Samaria Spiritual Center

Samaria Spiritual Center Make lives of God's people better by teaching them to live Godly and purposeful lives.

Samaria Spiritual Center T.A.G inakukaribisha kwenye Mkesha Mkubwa🔥 Unaokwenda kwa jina la...                   SITARUDI...
17/08/2026

Samaria Spiritual Center T.A.G inakukaribisha kwenye Mkesha Mkubwa🔥 Unaokwenda kwa jina la...

SITARUDI NYUMA

📅Tarehe 28/08/2026
⏱️Saa 2 - 6 USIKU
Usikose njoo tujifunze mbinu za kuzidi kuendelea ndani ya Kristo 🔥


“Katika uwepo Wake, roho zetu zinapata amani"Tunamwabudu Mungu kwa moyo wote, Tukijua Yeye anastahili sifa zote🙏Hapa, 📍 ...
09/08/2026

“Katika uwepo Wake, roho zetu zinapata amani"
Tunamwabudu Mungu kwa moyo wote,
Tukijua Yeye anastahili sifa zote🙏
Hapa, 📍 Samaria Spiritual Center


Ni Kesho karibu sanaUsipange Kukosa njoo na Jirani yako na Rafiki yako andaa shauku ya kupokea kutoka kwa BWANA 🔥🔥🔥
30/07/2026

Ni Kesho karibu sana
Usipange Kukosa njoo na Jirani yako na Rafiki yako andaa shauku ya kupokea kutoka kwa BWANA 🔥🔥🔥



Mshukuruni Bwana kwa kuwa nimwema; kwa maana fadhili zake ni za milele." - Zaburi 107:1Jumapili, tulipata wasawa wa Kush...
28/07/2026

Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni
mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele." - Zaburi 107:1

Jumapili, tulipata wasawa wa Kushiriki
Ibada ya Shukrani! Na Tuliomuona Bwana!🤍

28/07/2026

"Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni
mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele." - Zaburi 107:1

Jumapili, tulipata wasawa wa Kushiriki
Ibada ya Shukrani! Na Tuliomuona Bwana!🤍

TanzaniaAssembliesOfGod ToGodBeTheGlory

18/07/2026

Mungu bado anatenda! 🙌🔥

K**a umewahi kuona wema wa Mungu katika maisha yako, simama pamoja nasi ukisema:

"Bwana, asante kwa neema yako isiyoisha!" ❤️

Hakika, hakuna aliye k**a Wewe.

Mkesha Mkesha Mkesha 🔥🔥🔥*Nimeitwa Kuzaa Matunda* Naam ni Mkesha Mkubwa utakao fanyika tarehe 31/7/2026 ni wakati wa Kuza...
11/07/2026

Mkesha Mkesha Mkesha 🔥🔥🔥
*Nimeitwa Kuzaa Matunda*
Naam ni Mkesha Mkubwa utakao fanyika tarehe 31/7/2026 ni wakati wa Kuzaa Matunda
Yohana 15:16
"Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni."
Usikose mwalike na Jirani yako na rafiki yako karibu.....



10/07/2026

Kijana, Njoo Tumlilie Bwana!
Kwenye Mkesha Wetu Wa
CAs Hapa, Samaria!🥳

Bado Hujachelewa...


10/07/2026

Ewe!, Kijana Wa SAMARIA!
Bado Hujachelewa....
Tuna msifu Bwana Muda Huu
Sogea, Kanisani, TUJUMUIKE
Wote🥳🥳!
Hakika Hutajutia🤯...........
MKESHA BABKUBWA! | CAs


10/07/2026

Jioni ya Leo, Tunakutana!🔥
Samaria Spiritual Center
Kwenye MKESHA WA VIJANA (CAs)
Hakikisha, Haukosi...
Uwepo Wa Mungu ni wa Kutosha!


Address

Kinzudi, Mpakani Road
Dar Es Salaam
60684

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 07:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Samaria Spiritual Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share

Category