Kuhani Musa

Kuhani Musa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kuhani Musa, Religious organisation, Kimara Temboni Dar es salaam TZ, 55143, Dar es Salaam.
(3)

Karibu kwenye ukurasa rasmi wa Facebook wa Kuhani na Mwalimu Musa Richard Mwacha wa Kanisa la Fresh Spring Fellowship Church Tanzania lililoko Kimara Temboni Dar es Salaam, Tanzania

Zakaria alikuwa ameishi na maombi ya muda mrefu ambayo yalionekana ni k**a hayatajibiwa tena. Lakini siku moja, Mungu al...
04/06/2026

Zakaria alikuwa ameishi na maombi ya muda mrefu ambayo yalionekana ni k**a hayatajibiwa tena. Lakini siku moja, Mungu alituma habari njema kupitia malaika wake: “Mke wako Elizabeth atazaa mwana.” Kilichoonekana hakiwezekani kutokea kikawa ushuhuda!

Je, kuna jambo ambalo umekuwa ukiliombea kwa muda mrefu? Je, kuna ndoto ambayo umeanza kuiona k**a haiwezekani tena kutimia? Mungu yule wa Zakaria hajabadilika hata leo. K**a alivyomkumbuka Zakaria katika wakati wake, ndivyo anavyoweza kuleta habari njema katika maisha yako leo.

MUNGU ametupa Mkesha wa Habari Njema usiku wa Tarehe 12 mwezi June, Usiku huu utakuwa ni usiku wa kupokea habari njema kutoka kwa Mungu. Usipange kabisa kukosa, Huenda huu ukawa usiku ambao Mungu atageuza maisha kuwa ushuhuda.

Nakukaribisha kwenye Ibada ya Ijumaa ya kuvuviwa ujazo wa Roho Mtakatifu. Njoo upokee mguso wa Mungu, upya wa nguvu za k...
04/06/2026

Nakukaribisha kwenye Ibada ya Ijumaa ya kuvuviwa ujazo wa Roho Mtakatifu. Njoo upokee mguso wa Mungu, upya wa nguvu za kiroho, na uongozi wa Roho Mtakatifu katika maisha yako. Mungu ana jambo jema kwa ajili yako leo. Usikose!

“Msijazwe mvinyo wenye ufisadi, bali mjazwe Roho.” — Waefeso 5:18

Njoo na familia yako, marafiki zako, na wapendwa wako. Acha kiu yako ya Mungu ikutoshe kwenye madhabahu ya neema yake. Tunaamini kuwa hakuna atakayerudi jinsi alivyokuja, kwa sababu uwepo wa Mungu hubadilisha maisha.

03/06/2026

“Asante BWANA kwa upendo wako usiokoma. Tunakushukuru kwa uhai, neema na baraka zako.”

03/06/2026

USIKOSE IBADA YA SIKU YA IJUMAA

03/06/2026
02/06/2026

Adui wa giza ni nuru, na Yesu Kristo ndiye nuru halisi.

02/06/2026

TAREHE 3 MWEZI WA 6 Kuanzia Saa 8:00 Mchana
Mungu ametupa neema ya ajabu kusimama katika IBADA YA DHABIHU YA PARTNERSHIP, Ibada ya kipekee ya kujiambatanisha na kazi ya Mungu kwa ajili ya kulijenga hekalu lake.

Kuna viwango vya baraka ambavyo haviji kwa maneno pekee… vinakuja kupitia madhabahu ya dhabihu, utii, na kujitoa kwa Mungu.
Katika Ibada hii, tunaenda mbele za Bwana sio kwa kawaida, bali kwa mioyo iliyobeba sadaka, imani, na kiu ya kuona utukufu wa Mungu ukidhihirika.

Kila anayegusa madhabahu kwa moyo safi, Mungu hugusa maisha yake kwa namna isiyo ya kawaida.
Milango itafunguka, vifungo vitavunjika, na neema mpya itatiririka juu ya wale watakaoshiriki kwa imani.

02/06/2026

USIKOSE IBADA YA SIKU YA JUMATANO

02/06/2026

"Ukitaka kubarikiwa na kutunza uhusiano wako na Mungu, vaa mavazi ya stara."

Address

Kimara Temboni Dar Es Salaam TZ, 55143
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kuhani Musa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share