06/07/2024
moyo ndio shamba na neno ni mbegu kuna mbegu aina mbili njema _neno la ufalme na mbaya neno _la adui watumwa wa mwenye shamba wakaomba wakayango'e mwenye shamba akawambia achani malaika ndio watakao vuna nakuyafunga matita matita na kuyachoma moto inawezekana shamba lako pia lina magugu ambayo ni magonjwa sugu madakatari wameshindwa umenda kwa waganga wa kienyeji bila mafanikio mazuri upoteza mahusiano unasumbuliwa na ndoto mbaya sasa saa ndio hii ya kuvunwa malaika roho isîyo na mwili ikimaanisha roho mtakatifu wacha ataketeze magugu yote kwako na uvunwe akuweke mahali salama kwa jina la yesu