21/05/2022
Bwana Yesu asifiwe kanisa neema ya Kristo iwe juu yetu na leo tena
Tumepata muda mwingine wa kutafakali neno la Mungu
Somo: matendo ya miujiza
Muujiza ni jambo ambalo linatendeka kupita uwezo wa mwanadamu
Yesu alipoamliwa kuja duniani alitenda miujiza mingi sana kwa wanadamu mujiza wa uponyaji, promotion,safari,ajira nk ni haki ya kila aliyendani ya ufalme wa Mungu kila ambaye alikabidhiwa ktk mikono ya Yesu na akatii sheria ya ufalme basi huyo ni mtoto wa Baba yani Mungu
Yesu alitenda miujiza mingi kila mahali hii ni kutudhibitishia kuwa ni haki yetu kupona au kupokea miujiza hunaaja ya kutafuta bali unayo inajalisha sana nini unaamini
Mathayo 13:58_
Marko 6:2_
Ukiwa mtoto wa Mungu hunahaja ya kulilia mujiza sababu ni sehemu ya maisha yako
Mathayo15:27_ sisi hatufananishwi na mwanamke mkananano mwenye kuomba makombo bali sisi tunasema na jambo linatokea
Yesu anamjibu nilitumwa kwa nyumba ya Israel yani watoto wa Mungu mama mkananayo anaonekana akimwomba Yesu uponyaji na Yesu anamwambia haukuja kwaajiri ya mtu asiye mtaka Mungu wala kufata sheria ya Mungu inaonyesha mama huyu alikuwa haamini mambo ya Mungu sasa kwasababu ya uhitaji anamfata Yesu na kuomba hata masalia ya uponyaji sasa wewe k**a ni mtoto wa Yesu unaaja ya kuomba makombo? Tizama tofauti kubwa sana hii
Kuchelewa kupokea mujiza
Yapo mambo yanayo tufanya tuchelewe ktk kupokea muujiza
_tunaenda kwa Yesu tukitaka kupata kwa haraka mahitaji Yetu
_kuto kuamini kwetu Yesu alimwambia binti jipe moyo mkuu mathayo 9:22
_ kuishi maisha yasiyo na toba kutokwenda ktk sheria ya Bwana (kutokutii)