Kanisa la Moravian Ushirika wa Malamba mawili-Dsm

Kanisa la Moravian Ushirika wa Malamba mawili-Dsm Karibu Uabudu nasi. Jumapili
Muda: saa 3:00 Asubuhi 6:30 Mchana
NYOTE MNAKARIBISHWA

kanisa la moravian Tanzania (KMT)
Jimbo la Mashariki
Ushirika wa Malamba Mawili-King'azi Daresalam Tanzani
Email:
[email protected]
Ibada kuu.

Mungu akubariki kwa sadaka yako .Malaki 3:10Mungu akubariki. tuna uhitaji wa kumalizia kukomboa ardhi kwa ajiri ya kanis...
19/02/2026

Mungu akubariki kwa sadaka yako .
Malaki 3:10
Mungu akubariki. tuna uhitaji wa kumalizia kukomboa ardhi kwa ajiri ya kanisa. na ujenzi uweze kuendelea

Kanisa la Huanzia Huku.Mungu aendelee kuwabariki wazazi na walezi mnao wafundisha watoto kumjua Mungu Tangu utoto wao.Mi...
19/02/2026

Kanisa la Huanzia Huku.
Mungu aendelee kuwabariki wazazi na walezi mnao wafundisha watoto kumjua Mungu Tangu utoto wao.Mithali 26:6

19/02/2026

Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza ndugu wakae pamoja na kwa Umoja.Zaburi 133:1-3
Karibu kanisa la Moravian Ushirika wa Kanani Malamba Mawili.
ukishuka malamba mwisho, chukua boda waambie naenda matuta barabara ya king'azi. utakuwa umefika.

Ibaada ya tarehe 15.02.2026
17/02/2026

Ibaada ya tarehe 15.02.2026

wakili wa ushirika akisoma Historia ya Ushirika wa Kanani Moravian
02/02/2026

wakili wa ushirika akisoma Historia ya Ushirika wa Kanani Moravian

01/07/2025

Shusha nyavu! Moja ya kazi kubwa ya kanisa ni kuhubiri habari njema kwa watu wote
Barikiwa Mtumishi mpya ndani ya kanisa Letu

30/05/2025

Amani ya Bwana ikae pamoja Nasi
Karibu kwenye ibada zetu
Jumapili ni saa 3 asubuh had saa 6:30 mchana

Mungu kwetu ni kimbilio na Nguvu
11/03/2025

Mungu kwetu ni kimbilio na Nguvu

Mungu ni mwema, siku ilikuwa njema na imejawa na Roho mtakatifu katika ibada ya kipaimara. Hongera kwa vijana wetu. Shik...
09/12/2024

Mungu ni mwema, siku ilikuwa njema na imejawa na Roho mtakatifu katika ibada ya kipaimara. Hongera kwa vijana wetu. Shika sana ulicho nacho Muovu asije kukunyang'anya

28/11/2024

Mungu Hujibu maombi Yetu.

Mkutano wa Vijana kanisa la Moraviani Tanzania, waliokutana makao makuu ya nchi Dodoma. Mungu akaonekane
15/11/2024

Mkutano wa Vijana kanisa la Moraviani Tanzania, waliokutana makao makuu ya nchi Dodoma. Mungu akaonekane

01/10/2024

Tumsifu Mungu. Kwaya ya kina mama

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 16:00 - 17:15
Tuesday 16:00 - 23:45
Thursday 17:00 - 19:45
Friday 17:00 - 19:30
Saturday 15:45 - 20:00
Sunday 07:00 - 14:45

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kanisa la Moravian Ushirika wa Malamba mawili-Dsm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category