Umoja wa vijana kisiwani

Umoja wa vijana kisiwani UMOJA WA VIJANA
D.M.P KKKT KISIWANI
πŸ“Tabata Kimanga va Uwanja wa Twiga
Contact:0766941259

✍🏽IBADA MAALUMU YA SIKUKUU YA VIJANATunawakaribisha Vijana, na Washarika wote kushiriki Ibada ya Sikukuu ya Vijana.  . K...
02/07/2025

✍🏽IBADA MAALUMU YA SIKUKUU YA VIJANA

Tunawakaribisha Vijana, na Washarika wote kushiriki Ibada ya Sikukuu ya Vijana.
. Kusifu
. Kuabudu
. Maombi

Ni Jumapili: 06/07/2025
KKKT Mtaa wa Kisiwani
Muda saa1:00 Asubuhi




..........WOTE MNAKARIBISHWA.......πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

We say thank you all for taking the time to come and watch, we understand the challenges and the distance you have come ...
11/05/2025

We say thank you all for taking the time to come and watch, we understand the challenges and the distance you have come from, you have left a debt to us on the island.

THE DIVINE ENCOUNTER 2025MKESHA WA KUKUTANA NA MUNGUMkesha huu umeandaliwa kwako na Umoja wa Vijana KKKT Mtaa wa Kisiwan...
22/04/2025

THE DIVINE ENCOUNTER 2025
MKESHA WA KUKUTANA NA MUNGU
Mkesha huu umeandaliwa kwako na Umoja wa Vijana KKKT Mtaa wa Kisiwani.

Katika kutafuta kukutana na Mungu, tumeona tuwalete Vijana pamoja Kumwabudu na Kumuomba Mungu. Hii ni nafasi pekee ya kutafuta kukutana na Mungu Kiroho. Mbele za Mungu tutasifu, tutaabudu, tutafundishwa na kuomba kukutana na Mungu.

Ni Ijumaa ya tarehe 9 May, Saa3:00 Usiku hadi saa11:00 Alfajiri.

Mawasiliano: 0766 941 259/0687 002 959.

Karibuni sana, usipange kukosa nafasi hii ya pekee kwako.




Bwana Yesu Asifiwe Mwana wa Mungu.Uongozi wa Mtaa na Kisiwani na Baraza la Wazee, Wanakukaribisha kwenye Ibada ya Jumapi...
13/09/2024

Bwana Yesu Asifiwe Mwana wa Mungu.

Uongozi wa Mtaa na Kisiwani na Baraza la Wazee, Wanakukaribisha kwenye Ibada ya Jumapili na Mtumishi Erick Tibalila, Njoo tumwabudu Mungu na kufikisha Hoja zetu Kwa Mungu.

Mungu akuwezeshe kushiriki Baraka za Mungu.

Karibu sana tumwabudu Mungu.πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?.Kesho ni Ibada Takatifu ya Chakula cha Bwana k**a ambavyo tumekuwa tukitangaziwa Kanisani. ...
24/08/2024

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?.

Kesho ni Ibada Takatifu ya Chakula cha Bwana k**a ambavyo tumekuwa tukitangaziwa Kanisani. Mungu akupe Neema ya Kushiriki Ibada hii ya Kutakaswa kwa Damu ya Yesu Kristo.

Usipange kukosa kwa Kweli andaa Moyo wako na Sadaka ya Kumshukuru Mungu.

Ubarikiwe sana.

Umoja wa Vijana umeandaa SEMINA kubwa ya VIJANA. Hii inaweza kuwa Historia kubwa kuwahi kutokea Kisiwani.Kijana ni Muda ...
05/08/2024

Umoja wa Vijana umeandaa SEMINA kubwa ya VIJANA. Hii inaweza kuwa Historia kubwa kuwahi kutokea Kisiwani.

Kijana ni Muda wako Kujifunza Mambo Mazuri kuhusu Uchumi na Mitandao, Afya ya Akili na Mahusiano.

Usipange kukosa.

