personality

4: Bringing heart obedience before the Lord.
Heart of the heart
Heart sensitivity
Heart tolerance
The kindness of the soul
Heart Famils

5: Restoring the memories of righteousness before God.
Appreciate the existence of God
Caring for the power of God
Longing for the existence of God
Believe in God's aid
Seeking the love of God

6: loosening the cords of death before the Lord.
Abuse by protecting the dignity of money
Discovering by adding wealth
To take justice by enhancing wealth
Kill by defending the respect of the property

7: Establishing a Dad Communicate before the Lord
To regret the evil of parents
Piercing the sins of life
Seeking additional aid to God
DEVELOPMENT HABARS OF GOD'S CREATION
Receiving extra power in life

8: Defending the body's authority before the kingdom of Satan.
Taking the desire of the body
To despise the world's pride
Losing the treasures of the body
Mocking the gods of the gods
Hating the aid of dark spirits in ownership

Conclusion.
The main foundation of the pride of the human heart is built in the ownership of the glory of the world so Christ Christ came to break the pride of the pride
The main foundation of humility is built on the weakness of the world's glory. MTH 19:21.
-Being weak
-Being obedient.
-Being responsive
-Be humble
-Being righteous
-The service
-The narrow path of poverty for the lack of value to the world
By investing in the ownership of the glory of the spirit world in the faith of God.

A poor servant in the feelings of God for the light of the faith of Christ. Matt 5: 3, 19:21, Kolo 3: 1-2
-The general in emotional emergency.
-The supreme in the luxury of faith
-The supreme in the Kingdom of the Kingdom
-The general in authority of authority
-The supreme in an impaired inheritance
-The general in the elegance of the Holy Spirit.

"Philosophy of Poorly Intelligence in God's Emotional psychologically"

By Tikeysu
Rev. Timothy Kenneth YeinThy Sunyai.
Of
JESUS ​​CHURCH TANZANIA
Jesus Evangelism of Shepherdness for Universal Salvation Church.
Kinyerezi
Ilala
Dar es Salaam
Tanzania.

With the confusion of the feeling of poverty in the Iman of Christ
Find us.
If you are blessed with our studies
You were touched to sacrifice.

Send by phone
Air Tell
+255692771044
+255785679996
M money.
+255769571044
NAME OF ACCOUNT TIMOTHY SUNYAI
Even a thousand is thanks before God.

Question and Comments.
Email [email protected].

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when kuingia katika ulimwengu wa Fursa ya Uwepo Ndio Gharama Afadhali posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share