07/09/2026
Jumanne hii tunakutana katika maombi ya mtu mmoja mmoja, tukinuomba Mungu aondoe kila mzizi wa kukataliwa, kuvunjika moyo, kunyimwa nafasi na kucheleweshwa kwa hatima yako.
Kwa kuguswa na Mafuta ya Kibali, tunaamini Mungu atakufungulia mlango wa kukubalika, kukumbukwa na kuthaminiwa. Na kwa imani, utapokea JIWE JEUPE ukitangaza mwanzo wa sura mpya katika maisha yako.
📖 “Nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina jipya…” — Ufunuo 2:17