Bwana Mungu awe Msaada wetu katika kukua kwetu Kiroho.Mungu akupe Kibali kuhudhuria Ibada hii na Mungu atatenda Juu ya M...
26/06/2024

Bwana Mungu awe Msaada wetu katika kukua kwetu Kiroho.

Mungu akupe Kibali kuhudhuria Ibada hii na Mungu atatenda Juu ya Maisha yako.

Ni Kwa muda wa Saa1 tu ambalo utanufaika kupata maarifa mapya ya kukujenga na kukuongezea hatua ya Maisha yenye Uaminifu na Utumishi Mwema Kwa Mungu.

Muda wetu ni Saa12:00 hadi Saa1:00 Asubuhi.

Mungu akubariki sana.

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Namleta kwenu Ndugu yetu na Rafiki yetu. Ndiye ataongoza IBADA YA VIJANA siku ya Jumamosi....
26/06/2024

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Namleta kwenu Ndugu yetu na Rafiki yetu. Ndiye ataongoza IBADA YA VIJANA siku ya Jumamosi.

TUNAWAKARIBISHA VIJANA WOTE. Muda kuanzia Saa12:00 hadi Saa1:00 Asubuhi.

KARIBU SANA.

Mungu aseme na wewe Juu ya IBADA ya KESHO, usiifanye K**a siku ya Kawaida, andaa vema Moyo wako, Kupokea NENO na Sakrame...
22/06/2024

Mungu aseme na wewe Juu ya IBADA ya KESHO, usiifanye K**a siku ya Kawaida, andaa vema Moyo wako, Kupokea NENO na Sakramenti ya Utakaso.

Afya yako Dhaifu, U-mgonjwa, Umekata Tamaa, unasongwa na Mapito SOGEA Madhabahuni Kwa Bwana na tupate KUPONA, Kufufua kila kilichokufa na kinachotaka kufa.

Mungu atusaidie.πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Nawasalimu wote Kwa Jina la Yesu Kristo aliye hai, Bwana na Mwokozi wetu.Kwa HESHIMA na UN...
22/06/2024

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Nawasalimu wote Kwa Jina la Yesu Kristo aliye hai, Bwana na Mwokozi wetu.

Kwa HESHIMA na UNYENYEKEVU Naomba kuwakaribisha Vijana wote tushiriki IBADA YA VIJANA, J'Mosi 29-06. Ni Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi, lengo ni kumshukuru Mungu Kwa Matendo Makuu anayotutendea sisi Vijana na Familia zetu Kwa Nusu Mwaka, Kuomba Fadhili na Neema ya Mungu atulinde tena Nusu ya Pili, na Kuombea Lango la Mwezi wa Saba (7).

Kwa Umoja, Ushirikiano, Upendo tulionao basi tuoneshe Mfano.

Karibuni Sana.πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½πŸ™πŸ½

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Hongera Kwa kupata Neema ya kuwa Mzima na Mwenye Afya Njema.KANISANI KWETU JUMAPILI KUNA I...
21/06/2024

Bwana Yesu Asifiwe Wapendwa?. Hongera Kwa kupata Neema ya kuwa Mzima na Mwenye Afya Njema.

KANISANI KWETU JUMAPILI KUNA IBADA TAKATIFU, KUNA KUINGIZWA KAZINI VIONGOZI NA KUPATA MBARAKA WA KUTUMIKA KWAO KWENYE MADHABAHU YA KISIWANI NA JUMUIYA.

VIONGOZI WOTE INAWAHUSU HII MSIPANGE KUKOSA IBADA YA JUMAPILI.

Viongozi na Waumini wote Mnakaribishwa kushuhudia tendo hili kubwa Kanisani kwetu. Sijui mmejiandaaje kuwapokea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuwe na Vigelegele, Pambio, Matarumbeta, kuwashangilia Wapendwa wetu waliochaguliwa.

Msisahau kuwaandalia Zawadi ya Upendo. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Address

TABATA KISIWANI
Dar Es Salaam
IDARAYAVIJANA

Telephone

+255687002959

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Umoja wa vijana kisiwani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share