Samaria Spiritual Center

Samaria Spiritual Center Make lives of God's people better by teaching them to live Godly and purposeful lives.

19/12/2025

Our Pastor’s Day went well, by the grace of God.

17/12/2025

Tunamsifu Mungu kwa moyo mmoja, sauti moja, na roho iliyonyenyekea mbele zake πŸ™ŒπŸ½
Utukufu wote ni wake.

A man whose life reflects grace, wisdom, and true servant leadership. Your impact on our life and many others speaks lou...
25/10/2025

A man whose life reflects grace, wisdom, and true servant leadership. Your impact on our life and many others speaks louder than words. May this new year overflow with strength, joy, and divine favor.

You are deeply loved and greatly appreciated.

Happy Birthday Our PastorπŸ™πŸ’™

01/10/2025

Yeye ni Mungu wa Miungu, ukilijua hili baaasi.

Mungu ndio kila kitu katika maisha yetu na kesho ijumaa (27/07/2025) kuanzia saa 12.00 jioni tutakuwa katika Uwepo Wake ...
24/07/2025

Mungu ndio kila kitu katika maisha yetu na kesho ijumaa (27/07/2025) kuanzia saa 12.00 jioni tutakuwa katika Uwepo Wake pale ukumbi wa Mbezi Garden uliopo Makonde tukimsifu na kumwabudu Yeye kupitia uzinduzi wa Albamu ya Mtumishi wake inayoitwa Uweponi Mwake Ninakaa.

Hii si ya kukosa mtu wa Mungu, hakuna kiingilio yaani hiyo kesho ni wewe na Mungu tu.

Njoo tuanze weekend yetu na Mungu.

Karibu sana!

Tamasha la Kwanza la Uimbaji – Brian Msamati!Tunampongeza ndugu yetu  kwa hatua hii muhimu ya kumtumikia Bwana kwa sauti...
05/07/2025

Tamasha la Kwanza la Uimbaji – Brian Msamati!
Tunampongeza ndugu yetu kwa hatua hii muhimu ya kumtumikia Bwana kwa sauti ya uimbaji. K**a kanisa, tunamuunga mkono kwa maombi na msaada wa vitendo.

πŸ™πŸ½ Tunakukaribisha kuchangia kwa hiari ili kufanikisha tamasha hili la baraka. Hakuna kiasi kidogo mbele za Mungu β€” chochote utakachotoa kitasaidia sana!

πŸ“± Tuma mchango wako kupitia:
πŸ“Œ Lipa Namba ya Voda: 59129901
🏦 Akaunti ya Benki (CRDB): 0152439878400

🎢 Tarehe: 25/07/2025
πŸ“ Mahali: Ukumbi wa Mbezi Garden
πŸ•“ Muda: Saa 12:00 jioni

πŸ‘‰πŸ½ Tukutane pale tukimtukuza Bwana kwa sauti ya shukrani!

Leo tunasherehekea ushindi wa uzima juu ya mauti, na upendo mkuu wa Mungu uliofunuliwa kwa ulimwengu wote. Karibu ushiri...
19/04/2025

Leo tunasherehekea ushindi wa uzima juu ya mauti, na upendo mkuu wa Mungu uliofunuliwa kwa ulimwengu wote. Karibu ushirikiane nasi katika furaha hii ya kipekee katika Ibada maalum!

”

Mwaka huu ukawe ni mwaka wa kwanza kwako na mwenzi wa kwanza kwako na Mungu akakutangulie na kwa neema ya Mungu majira k...
10/01/2025

Mwaka huu ukawe ni mwaka wa kwanza kwako na mwenzi wa kwanza kwako na Mungu akakutangulie na kwa neema ya Mungu majira k**a haya mwakani tukutane tena.

Karibu sana
πŸ™Œ

Ni jumanne ya wiki inayoanza kesho. Usipange kukosa ibada hii muhimu sana kwa kila mtu. Mungu akubariki na karibu sana  ...
29/12/2024

Ni jumanne ya wiki inayoanza kesho. Usipange kukosa ibada hii muhimu sana kwa kila mtu. Mungu akubariki na karibu sana

Katika maadhimisho yetu ya miaka 85 ya kanisa letu zuri la Tanzania Assemblies of God, jimbo la Mashariki Kaskazini, seh...
27/05/2024

Katika maadhimisho yetu ya miaka 85 ya kanisa letu zuri la Tanzania Assemblies of God, jimbo la Mashariki Kaskazini, sehemu (Section) ya Mbezi Njia Nne Mungu alikuwa pamoja nasi.

Matukio kwa Picha:
Kutoka kushoto kwenda kulia (swipe)

1. Viongozi wa idara mbalimbali na washirika wakiwa katika ibada maalum

2. Askofu wa Jimbo la Mashariki Kaskazini Aaron Mwashilindi akipokea Risala ya Sehemu ya Mbezi Njia Nne kutoka kwa katibu wa sehemu Amos Maduka

3. Diwani wetu wa kata ya Goba Mh. Ester Ndoha alikuwa nasi na hapa alikuwa anasalimu kanisa na akatujuza mambo machache juu ya maendeleo ya kata yetu ya goba na namna raisi wetu na mama yetu anavyopambana kuleta maendeleo kwa wananchi wake wa Goba kupitia miradi mbalimbali k**a afya, miundombinu ya barabara, Elimu n.k.

4. Picha ya pamoja ya uongozi wa jimbo, sehemu, na Mh. diwani wa Kata ya Goba.

5. Picha ya pamoja mbele aliyekaa ni Askofu wa Jimbo la Mashariki Kaskazini, nyuma waliosimama ni uongozi wa sehemu ya mbezi njia nne, kutoka kushoto kuelekea kulia wa kwanza ni mtunza fedha wa sehemu Mch. Mwakajwanga , anayefuata ni katibu wa sehemu Mch. Amos Maduka, wa tatu ni Makamu Mwangalizi wa sehemu Mch. Mushi, na wa nne ni Mwangalizi wa sehemu Mch. Deus Sabuni

6. Picha ya pamoja ya Askofu, Uongozi na wachungaji wa makanisa yaliyopo Sehemu ya Mbezi Njia Nne.

7. Mwangalizi wa sehemu ya mbezi njia nne na Mchungaji kiongozi wa kanisa la T.A.G akiagana na diwani wa kata ya goba Mh. Esther Ndoho

Address

Kinzudi, Mpakani Road
Dar Es Salaam
60684

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 07:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Samaria Spiritual Center posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category