06/05/2026
MZOZO KATI YA MWILI NA ROHO π₯
Kuna vita inaendelea ndani yako.
Mwili unatamani, lakini roho inakataa.
Mwili unavuta chini, roho inasukuma juu.
Hii si hali ya kawaida⦠ni mapambano ya hatima yako.
Ukifuata mwili, unapoteza mwelekeo.
Ukisimama na roho, unashinda vita usivyoonekana.
Watu wengi wanaanguka si kwa sababu hawana nguvu,
bali kwa sababu walichagua kusikiliza mwili kuliko roho.
Ni muda wa kufanya uamuzi.
Ni muda wa kurudisha mamlaka ya roho juu ya mwili.
Usikose ibada hii ya kipekee.
Hapa ndipo nguvu ya kushinda inatolewa.
π Mwananyamala, Dar es Salaam
π Saa 11:00 jioni | Alhamisi 6th MAY 2026
ββββββββββ
π²Direct Call The Priestπ
0763827782 / 0784827782 / 0715 827782
'