18/11/2018
Mt:Michael Rangi
Somo:NGUVU YA MUNGU KATIKA PENDO LAKE
Mathayo 16:8,
Efeso 2:13, 20
"tulikua mbali kwa sababu ya dhambi, tumevutwa karibu kwa sababu ya damu ya Yesu(Ebrania 13;20-26) na kuwekwa katika misingi ya mitume na manabii"
Fundisho la kitume na kinabii limeruhusiwa kwa nyakati hizi ili kuniandaa mimi nifae kwa ajili ya safari ya mbinguni
# Nguvu ya Mungu naipata kwa kusikia(sauti ya Mungu) taarifa sahihi kutoka kwa Mungu,,,,,
>>>Hatua muhimu zitakazokufanya uweze kusikia sauti Mungu na kutembea na Roho wake
1:-Ishi sawasawa na neno la Mungu lisemavyo
2;-Jitenge na dhambi na tabia za kidunia
3;-Uwe mtu mwenye adabu na imani mbele za Mungu
4;-Uwe mtu mwenye bidii kuomba, kusoma neno la Mungu na kuwafanya wengine kufikia toba
1Sam 30;1-11, 17-20
1Sam 28;30______
***K**a hutokaa katika utaratibu huu hutoisikia sauti ya Mungu hivyo;sitopata taarifa sahihi kwa wakati sahihi kutoka kwa Mungu kuhusu yale aliyoniandalia kabla ya kuwekwa misingi ya dunia (1korintho 2;-9)